Jonson Jonson.

5.3K posts

Jonson Jonson. banner
Jonson Jonson.

Jonson Jonson.

@chosenoneGod

Kila mtanzania , anahitaji katiba mpya ambayo itaendana na mahitaji ya sasa na sio mahitaji ya Mwaka 1977 (single party system)

Germany Katılım Nisan 2015
427 Takip Edilen211 Takipçiler
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Nduli Idd Amin Mama anavopenda maigizo unaweza kukuta hawa sio wafungwa, ni watu alienda nao Location kutengeneza Igizo.
Hilda Newton tweet media
Indonesia
52
48
835
63.8K
Jonson Jonson.
Jonson Jonson.@chosenoneGod·
@joeselasini Hii ndo imefanya tuondolewe mahojiano ya wahanga na kuambiwa wanalinda faragha
Filipino
0
0
0
21
joseph_selasini
joseph_selasini@joeselasini·
Fr. Kitima alisema Polisi waliingia hosp. na kuelekeza majeruhi wasitibiwe wapelekwe chumba cha maiti. Ukiwaondoa wenye majeraha hosp. wasitibiwe si ni kutaka wakafie mbele? Kuna tofauti ya kimantiki kati ya kauli ya huyu mama na Fr. Kitima?
joseph_selasini tweet media
Indonesia
11
97
619
28.1K
Jonson Jonson.
Jonson Jonson.@chosenoneGod·
@Sativa255 Songwe napo nimepta saa 4 usiku barabara za chocho pickup nyeupe zimejaa humo
0
0
0
2
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Ushahidi mwingine wa POLISI na vyombo vya USALAMA wakiua watanzania. Huyu ni kijana ambae alikamatwa 29 oktoba siku ya maandamano huko TUNDUMA MKOANI SONGWE. Hapo alishushwa kwenye Gari la Polisi baada ya kupigwa sana na kuambiwa AKIMBIE. Alipokuwa akikimbia kama alivyoambiwa akapigiwa Risasi ya kwanza ikamkosa, ikapigwa Risasi ya pili ikampata akaanguka na kufariki punde. Polisi wakachukua mwili wake na kuondoka nao, ndugu zake wametafuta mwili mochwari zote mkoa wa Songwe hawajafanikiwa. Huu ni zaidi ya Unyama uliofanyika Gizani na walijua Dunia haitauona. Wamejitahidi kujificha kwenye vichaka vingi ila haviwasaidii. DUNIA IMEONA UHALISIA. TUTAKUWEPO🫵😎
Filipino
130
373
1.3K
68.5K
Jonson Jonson.
Jonson Jonson.@chosenoneGod·
@_zack255 Kesho trump akiibuka tu. Mnaanza tena kutoa taarifa za kumkataa trump😂😂
Indonesia
0
0
0
6
HABARIMPYA TV
HABARIMPYA TV@HabarimpyaTv·
Hii ni Vita ya Kiuchumi, jiulize wametoa wapi izo hela,.?" -Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba
Indonesia
129
9
146
44.4K
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
VIDEO: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeeleza kuwa vurugu zilizojitokeza katika baadhi ya maeneo nchini hazikuathiri kwa kiwango kikubwa zoezi la kupiga kura, kwani sehemu nyingi ziliendelea na shughuli hiyo kama ilivyopangwa. Akizungumza na wanahabari jijini Dodoma Jumatano, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi, amesema vurugu zilizoonekana katika siku ya uchaguzi na siku iliyofuata zilikuwa katika maeneo machache ikilinganishwa na idadi ya vituo kote nchini. Kihongosi ametaja mikoa ya Arusha, Dar es Salaam, Songwe na Mbeya kama maeneo ambayo vurugu zilijitokeza zaidi, baadhi zikitokea mchana wa siku ya uchaguzi, huku zingine zikiripotiwa siku ya pili. Amesema mikoa mingine nchini haikushuhudia machafuko na hivyo wananchi waliweza kupiga kura mapema bila changamoto. Kwa mujibu wa Kihongosi, mwaka huu kulikuwa na vituo vingi zaidi vya kupigia kura kuliko wakati mwingine wowote, hatua iliyowezesha upigaji kura kukamilika mapema katika maeneo mengi. Amesema ugawaji wa vituo uliboresha mchakato, ukilinganisha na miaka iliyopita ambapo idadi ndogo ya vituo ilisababisha foleni ndefu na ucheleweshaji wa zoezi.
Filipino
41
2
10
4.8K
Benedicto Mahendeka
Benedicto Mahendeka@officialben94·
@rollymsouth Wakaamua kuzima mtandao ili mambo yao yafanyike gizani wakasahau kuzima umeme oyaaaaaaaaaaaa Wamejipiga kidole cha kati
Indonesia
1
0
10
