dream

108 posts

dream

dream

@JusticeKay8651

Katılım Ocak 2025
254 Takip Edilen15 Takipçiler
MR BEN
MR BEN@Eric__Bernard·
Makamu Mwenyekiti CHADEMA John Heche amefanya upotoshaji wa Makusudi Kabisa na wazi mno! Kutumia Picha ya Malawi kuaminisha umma ni Tarime Tanzania! Siasa za namna hii hazifai
MR BEN tweet media
Indonesia
44
18
33
12.3K
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Hiki chama utapeli hakijaanza leo, Hawa niliwafundisha mwenyewe haya makaratee ya kufake mikutano, kwahiyo nawajua uhuni wao kama ninavyoijua Mbutu na Vichochoro vyake😂 Wamewalipa vijana wa IT wacheze na AI ili mikutano ionekane imejaa, wakazuia picha na video zisipostiwe kabla
Yericko Nyerere tweet mediaYericko Nyerere tweet media
Indonesia
487
21
211
176.7K
dream
dream@JusticeKay8651·
@joeselasini Sungura anasema wote mnaopinga uteuzi wa munisi mtashugulikiwa
Indonesia
1
0
2
633
joseph_selasini
joseph_selasini@joeselasini·
Alama za mtu mnafiki zipo tatu. - Akiongea anadanganya. - Akiahidi hatimizi. - Ukimwamini anakufanyia hiana. Je! Unaziona hapo?
Indonesia
27
101
449
26.8K
Britanicca
Britanicca@Britanicca0·
Nchi hii kuna na Michawa inatetea uongozi huu Kusema ukweli nyote machawa nawaona wacheza na fursa ya Pesa mkiwekewa pesa mnaufyata alafu eti “TUTATETEA NCHI KWA WIVU” shenzi madalali PUMBAVU SANA
Britanicca tweet media
Indonesia
7
4
17
1.5K
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Wakili Kisabo, Nina wasiwasi na baadhi ya maneno uliyoandika mtandaoni kuhusu kauli ya Lissu baada ya wewe kutoka mahabusu. Msimamo wa Mkti Lissu mara zote kuhusu uhuru wake umekuwa wazi, kwamba kesi inayomkabili ni ya uongo na anapaswa kuachiwa huru bila masharti yoyote. Hajawahi, wakati wowote, kuweka sharti la kuuza uhuru wake kwa njia ya mazungumzo, hata hivyo kama cha siasa tunaelewa kuwa mazungumzo ni sehemu ya utawala katika siasa. Lakini uhuru wa Lissu haupaswi kuwa ktk sharti ili. Kisabo, labda kwenda kwako mahabusu kulikuwa ni sehemu ya mpango, na hata kauli hiyo inaweza kuwa imepangwa. Ndiyo maana viongozi, familia, na mawakili wa chama hawakupewa taarifa wala kushirikishwa wala hukuwashirikisha. Ndiyo maana pia ulipotoka mahabusu moja kwa moja uligeuka kuwa msemaji wa chama. Nawasihi Watanzania tusubiri kauli ya Lissu mwenyewe.
Godbless E.J. Lema tweet media
Filipino
178
324
1.5K
145.6K
Thom Mnkondya
Thom Mnkondya@Thommunkondya·
Kiongozi na wewe stori za vijana wa X unazichukua aseee😄😄😄 vijana hawaamini kama kijana msomi unaweza kukisemea chama kwa ujasiri bila uoga wanahisi nataka teuzi au nafasi kama hizo puuza bhana mkuu. Au una maanisha uenyekiti wa seneti.? Kama ni huo tayari nilipata mzee ni mwenyekiti wa Seneti ya vyuo na vyuo vikuu mkoa wa Songwe.
Indonesia
1
0
0
894
Vunga
Vunga@VungaEl74·
Kuna mpwa kanipa like na kuitoa sijui hakusoma kuwa ni habari mbaya ya irani kupokea kichapo😅
Indonesia
6
3
19
519
Vunga
Vunga@VungaEl74·
BIBI NETANYAHU ANAFAFANYA KAZI KMY KMY BREAKING: Kamanda mkuu wa IRGC Mohammad Karami ambaye aliapa "kumsaka na kumuua" Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu asubuhi ya leo, aliuawa katika mashambulizi ya anga ya Israeli huko Isfahan baada ya saa 2.
