Mr-vpn100% u r in my memory

8.7K posts

Mr-vpn100% u r in my memory banner
Mr-vpn100% u r in my memory

Mr-vpn100% u r in my memory

@MVpn100

furniture designer mtz .nimezaliwa bila ruhusa yangu pia nitakufa bila ruhusa yangu.& u too👂🤝

Pwani, Tanzania Katılım Mart 2021
678 Takip Edilen358 Takipçiler
Mtikila Jr
Mtikila Jr@Legend_Mtikila·
Binafsi nitachelewa sana kumwamni huyu jamaa. Watu waliohama CHADEMA mwaka jana wana uchu wa madaraka, no reforms no election waliona hawatapata ubunge, wameenda huko wakapigwa chini na Mbogamboga, wanaamua kurudi tena CHADEMA. Eniwei tuwapokee ila tusiwaamini.
Mtikila Jr tweet media
Indonesia
44
78
689
27.1K
Mr-vpn100% u r in my memory retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Wasogezeni wabunge wa mchongo haya mdo masharti ya kuondolewa vikwazo 👇🏾 “(b) UTHIBITISHO.—Marufuku chini ya kifungu kidogo cha (a) itaisha kuanzia tarehe ambayo ni siku 30 baada ya tarehe ambayo waziri wa mambo ya nje atawasilisha kwa kamati zinazofaa za Bunge uthibitisho wa maandishi kwamba Serikali ya Tanzania ime— (1) tekeleza mabadiliko ya uchaguzi ili kuendeleza uchaguzi huru, wa haki, na wa uwazi; (2) kusitisha kesi za jinai zenye motisha ya kisiasa au zisizo halali, kusahihisha hukumu za kimahakama zenye dosari au zisizofaa,na kuwaachilia viongozi wa upinzani na watu wengine waliokamatwa kwa misingi ya kisiasa; (3) kuchukua hatua zinazoonekana kuwawajibisha maafisa wa serikali, wanajeshi wa usalama, na wafanyakazi wa kutekeleza sheria kwa utekaji nyara wa kisiasa, vurugu za uchaguzi, na vitendo vinavyodhoofisha taasisi za kidemokrasia; na (4) kusitisha vitisho vya kisiasa na udhibiti wa watu mashuhuri katika vyombo vya habari, waandishi wa habari, na watendaji wa asasi za kiraia.” Hiyo namba (4) mmeielewa? Acheni kututisha na kutuwinda! Maridhiano feki na wanasiasa haitawasaidia! Mtuhehsimu na wajibikeni!
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
39
176
501
24.4K
Mr-vpn100% u r in my memory retweetledi
Joseph Mbilinyi
Joseph Mbilinyi@TheRealJongwe·
Taarifa: Ili kumuunga mkono Mwenyekiti wetu Lissu na struggles zake gerezani, nimeamua kumuiga style yake mpya ya nywele…Sitachana wala kunyoa nywele zangu mpaka atoke jela akiwa HURU✌🏾✌🏾 #LiMwenyekiti #KatibaMpya #FREELISSU
Joseph Mbilinyi tweet media
Indonesia
138
667
3.9K
86.8K
sultan
sultan@chapanombombwi·
Wakuu, brother akifanya nini mtamsamehe? 🤔
sultan tweet media
Indonesia
48
9
75
4.9K
M.B.G
M.B.G@_kingOFstreet·
Hawa jamaa ni kina nan sasa mbona wanatuchanganya au ni vijana wa uVsisiem?
Indonesia
149
13
120
42.5K
Mr-vpn100% u r in my memory retweetledi
sultan
sultan@chapanombombwi·
Kwa heshima ya mapambano yake katika kutetea haki, hii picha inastahili repost ngapi?
sultan tweet mediasultan tweet media
Filipino
1
107
248
3.3K
Mr-vpn100% u r in my memory retweetledi
Adv. Dickson Matata
Adv. Dickson Matata@AdvMatata·
Namshukuru Mungu sana, kesi ya Kaunya na wenzake imeisha leo rasmi ambapo Kaunya yuko huru sasa. Asante sana mawakili wenzangu, Chama Taifa,Bavicha Taifa, Uongozi wa Kanda ya Serengeti, LHRC, wadau na wanachama wote kwa kujitoa kwenu kuhakikisha haki inatendeka. Bye bye Bunda!!
Indonesia
31
205
904
22.4K
Mr-vpn100% u r in my memory retweetledi
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Mwalimu Mabala anapendaga kusema “Ni Mungu mwenye ndio mwenye uwezo wa kusema iwe ikawa.”
Indonesia
5
36
216
8.7K
LastKid
LastKid@PoorCandidate·
@EngMapundajr Bila Kusahau Mwanza ilikuwa na Presenters wakali sana Kama kina Ezden "The Rocka", KidBway, Dee7 (RIP), Glory Robinson, Anko Sam, Fred Fidelis "Fredwaa" (RIP), SkyWalker etc. Kuna Muda Media za Mwanza zimewahi kuwa na Nguvu sana kwenye Kiwanda cha Burudani.
Filipino
1
3
8
447
Eng.Mapunda Jr
Eng.Mapunda Jr@EngMapundajr·
Hapo zamani kidogo..,Jiji la Miamba na Samaki Kulikuwaga na Tetemesha Record,Afu kukawa na Kiss Fm na Radio Free Africa..,Mwanza Ilishaga wahi kuwa kiwanda cha kuzalisha vipaji katika sekta nzima ya burudani..,🔥🔥🙌🏿
Filipino
35
50
453
14.6K
Mr-vpn100% u r in my memory retweetledi
David Djumbe
David Djumbe@daviddjumbe·