1.3K
Madenge
Madenge@rollymsouth·
Kwamba serikali haijui aliyeua watu kwenye maandamano ni nani? Hizi ni dharau
Indonesia
50
230
1.8K
32.3K
Jonson Jonson.
Jonson Jonson.@chosenoneGod·
@1960Remija 😅😂😂😂😂 kocha kama Shabiki wa mandonga mtu kazi. Amejaa visiran unategemea wachezaj wamuelewe. Yule Kocha sidhan kama anajua hata kucheza Draft yule😅😂😂😂
Indonesia
0
0
0
11
DJIGUI DIARRA 🐐
DJIGUI DIARRA 🐐@1960Remija·
Shirikisho la soka linalojitambua kuelekea CHAN mpaka AFCON walitakuwa kuwekeza kwa kocha wa kigeni mwenye CV atengeneze project ya muda mrefu. Tukachagua kuwapa timu wahamasishaji.
Indonesia
12
13
206
4.4K
Lembrus Mchome
Lembrus Mchome@LembrusMchome·
Ni nani wa kutaka kumuua Mwanamapinduzi Je anamadhara gani kwa serikali?. Ipo list ya vijana wengi ambao wanatakutumia mwamvuli wa siasa kupata njia ya kuishi ughaibuni kama wakimbizi. Hii sio sifa kwa nchi vijana tutafte kazi za kufanya. Yupo mmoja majuzi amerudia mpakani.
Lembrus Mchome tweet media
Indonesia
40
2
23
5.3K
Hasta La Victoria Siempre
Can't count days but you can atleast count number of changes in clothing. is there any official statement about this visits? Shtuka #kataawahuni
Hasta La Victoria Siempre tweet mediaHasta La Victoria Siempre tweet mediaHasta La Victoria Siempre tweet mediaHasta La Victoria Siempre tweet media
English
71
173
1.4K
112K
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
"Sisi CHAUMMA sera yetu ni chakula, mgonjwa akifika hospitali badala ya kukutana na dripu anakutana na ubwabwa, anapiga ubwabwa anashushia na dawa." - Devotha Minja, Mgombea Mwenza wa Urais kupitia CHAUMMA kwenye uzinduzi wa kampeni
Indonesia
263
24
361
74K
Jonson Jonson.
Jonson Jonson.@chosenoneGod·
@JonMrema Kwahyo mwalim akifa devota minja anakuwa Rais wetu ila hii Tanzania bhna😅😂😂😂
Indonesia
0
0
0
6
Jonson Jonson.
Jonson Jonson.@chosenoneGod·
@millardayo Mm nawaambia ccm wanachokifanya n utakatoshashaj fedha tu hakuna lolote. Pesa ipo na wanajua walipoitoa ila sasa. Ili kuondoka hzo kelel wameleta hii
Indonesia
0
0
0
11
millardayo
millardayo@millardayo·
Katika harambee ya Chama cha Mapinduzi (CCM) inayoendelea leo Agosti 12, katika kumbi za Mlimani City jijini Dar es salaam, Mfanyabiashara Ghalib Said Mohamed ( GSM) ametoa shilingi Bilioni 10 kama mchango wake kusaidia kampeni za Wagombea wa Urais wa Chama hicho. Tofauti na mchango huo, Club ya Yanga ambayo anaidhamini nayo imetoa shilingi milioni 100 kuisadia CCM katika Kampeni zake. Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ndiye Mgeni rasmi wa harambee hii. #MillardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
311
73
1.3K
181.3K
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
- Iringa - Ipogolo - Ikokoto - Isimani - Itulavanu - Igingilanyi - Isalavanu - Itona - Ikongosi - Ifunda - Idodi - Igowole - Ihemi - Ilula - Image - Ikuvilo - Isenyi - Ipalamwa - Ifiga - Igomtwa - Ihalimba - Itimbo - Iheme - Ikweha - Igeleke Bwana Iringa ndio kuna "I" nyingi 😁
CineBlast🍿@Binamu01

Twitter wajuaji kwanini kata za mbeya mjini zimeanzia na I yaani -Iyunga -Isyesye -Itende -Ilomba -Iduda -Iganjo -Iyela Na kata zingine nyingi

Filipino
12
1
12
1.8K
Jonson Jonson.
Jonson Jonson.@chosenoneGod·
@1960Remija Na hyo kiatu ni ya kesho kutwa na jana atavaa Kisugu akipokea kombe la CAF😂😂😂
Indonesia
0
0
0
14
JoseLuca
JoseLuca@JoseLuca_Is·
@SimbaSCTanzania Uamuzi wa kumwacha bekii mwenye kasi,nguvu na umri mzuri kama huyu na mkabakia na Chamou hili lazima mbeleni tutalaumiana
2
0
6
869
Simba Sports Club
Simba Sports Club@SimbaSCTanzania·
Asante Ukuta wa Yeriko kwa muda wote uliokuwa sehemu ya kikosi cha Simba SC. #NguvuMoja
Simba Sports Club tweet media
Indonesia
46
75
1.9K
34.3K