Indonesia
14
14
84
4.5K
Vunga
Vunga@VungaEl74·
BREAKING: 🇺🇸🇮🇷 Rais Trump awaambia viongozi wa G7 Iran "inakaribia kujisalimisha."
Vunga tweet media
Indonesia
5
2
18
573
Vunga
Vunga@VungaEl74·
BREAKING: Ali Abdollahi Aliabadi, afisa mkuu wa kijeshi wa Iran ambaye kwa sasa ni kamanda wa Makao Makuu ya Khatam-al Anbiya, ameuawa katika mashambulizi ya anga ya Marekani na Israeli. Alikuwa karibu sana na kiongozi mkuu wa salin Ayatollah Ali Khamenei. Uthibitisho rasmi unasubiriwa.
Indonesia
2
3
15
1.2K
Vunga
Vunga@VungaEl74·
PICHA ZA IRAN🇮🇷 BAADA YA MASHAMBULIZI YA ISRAEL NA MAREKANI LEO
Vunga tweet media
Indonesia
6
5
16
893
dream
dream@JusticeKay8651·
@Globalstats11 @grok izi inch zinapimwa na kitu gani? Ili tujue kwamba mtu flani ana inch gani
Indonesia
1
0
0
13
Global Statistics
Global Statistics@Globalstats11·
Average Erect Penis Size by Country 🍌 🇸🇩 Sudan - 17.95 cm - 7.1 inch 🇨🇩 DR Congo - 17.93 cm - 7.1 inch 🇪🇨 Ecuador - 17.59 cm - 6.9 inch 🇬🇭 Ghana - 17.31 cm - 6.8 inch 🇳🇬 Nigeria - 17.00 cm - 6.7 inch 🇻🇪 Venezuela - 16.93 cm - 6.7 inch 🇱🇧 Lebanon - 16.82 cm - 6.6 inch 🇨🇴 Colombia - 16.75 cm - 6.6 inch 🇨🇲 Cameroon - 16.65 cm - 6.6 inch 🇯🇲 Jamaica - 16.30 cm - 6.4 inch 🇰🇪 Kenya - 16.28 cm - 6.4 inch 🇸🇳 Senegal - 15.89 cm - 6.3 inch 🇨🇺 Cuba - 15.87 cm - 6.2 inch 🇳🇿 New Zealand - 15.73 cm - 6.2 inch 🇿🇲 Zambia - 15.78 cm - 6.2 inch 🇧🇿 Belize - 15.75 cm - 6.2 inch 🇦🇴 Angola - 15.73 cm - 6.2 inch 🇧🇷 Brazil - 15.70 cm - 6.2 inch 🇦🇺 Australia - 15.70 cm - 6.2 inch 🇿🇼 Zimbabwe - 15.68 cm - 6.2 inch 🇳🇱 Netherlands - 15.60 cm - 6.1 inch 🇵🇾 Paraguay - 15.53 cm - 6.1 inch 🇵🇦 Panama - 15.49 cm - 6.1 inch 🇵🇱 Poland - 15.41 cm - 6.1 inch 🇹🇩 Chad - 15.39 cm - 6.1 inch 🇸🇪 Sweden - 15.36 cm - 6.0 inch 🇿🇦 South Africa - 15.29 cm - 6.0 inch 🇨🇮 Ivory Coast - 15.22 cm - 6.0 inch 🇧🇪 Belgium - 15.14 cm - 6.0 inch 🇵🇹 Portugal - 15.14 cm - 6.0 inch 🇵🇪 Peru - 15.07 cm - 5.9 inch 🇩🇰 