#BREAKING: RAIA HAITI WAZUIA KUONDOKA KWA POLISI WA KENYA KWA HOFU YA KUTAWALIWA NA MAGENGE
Raia wa Haiti siku ya Jumatatu walizuia polisi wa Kenya waliokuwa wakielekea St. Marks na Pont Sonde, wakipinga kuondoka kwao.
Waandamanaji walisema kuondoka kwa maafisa hao kungewaacha wakiwa hatarini kukabiliwa na magenge ya uhalifu, na hivyo kudhoofisha jukumu la kulinda amani.
Barabara katika eneo la Petite Rivière na Pont Sonde zilifungwa kwa vizuizi, na kulazimisha helikopta kutumika kuwahamisha polisi hao kutoka maeneo hayo.
Tukio hilo limeonyesha hofu kubwa miongoni mwa wakazi wanaoamini kuwa kumalizika kwa jukumu la amani kutawafichua kwa machafuko mapya.
Kenya imekuwa ikiongoza jukumu la Multinational Security Support (MSS) nchini Haiti, likiwa na lengo la kudhibiti magenge yaliyokithiri.
Wakati maafisa wa Kenya wakirudishwa nyumbani kwa mzunguko wa kawaida, vikosi vingine kutoka Jamaica, Belize na Bahamas tayari vimewasili nchini Haiti kwa mafunzo na uratibu wa pamoja.
Mhe Rais @SuluhuSamia ungetusaidia sana kumrejesha Mhe Gwajima Wizara ya Afya. Maana wagonjwa wa akili wamekuwa wengi. Wanaongea lolote popote na hawakamatwi ili kupewa tiba stahiki. Asante Waziri Gwajima kwa somo hili la vitendo. Kikombe cha BABU kinarudi upya na madhara makubwa
Mwaka 1968 mamlaka ya anga marekan NASA kwa kushirikiana na APPOLO XIII walipeleka watu mwezin na kutua
Mwaka 2026 NASA kwa kushirikiana na ATERM II wamepeleka watu mwezin hawakutua kwenye mwezi ni JARIBIO la safari ya pili 2028
Nini kimebadilika hadi waanze tena na jaribio?
Leo nimekutana na paka tuliyekuwa tunamfuga home, amehamia nyumba kama ya kumi mtaa huu huu.
Na ana watoto, kaniona anaanza kulia nyau,
Nimewaza sana, yani ilikuwaje akaona hawezi kuza na kuwalea watoto wake pale home, yani ametuchukuliaje 😂
@fredmjohn@PMadeleka Haki ya mpangaji ni kwenye pango maana nyumba,na mkataba ni pale anapolipa Kodi,ardhi aliipangishwa lini ?na nani alimkodishia ardhi miaka 99,ulishawahi kuona huo mkataba wewe miaka 99bado hujajenga kwako,intension ya mpangaji ninini
Mheshimiwa Rais SAMIA SULUHU HASSAN nakuomba kwa TAADHIMA KUBWA, usikubali Serikali yako ICHAFUKE KWA UPUUZI kama huo 👇.Haiwezekani HAKI za YATIMA zichezewe na watendaji WALA RUSHWA. Kamishina wa Ardhi Dar es Salaam anapaswa KUFUKUZWA KAZI haraka ili KULINDA HESHIMA YA SERIKALI
@PMadeleka Kwani aliempangisha ni nani? Na Kwa Sasa nani anachukua Kodi,miaka 99 upangaji wa ardhi kwani yeye serikali?,mambo ni mengi Kwa kweli,mm si mwanasheria ila hao ardhi wamejivika mahakama,eti wamtafute mpangaji daaa
“Hapa kwetu ilikuwa rahisi kwake kwa sababu leo Yanga wangecheza na Namungo na kumiliki mpira kwa asilimia 99. Keshokutwa wangecheza na Coastal na kumiliki mpira wote. Kule Morocco licha ya Wydad kuwa wakubwa, lakini mpira wao dhidi ya wapinzani ni kuhenya kwa dakika zote.
Aziz ana 'kauvivu’ fulani ambako nilijua asingemudu sana mpira wa Waarabu wa kule. Huku kwetu alitusisimua katika matukio ya mashuti. Kona nzuri. Faulo nzuri. Mashuti ya mbali. Pasi za mwisho katika eneo la mwisho ambalo Yanga mara zote walifika kwa urahisi.”
Edo Kumwembe, Mchambuzi wa soka
Police were called yesterday at a lodge in Pretoria after two 14-year-olds (a boy and a girl) walked in asking for a room for the night.
Staff clocked the ages, panicked, and did the right thing called the cops immediately. In a small bag police were shocked to find R700, a pack of condoms, mpesu, and peanuts. The young couple meant business.
Soon people from nearby houses were called to identify the kids. While some were angry at the lodge staff for denying kids enjoyment others applauded the staff for doing the right thing by calling the police.
Kuweka ndani stock ya chakula ni muhimu sn kipindi hiki
-Salmoni Kg 20
-Uyoga Kg 30
-Pasta Kg 30
-Tuna Kg 20
-Carpaccio Kg 10
-Mayai Tray 20
-Rosotto Kg 40
-Fillet Kg 30
-Mboga za majani
-Divai nyekundu Lita 20
-Maziwa Lita 40
-Matunda tenga 2
-Mchele Kg 30
-Maharage Kg 20