Soon hii itajengwa, sio Kwa sababu nyingine, ni Kwa sababu ya historia ya nchi yetu na mapito yake. FREE TUNDU LISSU NOW
David Djumbe tweet media
Filipino
11
140
759
11.7K
Mr-vpn100% u r in my memory retweetledi
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
Mzee Warioba alipoongea juzi kuwa October 29 tume ndio ilipiga kura hakukosea na ushahidi huu hapa. Nilishaposti hizi video instagram baada ya mauaji ya October 29. Embu cheki, kipindi nchi nzima iko kwenye darkness Tume ya uchaguzi na CCM ndio walikuwa wanafanya kazi hii. Uchaguzi wa Octover 29 2025 ni null and void. Hatuutambui.
Indonesia
52
392
1.6K
55.5K
Mr-vpn100% u r in my memory retweetledi
Mwinshehe 🕊️
Mwinshehe 🕊️@Mwinshehe07·
Tundu Antipas Lissu alizaliwa mwaka 1968 Mahambe, Singida. Alitoka kwenye mazingira ya kawaida ya kijijini hadi kusomea sheria na baadaye kuwa mmoja wa wanasiasa wakubwa wa upinzani Tanzania Alijijengea jina kupitia uwakili, kupinga ufisadi, kutetea haki za wananchi na hotuba zake kali bungeni akiwa Mbunge wa Singida Mashariki kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Mwaka 2017 alipigwa risasi Dodoma na kujeruhiwa vibaya tukio hilo likitikisa taifa na kuacha huzuni kubwa kwa umma Alitibiwa Nairobi kisha baadae Ubelgiji na baada ya kupata nafuu aliendelea kuwa sauti kubwa ya upinzani dhidi ya serikali mwaka 2020 alirejea nchini na kugombea urais kupitia CHADEMA, ambapo alitangazwa kushika nafasi ya pili nyuma ya mgombea wa CCM. Baada ya uchaguzi huo aliendelea kushika nafasi ya uongozi ndani ya chama kama makamu mwenyekiti Mwaka 2025 alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa chama baada ya kushinda uchaguzi wa Mkutano Mkuu wa Taifa dhidi ya Freeman Mbowe jambo lililoashiria mabadiliko makubwa ya uongozi ndani ya CHADEMA! TAL ni mwanasiasa wenye ushawishi mkubwa na mjadala mkubwa zaidi katika siasa za Tanzania Mwaka 2025, Tundu Lissu alikamatwa na kufunguliwa mashitaka ya uhaini pamoja na kesi nyingine za kisiasa hatua iliyosababisha kuendelea kushikiliwa na kufikishwa mahakamani huku kesi yake ikiendelea
Mwinshehe 🕊️ tweet mediaMwinshehe 🕊️ tweet mediaMwinshehe 🕊️ tweet mediaMwinshehe 🕊️ tweet media
Filipino
10
143
530
13.1K
Mr-vpn100% u r in my memory retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Mwanza naomba REPOST 200 za haraka sana.
SIR TIVA tweet media
11
343
1.1K
9.8K
Mr-vpn100% u r in my memory retweetledi
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
"Mabadiliko lazima yaje. Tuyafanye katika utaratibu wa kawaida. Tusipofanya hivyo, wale wasioridhika wanaweza kutumia njia nyingine. Na njia nyingine hizo huwa zinaleta matatizo." Jaji Joe Sinde Warioba.
Tito Magoti tweet media
Indonesia
8
261
1.6K
23.5K
Mr-vpn100% u r in my memory retweetledi
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Siku 399 jela, you remain unshakeable with a solid resolve for reforms. You’ve offered yourself more than enough for the country. Mungu akulinde na akutetee. May it rain; na ijulikane Mungu yupo. Free Tundu Lissu Now!
Tito Magoti tweet media
English
12
305
1.2K
8.1K
Mr-vpn100% u r in my memory retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
"Maiti zilipoteaje Mochwari? Kama watu waliofika mbele ya Tume na kudai ndugu zao wameuawa ni 1,315 lakini maiti zilizopatikana ni 518 tu, kwanini Tume haikufuatilia madai ya maiti kutoroshwa Mochwari? Zilitoroshwa na nani?Kwa amri ya nani? Na zilipelekwa wapi?" Anahoji Rais wa TLS, Wakili Msomi @Mwabuk2Boniface
Indonesia
4
214
975
21.8K
mTusi original 👦
mTusi original 👦@mTusiOriginal·
Mtoto pekee alie weza kumshitaki baba yake kwa kutaka kuuza shamba na kujitolea kulea familia kwa kuomba omba huko kabanga kasulu akachukulia na kiongozi kumbe alipata one ya 7 form 4 🙌🙌👇
mTusi original 👦 tweet mediamTusi original 👦 tweet media
Indonesia
24
34
761
47.3K
Presenter Noah
Presenter Noah@PresenterNoah·
Hivi hapa kwetu Tanzania chakula chetu cha asili ni kipi?! Mfano nikaulizwa na foreigner, what is your traditional food? Fasta fasta natakiwa kumwambia msosi gani?
Indonesia
288
38
864
59.9K
Masaki
Masaki@selemasaki·
Naomba jibu 😅😅
Indonesia
1
3
13
632