
FailiKali TZ
1.9K posts



Mara ya mwisho kesi ya Uhaini dhidi ya Mhe. Lissu ilisikilizwa February 24, 2026. Serikali ya Nduli Idd Amin Mama baada ya kuona ushahidi walionao hautoshi kumtia Mhe. Lissu hatiani wakaamua kuweka mpira kwapani kwa kukimbilia Mahakama ya rufani kwa kisingizia kwamba wamekata rufaa kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu kutupilia mbali maombi yao ya kuongeza mambo ya Oktoba 29, 2025. Mpaka leo unaenda mwezi wakaamua tatu, ofisi ya Jaji Mkuu @judiciarytz imegoma kupanga tarehe ya kuanza usikilizwaji wa shauri hilo kwasababu Nduli Idd Amin Mama anatumia Mahakama kumkandamiza Mhe. Lissu kwa kumnyima Haki zake za msingi. #FreeTunduLissu






Naibu spika wa bunge la Iran Ali Nikzad amesema sheria ambayo nchi yake inategeneza itazuia kabisa meli za Israeli kupita katika Mlango wa Bahari wa Hormuz. #israel #hormuzblockade #iran





Rais wa Jamhuri ya Rwanda Mhe. Paul Kagame akizungumza na Waandishi wa Habari kufuatia Ziara yake ya Kikazi Jijini Dar es Salaam, tarehe 03 Mei, 2026.
















Tunawaambia kila siku hauna aliyesalama mbele ya CCM, hata ukiwa mwana CHAMA mtiifu namna gani kuna siku wanakulamba Huyu mzee amepigania maisha miaka yote, kupitia humo humo CCM wanampa vitenda na miradi, Leo wamemfirisi na kumtoa kwenye jengo na wamechukua jengo lenyewe CCM wakishajua una mali wanaanza kukusaka kuichukua, wanafanya hivi kwa watu wote, wananchi wa kawaida na wafanyabiashara hata wana CCM sasa ushenzi kama huu kwa mtu aliyewatengenezea kofia mnategemea mtu mwingine watamfanya nini? Miaka yote CCM uwa haina utaratibu wa kulipa madeni, ni wahuni, kuna majangili kibao na yana control mpaka mifumo ya bank















