Burhani M. Mustapha (Mwagalazi)

33.6K posts

Burhani M. Mustapha (Mwagalazi) banner
Burhani M. Mustapha (Mwagalazi)

Burhani M. Mustapha (Mwagalazi)

@MustaphaBurhani

In Shaa Allah.

Tanzania Katılım Temmuz 2013
2.6K Takip Edilen9.6K Takipçiler
Burhani M. Mustapha (Mwagalazi)
Burhani M. Mustapha (Mwagalazi)@MustaphaBurhani·
Bahati nzuri Malipo ya MwenyeziMungu huwa hayakawiagi, ni Swala la Muda. kila la kheri.
Filipino
2
39
228
3.3K
Burhani M. Mustapha (Mwagalazi)
Burhani M. Mustapha (Mwagalazi)@MustaphaBurhani·
Nimetizama Horror movies Nyingi, Ila hii Bring Her Back Hapana 🙌🙌🙌🙌🙌
Tanzania 🇹🇿 Filipino
33
35
329
50.1K
Mwesi
Mwesi@DKabugumila·
@MustaphaBurhani Oya,hii ni kali. Uzuri niliitazama mchana. 🙌🏾🤣
Indonesia
1
0
5
1.4K
Arsenal
Arsenal@Arsenal·
🐘 Tanzania honeymoons ⛳️ Golf in America ☀️ Much more Check out what our Gunners have been up to during the off-season 📸
English
63
187
2.5K
243.9K
MR BEN
MR BEN@Eric__Bernard·
Nawaambiaga humu kila Mtu ni CCM Mnabisha.. Sema Devota Spana zote zile Daily ulikua unatupiga Wapush Reli humu Kumbe Kada 😂
Jambo TV@Jambotv_

Mwandishi wa habari na mtetezi wa haki za binadamu, Devota Tweve, amechukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Mbozi, mkoani Songwe, tarehe 29 Juni 2025, hatua inayotafsiriwa kama mwendelezo wa safari yake ya muda mrefu ya kutetea haki za watoto na wasichana nchini Tanzania. Devota @TweveDevota , anayejulikana kwa mchango wake mkubwa katika masuala ya kijamii, amewahi kutunukiwa Tuzo ya Umoja wa Mataifa ya Kujitolea kwa juhudi zake katika kufanikisha Malengo Endelevu ya Maendeleo (SDGs), hususan katika mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia. Pia ni mshindi wa Tuzo ya Kutokomeza Ukatili Mtandaoni iliyotolewa na shirika la WiLDAF kutokana na kampeni zake za kulinda usalama wa wanawake na wasichana katika majukwaa ya kidijitali. Kwa miaka mingi, Devota ameshirikiana na mashirika mbalimbali yasiyo ya kiserikali kupigania haki za watoto, ikiwa ni pamoja na kupaza sauti dhidi ya unyanyasaji wa kijinsia, kutetea haki ya wasichana waliopata mimba kurejea shule, kuelimisha jamii kuhusu usawa wa kijinsia na haki za binadamu. Kwa sasa, anataka kupeleka ajenda yake ya haki na usawa hadi kwenye ngazi ya maamuzi ya kitaifa kupitia nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Mbozi kupitia CCM, akiahidi kusimamia maendeleo jumuishi kwa wananchi wote.

Indonesia
46
7
199
15.2K
DevotaTweve
DevotaTweve@TweveDevota·
Leo nimefanikiwa kuchukua fomu ya kuwania ubunge jimbo la Mbozi mkoani Songwe.
DevotaTweve tweet mediaDevotaTweve tweet media
Indonesia
409
80
660
175.7K
Kenny Mmari Snr.
Kenny Mmari Snr.@KennedyMmari·
Biashara Asubuhi, Mahesabu Jioni. Leo, Jumamosi ya tarehe 28 Juni 2025, saa mbili kamili asubuhi, nimekuwa mtia nia wa kwanza kufika katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Siha, Mkoa wa Kilimanjaro, kuchukua rasmi fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Siha. Hatua hii ni ya heshima, lakini pia ni ya dhamira. Nimefika mapema si kwa bahati, bali kama ishara ya namna ninavyochukulia jukumu hili kwa uzito, umakini, na heshima kwa wananchi wa Siha. Ninakuja si kwa maneno tu, bali na rekodi ya kazi, uwezo wa kushirikisha watu, na maono ya kujenga Siha yenye maendeleo jumuishi, fursa kwa vijana, na huduma bora kwa wananchi wote. Nimelelewa Siha. Nimepitia changamoto zake, nimeiona thamani yake, na naamini sasa ni wakati wa kizazi kipya kutoa mchango wake. Leo ni mwanzo wa safari rasmi. Safari ya kusikiliza, kujifunza, na kutumikia kwa moyo wote. Siha ni nyumbani. Na sasa, ni wakati wa kuijenga pamoja.
Kenny Mmari Snr. tweet mediaKenny Mmari Snr. tweet mediaKenny Mmari Snr. tweet mediaKenny Mmari Snr. tweet media
Indonesia
239
118
560
95.1K
Burhani M. Mustapha (Mwagalazi)
Burhani M. Mustapha (Mwagalazi)@MustaphaBurhani·
Kuna ndugu yangu ameambiwa pingiri moja ya UTI WA mgongo imehama, kuambiwa njia ya kumsaidia ni operation Tu. Wataalam hakuna namna Ingine tofauti na operation inayoweza kufanywa ili kutatua Tatizo hili?
Indonesia
26
6
223
21K
Burhani M. Mustapha (Mwagalazi)
Burhani M. Mustapha (Mwagalazi)@MustaphaBurhani·
@Outset_Of_Omega Kwasasa vidole vinakufa ganzi kuna Kimoja kimekufa ganzi kabisa, ana sumbuliwa na mgongo Sana... Mikononkufa ganzi na mgongo ndo kilifanya akapime, Miaka 50+, Mwanaume.
1
0
0
16