Denmark - 15.07 cm - 5.9 inch 🇬🇲 Gambia - 15.07 cm - 5.9 inch 🇦🇷 Argentina - 14.88 cm - 5.9 inch 🇷🇸 Serbia - 14.87 cm - 5.8 inch 🇭🇷 Croatia - 14.77 cm - 5.8 inch 🇬🇾 Guyana - 14.75 cm - 5.8 inch 🇦🇹 Austria - 14.69 cm - 5.8 inch 🇱🇻 Latvia - 14.69 cm - 5.8 inch 🇭🇺 Hungary - 14.68 cm - 5.8 inch 🇺🇾 Uruguay - 14.67 cm - 5.8 inch 🇧🇬 Bulgaria - 14.66 cm - 5.8 inch 🇹🇳 Tunisia - 14.61 cm - 5.8 inch 🇨🇱 Chile - 14.59 cm - 5.7 inch 🇮🇸 Iceland - 14.56 cm - 5.7 inch 🇱🇹 Lithuania - 14.55 cm - 5.7 inch 🇫🇷 France - 14.50 cm - 5.7 inch 🇩🇿 Algeria - 14.49 cm - 5.7 inch 🇩🇪 Germany - 14.48 cm - 5.7 inch 🇪🇷 Eritrea - 14.39 cm - 5.7 inch 🇳🇴 Norway - 14.34 cm - 5.6 inch 🇬🇧 UK - 14.30 cm - 5.6 inch 🇨🇭 Switzerland - 14.25 cm - 5.6 inch 🇺🇦 Ukraine - 14.25 cm - 5.6 inch 🇸🇮 Slovenia - 14.13 cm - 5.6 inch 🇦🇱 Albania - 14.19 cm - 5.6 inch 🇨🇿 Czechia - 14.07 cm - 5.5 inch 🇪🇪 Estonia - 14.01 cm - 5.5 inch 🇺🇸 USA - 13.95 cm - 5.5 inch 🇲🇽 Mexico - 13.92 cm - 5.5 inch 🇨🇻 Cape Verde - 13.85 cm - 5.5 inch 🇸🇰 Slovakia - 13.81 cm - 5.4 inch 🇧🇾 Belarus - 13.80 cm - 5.4 inch 🇨🇦 Canada - 13.80 cm - 5.4 inch 🇬🇪 Georgia - 13.57 cm - 5.3 inch 🇬🇱 Greenland - 13.57 cm - 5.3 inch 🇲🇦 Morocco - 13.50 cm - 5.3 inch 🇪🇬 Egypt - 13.35 cm - 5.3 inch 🇱🇺 Luxembourg - 13.32 cm - 5.2 inch 🇨🇷 Costa Rica - 13.31 cm - 5.2 inch 🇲🇾 Malaysia - 13.29 cm - 5.2 inch 🇦🇿 Azerbaijan - 13.12 cm - 5.2 inch 🇹🇷 Turkey - 13.11 cm - 5.2 inch 🇦🇫 Afghanistan - 13.10 cm - 5.2 inch 🇮🇱 Israel - 13.00 cm - 5.1 inch 🇫🇮 Finland - 12.98 cm - 5.1 inch 🇪🇸 Spain - 12.98 cm - 5.1 inch 🇪🇹 Ethiopia - 12.93 cm - 5.1 inch 🇯🇴 Jordan - 12.90 cm - 5.1 inch 🇰🇿 Kazakhstan - 12.44 cm - 4.9 inch 🇺🇿 Uzbekistan - 12.43 cm - 4.9 inch 🇬🇹 Guatemala - 12.24 cm - 4.8 inch 🇦🇲 Armenia - 12.10 cm - 4.8 inch 🇨🇾 Cyprus - 12.02 cm - 4.7 inch 🇮🇳 India - 11.93 cm - 4.7 inch 🇧🇭 Bahrain - 11.93 cm - 4.7 inch 🇨🇳 China - 11.90 cm - 4.7 inch 🇴🇲 Oman - 11.85 cm - 4.7 inch 🇮🇪 Ireland - 