Eng. Paul👷🏿‍♂️

604 posts

Eng. Paul👷🏿‍♂️

Eng. Paul👷🏿‍♂️

@NelsonPaul32

Civil Engineer Copywriter

Katılım Nisan 2022
556 Takip Edilen80 Takipçiler
Dr Makumba
Dr Makumba@makumbawaleo_5n·
Watu wa ajabu sana, wazee mnakuja kula MUHAS me na wanangu pale upanga tulikua tunaenda kula Azania! Chapati 200, juice glas nzima 300! Kuna mchizi wa kishua alijaribu alipata typhoid in a week! 😂
ADENUGA✝️@hereiseddy_

Nakumbuka wayback nipo Uni nilikua natoka na wanangu maandishi matatu hadi MUHAS kupata wali utumbo wa 800😂😂 Boom lote unadedicate kwenye mavazi😂 unabaki na budget ya msosi kama 1500 kwa siku😂 Hapo ni wali utumbo na “maji makubwa 500”

Indonesia
15
2
25
4.8K
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
Mimi nimekaa GEREZANI kwa muda wa miaka 2. Uzoefu nilionao ni kwamba; MAHABUSU au MFUNGWA wa KIKE haruhusiwi KUVAA HERENI kama huyo 👇. Jambo hili linafanya TUKIO lote la siku ile lionekane kama ni KAOLE SANAA GROUP.😂😂
Peter Madeleka tweet media
Indonesia
147
207
1.7K
73.4K
Eng. Paul👷🏿‍♂️
Eng. Paul👷🏿‍♂️@NelsonPaul32·
@Eng_Matarra Wafungwa wote walipunguziwa vifungo, waliohukumiwa kunyongwa wakapewa maisha, wa maisha wakapewa 30, na wa 30 vikashuka
Filipino
0
0
0
50
JAPHET MATARRA
JAPHET MATARRA@Eng_Matarra·
Halafu katumikia miaka 13 ila anasema kabakiza miaka 2 😂😂
Eesti
2
1
11
2.3K
NYANI MZEE
NYANI MZEE@jwise017·
Matajiri wanaoingiza mafuta sasa hivi wako vekesheni na bebez kaliiii kama 6 hivi zimewazunguka huko Malibu na wameshatoa order za autobiography za 2025 kuwazawadia bebez. Mawazoni mwao “hawa kenge watapiga kelele siku mbili watazoea na mwaka huu mzigo lazima usome 8k/litre”.
Indonesia
8
20
117
4.8K
Mangi wa Kichaga
Mangi wa Kichaga@MangiwaKwanza1·
Kwa maoni yako unadhani hii report ya tume italiponya taifa?
Filipino
102
37
235
8.2K
Eng. Paul👷🏿‍♂️
Eng. Paul👷🏿‍♂️@NelsonPaul32·
@PolycarpMDM Inaweza ikawa isiwe ivyo kila siku ila kwa sisi wapambanaji sasa hivi kwenda Dom asubuhi kufanya mishe zako Alafu ukageuka jioni kitu ya kawaida ambayo zamani ilikuwa impossible
Indonesia
0
0
2
602
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
Ule usemi wenu wa "Treni ikikamilika tutakua tunafanya kazi DSM jioni tunarudi Moro kila siku" uliishia wapi? Mlikua mnawaza ujinga tunawachora tu.
Indonesia
16
20
320
15.6K
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Haya mabaka ya jeshi yetu kweli? @Rachel17D Instagram anasema huko Arusha @SuluhuSamia analindwa na wanajeshi wa Uganda na hata sare za maaskari siyo ya JWTZ Nimefanya search mabaka ya JWTZ ni makubwa na green yake imekolea - kwa mantiki hii, hizi za Arusha si za JWTZ ila kama ni Uganda ama za wapi sijui! 🧐 Nchi inaendeshwa kiwaki sana #SamiaMustGo
Maria Sarungi Tsehai tweet mediaMaria Sarungi Tsehai tweet mediaMaria Sarungi Tsehai tweet media
Filipino
115
74
617
129.6K
Eng. Paul👷🏿‍♂️
Eng. Paul👷🏿‍♂️@NelsonPaul32·
@YourFrenchFry Naungana na wewe sister like who wants to smell garlic and Simba mbili while watching Netflix???? 🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
English
0
1
4
2.7K
Eng. Paul👷🏿‍♂️
Eng. Paul👷🏿‍♂️@NelsonPaul32·
@EduTalkTz Kwa tkwimu mpaka hapo shida haiko kwenye mifumo ya elimu, mwalimu kufundisha wastani wa wanafunzi 286 kiukweli hiii load sio kubwa kushindwa kuhandle, kitabu kimoja wanafunzi wawili sio mbaya kuhusu ufaulu ni issue ya walimu na wanafunzi wao Kuna namna tuu hawako serious
Filipino
0
0
0
29
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
