father pig
3.3K posts

father pig
@Topboy019
The D.D.O ( Daily drinking officer),
Chiyoda-ku, Tokyo Katılım Mayıs 2020
189 Takip Edilen126 Takipçiler

@Mwabuk2Boniface Yaani wewe huna tofauti na mbowe unaweza ukawasha moto kuiweka serikali tumbo joto wakiona umewaka sana wanakuita wanakupa kibunda unanywea kwa mdude ulisema TLS itaweka karamu chin sijui iliishia wapi ukaanza drama kwhy wewe punguza maneno yasiyo kuwa na vitendo vinavyoleta tija
Indonesia

Nimepokea Taarifa kuhusu kukamatwa na kutoonekana kwa vijana hawa katika kituo cha Polisi Arusha au Usariver ilikodaiwa wamepelekwa.
Nimezungumza na Kiongozi wa Chama cha Mawakiki kanda ya Kaskazin ndugu Adv.David Shillatu kufuatilia kwa haraka jambo hili kupitia Viongozi wa Chapter ya Arusha.
Sanaa ni Taaluma na ni njia halali ya kufikisha ujumbe na hatutarajii kuchukuliwa kuwa kosa la jinai na hakuna sheria yeyote inahokataza wananchi kukoska viongozi,kuwapenda au kumchukia mtu.Huo ni utashi binafsi wa Mhusika.
Tunalitaka Jeshi la Polisi kuwafikisha Mahakamani mara moja au la kuwapa haki yao ya dhamana iwapo wanatumhumiwa kwa kosa lolote na kuwapa haki ya kuwasiliana na ndugu au Mawakili wao.
TLS inafuatilia jambo hili kwa ukaribu na Kulipa Uzito wa kipekee
BAK Mwabukusi
President

Indonesia

@ShijaShibeshi @chacha_heche Na hapo ndio huwa mnafeli mtu kajiunga jana hata hamjamfahamu mmeshaanza kumpa majukwaa hawa huwa wanatumwa
Filipino

@NCHIYANGUT @sisiniTanzania @matokeochanya @katibayawatu @Sheria_Katiba @ccm_zanzibar @ChademaTz @ikulumawasliano Haki kwanza amani baadae
हिन्दी

"Je, kauli za 'KUKINUKISHA' kutoka kwa viongozi wa dini au siasa ni matumizi ya uhuru wa maoni au ni tishio kwa mshikamano wa taifa?"
👉🏾 Jibu na toa mtazamo wako.
#Kukinukisha #AmaniKwanza #DemokrasiaTanzania

Indonesia

@makirikiri9 @fatma_karume Inashangaza sana kaka wasomi hawatusaidii
Indonesia

@Topboy019 @fatma_karume Malizia tunatetea dini za kigeni zilizotumika kututawala na raslimali zetu zikaporwa.. Nani katuloga wajemeni

@natanaeliW @spana_Konki Kukopi na kupaste inaruhusiwa kikubwa useme umetoa wapi na jamaa kaonyesha hapo shida yako wewe ni nini?
Filipino

@fatma_karume @rollymsouth Imefikia hatua waafrika tunatetea dini kuliko rasilimali zetu zinavyotapanywa na waafrika wenzetu
Indonesia

@iddisalum91 @chechetimes Ila wezi wanaojilimbikia mali alafu sisi tunaishi kwa shida ndio wana nia nzuri na sisi?
Suomi

@chechetimes Watanzania wenzangu uwelewa na huyu jamaa, alipigwajiwe alikimbia inchi, huyu Hana nia nzuri na taifa au watanzania tusiwekaribu nae kwa hatufai kutunganisha watanzania wote
Indonesia

@chiefodemba Na je virusi hivyo vitakuwa vinabagua watu wa CHADEMA?
Indonesia

Hii ni kauli nzito sana, kama ina ukweli ndani yake Je mamlaka wamechukua hatua gani mpaka sasa ili kuwanusuru watanzania…?
Na kama haina ukweli Chadema wanachukua hatua gani dhidi ya kauli hii, ambayo inahatarisha maisha ya watanzania..? Ni vyema viongozi wetu wakachuja kauli zao kabla ya kuyatoa hadharani..!
#Tanzanianiyetusote tuijenge pamoja.
Indonesia

@JamiiForums Usahihi ni Kaimu na si Naibu. Rekebisheni taarifa yenu.
Indonesia

ARUSHA: Naibu Katibu Tawala wa Wilaya ya Arusha Mjini, David Malaki amelazimika kusitisha mazungumzo yake na Wananchi wa Mtaa wa Nadokati, Arusha Mjini waliogoma kumsikiliza kutokana na kutoa kauli ambayo ilionekana kuwakera baada ya kuwaita “Wajinga”
Chanzo cha yeye kufika hapo ni baada ya Wananchi kuziba Barabara wakidai ni mbovu na imekuwa kero kwao kwa muda mrefu
Inaelezwa baada ya Kiongozi huyo kuondoka eneo hilo kwa kushindwa kuzungumza na Wananchi, Ofisi ya Meya ilitoa gari maalum kwa ajili ya kurekebisha Barabara hiyo ambayo ilifungwa na Wananchi hao
Soma jamii.app/ArushaMjini
#JamiiForums #Governance #Accountability #CivilRights
Indonesia