11.79 cm - 4.6 inch 🇲🇳 Mongolia - 11.77 cm - 4.6 inch 🇷🇴 Romania - 11.73 cm - 4.6 inch 🇸🇻 El Salvador - 11.71 cm - 4.6 inch 🇯🇵 Japan - 11.60 cm - 4.6 inch 🇦🇪 UAE - 11.54 cm - 4.5 inch 🇮🇹 Italy - 11.50 cm - 4.5 inch 🇹🇼 Taiwan - 11.50 cm - 4.5 inch 🇶🇦 Qatar - 11.41 cm - 4.5 inch 🇸🇦 Saudi Arabia - 11.40 cm - 4.5 inch 🇭🇳 Honduras - 11.40 cm - 4.5 inch 🇬🇷 Greece - 11.30 cm - 4.4 inch 🇮🇩 Indonesia - 11.07 cm - 4.4 inch 🇮🇷 Iran - 11.04 cm - 4.3 inch 🇹🇿 Tanzania - 11.02 cm - 4.3 inch 🇵🇰 Pakistan - 11.01 cm - 4.3 inch 🇰🇼 Kuwait - 10.85 cm - 4.3 inch 🇧🇩 Bangladesh - 10.80 cm - 4.3 inch 🇭🇰 Hong Kong - 10.75 cm - 4.2 inch 🇸🇬 Singapore - 10.75 cm - 4.2 inch 🇵🇭 Philippines - 10.65 cm - 4.2 inch 🇰🇷 South Korea - 10.50 cm - 4.1 inch 🇱🇰 Sri Lanka - 10.16 cm - 4.0 inch 🇻🇳 Vietnam - 10.15 cm - 4.0 inch 🇲🇲 Myanmar - 10.10 cm - 4.0 inch 🇳🇵 Nepal - 9.51 cm - 3.7 inch 🇰🇭 Cambodia - 8.91 cm - 3.5 inch 🇰🇵 North Korea - 8.60 cm - 3.4 inch 🇹🇭 Thailand - 8.43 cm - 3.3 inch Note: Selected countries only. Source: World Population Review
Global Statistics tweet media
Română
3.6K
1.9K
17.2K
17.4M
Vunga
Vunga@VungaEl74·
🚨BREAKING:🇮🇷🇮🇱 Brigedia Jenerali Abbas-Ali Mohammadian, Mkuu wa Polisi wa Tehran, ameuawa katika mashambulizi ya anga ya Marekani na Jeshi la Anga la Israeli. Eliminated
Vunga tweet media
Indonesia
2
0
16
485
Vunga
Vunga@VungaEl74·
BREAKING: Zaidi ya vituo 30 vya polisi vya Iran vinavyomilikiwa na utawala wa Kiislamu vimeshambuliwa kwa mabomu katika dakika 40 zilizopita na Israeli na Marekani, kulingana na ripoti za hivi karibuni. Hili ni jambo la kushangaza.
Vunga tweet media
Filipino
7
7
37
2.9K
Vunga
Vunga@VungaEl74·
🚨 UPDATES: Mojtaba Khamenei hataki kuwa kiongozi wa Iran, akisema hana nia yoyote katika nafasi za kisiasa na anapendelea dini na sayansi. Huyu ni mtoto wa Khamenei aliye changuliwa kurithi kiti cha baba yake Hiki kiti kimekuwa cha moto kila mtu anaongopa kufa.