MATOKEO YA MABOVU KABISA YA KIDATO CHA NNE 2025 MANISPAA YA TEMEKE NI MWENDELEZO WA KILIO CHA WATOTO WA WATANZANIA MASKINI WALIOTELEKEZWA. Tuangalie takwimu za elimu TEMEKE⬇️. IDADI YA SHULE NA WANAFUNZI Mpaka kufikia 2025, TEMEKE ilikuwa na shule za sekondari za umma 32 zenye jumla ya wanafunzi 79,002. IDADI YA WALIMU VS WANAFUNZI Jumla ya walimu waliokuwepo kwenye hizi shule ni 2,483. Ukichukua walimu 2,483 ukagawanya kwa masomo tisa ya msingi (Civics, History, Geography, Kiswahili, English, Physics, Chemistry, Biology, na Mathematics), utagundua kila somo lina wastani wa walimu 276. Tafsiri yake ni kwamba shule 64 za sekondari za umma TEMEKE zenye jumla ya wanafunzi 79,002 zina wastani wa walimu 276 tu kwa kila somo. Ukichukua wanafunzi 79,002 ukagawanya kwa walimu 276 utagundua kwamba kila Mwalimu mmoja kwenye shule za sekondari za umma TEMEKE anafundisha wanafunzi 286. IDADI YA VITABU VS WANAFUNZI Mpaka kufikia mwaka 2025, jumla ya vitabu vyote vilivyokuwa kwenye shule ya Sekondari Manispaa ya TEMEKE ni 330,245. Tukichukua idadi hii ya vitabu 330,245 tukagawanya kwa masomo tisa, tutaona kuwa kila somo lina wastani wa vitabu 36,993 kwa vidato vyote. Ni muhimu kukumbuka kuwa hapa tumeassume vitabu vyote ni vya haya masomo tisa tu, kitu ambacho sio sahihi. Tukichukua vitabu 36,993 tukagawanya kwa wanafunzi 79,002 waliopo kwenye hizi shule, tutaona kuwa kitabu kimoja kinahudumia wanafunzi zaidi ya wawili. Mfano halisi, kidato cha kwanza chenye wanafunzi 23,000+ kilikuwa na vitabu 10,000 vya somo la lugha ya kiingereza. VYUMBA VYA MADARASA Mpaka kufikia mwaka 2023, jumla ya vyumba vya madarasa kwenye shule za sekondari za umma TEMEKE ilikuwa vyumba 1,273. Ukichukua wanafunzi 79,002 ukagawanya kwa vyumba 1,273, utaona kila darasa linabeba zaidi ya wanafunzi 62. MATUNDU YA VYOO Mpaka 2023 shule zote za sekondari za umma TEMEKE zilikuwa na jumla ya matundu ya vyoo 669. Ukichukua wanafunzi 79,002 ukagawanya kwa matundu ya vyoo 669, utaona kila tundu moja linahudumia zaidi ya wanafunzi 118. KOMPYUTA NA VIFAA VYA ICT Mpaka 2023 kulikuwa na jumla ya kompyuta 228 (desktops na laptops) na projectors 13 tu kwenye shule zote za sekondari za umma TEMEKE. Kwa mazingira ya aina hii, ni ukatili wa hali ya juu kuthubutu kujenga hoja kwamba hawa watoto wanafanya vibaya kwa sababu hawapendi kusoma au wana maadili mabovu au hoja nyingine yoyote ile inayopuuzia mazingira haya. Halafu kama vile hali duni ya mazingira kama hii haitoshi, bado hawa watoto wanatakiwa kusoma kwa lugha ya kiingereza ambacho wao na walimu wao wote hawakijui. Yani mtoto anakuja Sekondari kutoka primary ambako alikuwa anasoma kwa kiswahili kisha ghafla anaambiwa anatakiwa kusoma na kupimwa kwa lugha ya kiingereza. Wakati huo huo hapewi vitabu wala walimu wa kumfundisha hichi kiingereza. Anatumia muujiza gani huyu mtoto? Tumekuwa wakatili sana, sana kuliko kawaida. Kwa makusudi kabisa tunaua future ya hawa watoto. Sad!
(---) Onesmo Mushi tweet media
Indonesia
18
13
71
9.5K
MtOtO KaUtAka!🤠
MtOtO KaUtAka!🤠@benny_pascal·
@gabyconscious Cjui ajira gan mnasemea lakin mm nimemaliza 2018 na chemistry yangu miaka 7 sijapata kazi mpaka nshachoka na kutegemea serikali
Indonesia
3
0
1
1.3K
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
VIDEO: “Usikubali kuwa Mkatoliki wa kubabaisha, Mkatoliki wa maigizo, Mkatoliki wa kubabaisha na kudanganya watu, kuwa Mkatoliki kweli…msiwe Wakatoliki wa vijora, hata kama mnahongwa hela bakini Wakatoliki wa kweli”, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa'ichi akizungumza wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Kumbukumbu ya Mashahidi wa Pugu na kufunga mwaka wa Jubilei Kuu 2025, katika Kituo cha Hija Pugu Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam lililofanyika Viwanja vya Pugu Jumamosi Januari 10, 2026.
Indonesia
5
32
114
4.7K