Baada ya nchi ya Ujerumani kuzuia misaada mipya ya kimaendeleo kwenda kwa taifa la Rwanda kwa kudai taifa hilo linaunga mkono kikundi cha waasi cha M23. Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa ya Rwanda imeijibu Ujerumani kwa kudai kuwa wanaipendelea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na hawaiwajibishi.
Katika taarifa iliyotolewa na wizara hiyo imesema “Usitishwaji wa ushirikiano wa maendeleo na serikali ya Ujerumani ni wa kimakosa na hauna tija. Ujerumani inajipinga yenyewe kwa kudai kuunga mkono mchakato unaoongozwa na Afrika wa kutatua mgogoro mashariki mwa DRC, huku ikiiacha DRC bila kuwajibishwa kwa ukiukwaji wake mwingi wa makubaliano. Hili linaimarisha tu mwelekeo wake wa uchokozi na kurefusha mgogoro bila sababu.”
Taarifa hiyo imeongeza kuwa “Ujerumani inaonyesha ukosefu mkubwa wa ujasiri kwa kupuuza tishio linalotokana na wanamgambo wa FDLR wanaoungwa mkono na DRC kwa Rwanda, pamoja na jamii za Watutsi wa Kongo mashariki mwa DRC.”
Rwanda imeshangazwa na uchukuaji wa hatua Ujerumani ambao umeamua kuchagua upande mmoja “Nchi kama Ujerumani, ambazo zina jukumu la kihistoria katika hali ya machafuko ya mara kwa mara katika eneo hili, zinapaswa kujua vyema zaidi kuliko kutumia hatua za upande mmoja na za kulazimisha.”
Pamoja na hayo Rwanda imesema itaendelea kulinda usalama wake wa kitaifa huku ikiendelea kushiriki kikamilifu katika mchakato wa amani wa kikanda unaoendelea.

Indonesia

@TwevePauLo @Deo18Tarimo Kijiamini hata kama ana miguu kama antenna za grasshopper 🦗🦗 🤣🤣🤣 Red pensi (2025) PICHA YA KWENYE GARI. mkobozi press.
Indonesia

@chosenoneGod @millardayo Kwa mjibu wa bei ya chama labda sifuri sifuri nyingi
Indonesia

Mtoto wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, Jesca Magufuli ametoa pikipiki tano zenye thamani ya Tsh. milioni 17 kwa Makatibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya zote za Mkoa wa Geita ili ziwasadie kwenye shughuli zao za kila siku za Kichama.
Jesca amekabidhi pikipiki hizo kwa Katibu wa UVCCM Mkoa wa Geita, Abel Shamakala ili kuongeza ufanisi wa utendaji wa shughuli mbalimbali za ujenzi wa Jumuiya katika Mkoa huo, ikiwa ni pamoja na kuwahi vikao na kufika Kwa Vijana na kutafuta kero zao.
Mjumbe wa Baraza Kuu UVCCM Taifa, Reuben Saganyika amemshukuru Jesca Magufuli kwa mchango wake “Hizi pikipiki zitakwenda kufanya kazi, na hasa kipindi hiki cha Uchaguzi, pikipiki hizi zitakwenda kusaka kura za Chama Cha Mapinduzi, zitakwenda kuleta ushindi Kwa Chama Chetu ndani ya Mkoa wetu wa Geita, hivyo tunakushuruku sana Dada yetu”
#MillardAyoUPDATES


@JamiiForums Alafu ni vitu vya ajabu sana na kutafutia watu ulaji cheti kimetolewa na taasisi(chuo) kinachotambulika sijui mwanasheria anaingiaje hapo 😳😳
Suomi

Mdau anadai amekuwa akikutana na changamoto ya kushindwa kubadilisha vyeti ili kuweka vilivyohakikiwa na Mwanasheria katika Tovuti ya Ajira Portal, hali ambayo inamfanya kukosa sifa ya kuchaguliwa kila anapoomba Ajira
Anadai amekuwa akipiga simu ya Huduma kwa Wateja lakini haipokelewi na mara nyingine anajulishwa Simu inatumika, amejaribu kuuliza kwa wenzake kadhaa nao wamekutana na changamoto hiyo pia
Anatoa wito Idara husika iangalie namna ya kusaidia Wateja, kama wanazidiwa basi watafute njia mbadala badala ya kuwa kero kama ilivyo sasa, anadai ni zaidi ya Mwezi Simu hazipokelewi
Soma jamii.app/AjiraPortal
#JamiiForums #Accountability #JFHuduma #DigitalWorld

Indonesia