Vunga tweet media
Indonesia
13
6
59
3.4K
Vunga
Vunga@VungaEl74·
MAFANIKIO YA IRANI 🇮🇷KWA UPANDE WAO KWENYE HII VITA MPAKA SASA Licha ya mashambulizi makali sana Juni 2025 na Februari Machi 2026), ambapo Ayatollah Ali Khamenei (Supreme Leader) aliuawa pamoja na viongozi wengine wengi wa IRGC na jeshi, serikali ya Iran bado inasimama. Hakuna regime change iliyotokea haraka kama ilivyotarajiiwa na Trump na Netanyahu. Hii inahesabiwa kama ushindi wa kimkakati kwa upande wa Iran kwa kuwa wameweza kustahimili na kuendelea kupigana. Kuzindua makombora na drones kwa wingi na kuwafikia maadui Katika Juni 2025: Iran ilizindua makombora zaidi ya 600 (ballistic missiles na drones) dhidi ya Israel na kambi za Marekani Al Udeid nchini Qatar. Ingawa mengi yalizuiliwa, baadhi yalifika na kusababisha hasara kidogo. Katika 2026 tangu Feb 28: Iran imezindua makombora na drones elfu moja na zaidi katika siku chache za kwanza, ikiwafikia Israel, kambi za Marekani katika nchi kama Qatar, Bahrain, Kuwait, UAE, Saudi Arabia na Jordan. Hii imesababisha mauaji machache wanajeshi wa Marekani 6 waliuawa, majeruhi zaidi ya 18 na hasara za kiuchumi kihisia kwa maadui. Hata kama interception ilikuwa ya juu 80-90% Iran imeonyesha uwezo wa saturation attacks kuzindua wingi ili kuoverload defenses. Kuwafanya maadui walipie gharama kubwa Vita vimegharimu mabilioni ya dola kwa Israel na Marekani interceptors za Arrow, Iron Dome, Patriot ni ghali sana. Uchumi wa Israel umeathirika lockdowns, hasara za kibiashara, na Marekani imepoteza maisha ya wanajeshi. Iran inaendelea kuonyesha kuwa vita dhidi yake si rahisi au cha bei nafuu, hivyo kuwafanya maadui wawe na wasiwasi wa kuendelea. Kuendelea na programu ya nyuklia (hata kama ilirudishwa nyuma) Mashambulizi ya Juni 2025 (US na Israel) yaliharibu vituo kama Natanz, Fordow na Isfahan, na Trump alidai "obliterated", lakini IAEA inasema programu ilirudishwa nyuma kwa miezi michache tu sio miaka. Iran imeendelea kuimarisha uranium enrichment na ina uwezo wa kurudi haraka. Hii inahesabiwa kama mafanikio ya muda mrefu kwa kuwa tishio la nyuklia bado lipo. Kuonyesha uwezo wa kujitetea na kujilipiza kisasi deterrence na retaliation Ingawa Axis of Resistance Hezbollah, Houthis, Hamas, PMF nchini Iraq imedhoofishwa sana Hezbollah iliharibiwa 2024, Assad alianguka Syria, Hamas ilidhoofishwa, makundi haya bado yanaweza kutoa msaada mdogo Hezbollah ilizindua rockets chache 2026. Iran imeonyesha kuwa inaweza kujibu moja kwa moja bila kutegemea proxies pekee. Muhtasari wa hali halisi hadi Machi 4, 2026: Vita vya 2026 vinaendelea US na Israel wanaendelea kushambulia, Iran inarudia, na malengo ya maadui ni regime change na kuharibu kabisa nyuklia makombora. Iran haijafanikiwa "kushinda" kwa maana ya kuwatimua au kuwashinda kijeshi, lakini imefanikiwa kuishi, kujitetea, na kuwaumiza maadui kiuchumi na kimaadili. Hii inafanana na mkakati wao wa asymmetric: kuwafanya maadui waone vita kuwa ghali sana ili waache. Athari za vita kwa uchumi wa Iran wamekuwa mkubwa
Vunga tweet media
Indonesia
7
6
56
7.6K
Vunga
Vunga@VungaEl74·
IRAN : 🇮🇷 🛩️NDEGE YA IRANI YAPIGWA RISASI: Ndege ya kivita ya IAF F-35I "Adir" ilidungua ndege ya kivita ya Jeshi la Anga la Iran YAK-130. Hii ni mara ya kwanza katika historia ya kupigwa bomu kwa ndege ya kivita ya F-35 "Adir".
Vunga tweet media
Indonesia
2
1
8
1.1K
Vunga
Vunga@VungaEl74·
PALE: 🇮🇷 Iran inaripotiwa kutoa fursa ya kujadili masharti ya kukomesha vita na Marekani na Israel. Wameaza kutoa milio
Vunga tweet mediaVunga tweet media
Indonesia
1
2
15
623