Sabitlenmiş Tweet
Zakayo Pius(Mwanafalsafa)
13K posts

Zakayo Pius(Mwanafalsafa)
@ZakayoPius
God can Do or change anything your thoughts can't think for, Anti-Corruption//₩Human right matters//₩Politics and Human affairs(Alute continue)👊👊Praise God!
Central Region, Singapore Katılım Eylül 2016
5K Takip Edilen3.8K Takipçiler

@fbuyobe Hujifichi tena kama awali ila kumbe nakufahamu tangia awali,kuna mahala tumewahi kukutana.
Indonesia

@PMadeleka Siku zote damu huwa haimwachi mtu salama, huyu mama siku hizi anaenda sana kule Bungi Zanzibar kwa Mganga wake lakini mambo bado magumu vilevile.
Indonesia

@Baradhuli2 Kwahiyo unamaanisha serikali washamuua?
हिन्दी

@eastafricatv Ujinga mtupu,polisi wa hovyo kabisa
Indonesia

#HABARI Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida linamtafuta mtuhumiwa anayejulikana kwa jina la Kasimu Ally Juma (34), mkulima na mkazi wa Kinyankaya, Kata ya Unyambwa, Wilaya ya Singida, kwa tuhuma za kupandisha bendera tano zinazofanana na Bendera ya Taifa la Tanzania katika shamba lake.
Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida SACP. Amon Kakwale, amesema tukio hilo lilibainika Juni 26, 2026 majira ya saa 5:00 usiku baada ya Polisi kupata taarifa kutoka kwa wananchi. Uchunguzi wa awali ulibaini uwepo wa bendera hizo pamoja na bango lenye ujumbe unaosema “UZINDUZI WA MAPENZI.”
Mtuhumiwa alitoroka baada ya kubaini kuwa anafuatiliwa na Jeshi la Polisi. Upekuzi uliofanyika nyumbani kwake ulifanikiwa kukamata baadhi ya vifaa vinavyosadikika kutumika kutengeneza bendera hizo.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida linaendelea na juhudi za kumtafuta mtuhumiwa huyo na linawaomba wananchi kutoa taarifa zitakazosaidia kupatikana kwake.
#EastAfricaTV
Indonesia

@YerickoNyerereT Wewe siku unarudi Chadema itabidi tukutundike mlabani kabisa.
Indonesia
Zakayo Pius(Mwanafalsafa) retweetledi

@godbless_lema @peppatz Anaitwa nani huyu nikamnunulie na soda kabisa,maana majibu yake yana umhimu mkubwa mno.
Indonesia

@Baradhuli2 Kwa akili zako unafikiria hapa ndo watu wataamini upuuzi wako huu?
Indonesia

@MickyJnr__ I didn't understand him on the second penalty decision.
English

⭐ 𝗧𝗛𝗘 𝗦𝗘𝗖𝗢𝗡𝗗 𝗦𝗧𝗔𝗥 ⭐
Masandawana conquer the continent to claim our second #TotalEnergiesCAFCL title! 🏆
Be proud Masandawana! The journey is complete! 🌍
#Sundowns #AreyengMasandawanaUntilItsDone

English

@Masandawana Congratulations @Masandawana you won it, All African we are happy.
English

🏆 𝗧𝗛𝗘 𝗝𝗢𝗨𝗥𝗡𝗘𝗬 𝗜𝗦 𝗖𝗢𝗠𝗣𝗟𝗘𝗧𝗘 🏆
A proud showing from The Brazilians on the biggest stage. Bafana Ba Style are your African Champions! 👆🔥
AS FAR (40' Hrimat) 1️⃣ (1) ➖ (2) 1️⃣ Mamelodi Sundowns (45+7' Mokoena)
#Sundowns #TotalEnergiesCAFCL #AreyengMasandawanaUntilItsDone

English

@MsigwaPeter @MuggyMaggy Sasa pale stesheni ulihamaje traini na wakati ulikuwa unajua kama hii siyo ile ya kwenda Middlesbrough na badala yake inaenda Birmingham?, hapa unataka umlaumu nani kama siyo akili yako nyembamba na moyo wako wa tamaa na urafi tu,maana ulionyeshwa paja la Kuku udenda ukakujaa.
Indonesia

@SimbaSCTanzania Ila hawa vijana kama walikuwa na maelekezo maalumu kabisa maana duuuh!
Filipino


@SuphianJuma @SuluhuSamia Sasa tuseme Chadema wao ndo wanatekana,siraha na pingu serikali ndo imewakabidhi?, Kama huwezi kutumia akili,tumia hata miguu basi kufikiria kisha ndo uje kuropoka hapa,wakati ninyi mnatamani kupata dakika moja tu ili muimalize Chadema .
Indonesia

Uhai wa CHADEMA unatokana na kuchafuka wa Rais @SuluhuSamia Serikali na CCM. Kuliko CHADEMA kufa kwa kukosa agenda, ipo tayari kutekana na hata kuuana wenyewe kwa wenyewe kwa staili yoyote ilmradi tu Rais, Serikali na CCM waonekane wahusika. Jiulizeni kwanini CHADEMA tu sio ACT⁉️

Indonesia

@MagoigaS @HildaNewton21 Kama huna mbinu za kivita huwezi elewa,kuna kitu kinaitwa mission,kwahiyo kila mission hupewa mtu maalumu wa kuikamikisha lakini kiongozi mkuu anabakia mmoja ambaye kwa haya yote yanayoendelea kiongozi mkuu ni Samia na Mwanae mwenye kuitwa Abdul.
Indonesia

@HildaNewton21 Siwakubali ccm na familia yao lakini mbona kila siku mnapost watu wanaoongoza hilo kundi kwani hilo kundi lina viongozi wangapi na wafuasj wangapi au kila mtu ni kiongozi
Indonesia

‼️ALERT‼️
Huyu naitwa Sumai Ramadhani huyo ndo anaongoza kikosi cha Abdul mtoto wa Nduli Idd Amin mama ambacho kinateka na kupoteza watu ambao wanaikosoa Serikali haram.
Kama mlimsikiliza Msaidizi wa Mhe. Lissu, kaka David Jumbe, kwenye maelezo yake juzi alisema mtu aliyeongoza kundi la watu waliomteka ni Mzanzibar sasa Mzanzibar mwenyewe ndo huyu hapa.
Mkimuona huko mtaani muwe makani nae.

Indonesia

@Sativa255 Anatoa milio tuliyokuwa tunataka kuisikia wakati tunampelekea moto
Indonesia

Huyu KIBAKA anatoa milio anasema alikuja kuboost michezo TANZANIA na kutangaza UTALII sio kufanya siasa.
1- Tuonyeshe hata Acadermy moja ya mpira uliyotembelea au huyo JOYCE WOWOW (MATAKO NA MAHIPS MAKUBWA) aliyokutembeza.
Sisi tumeona umeenda BUNGENI, Umeenda Mbugani hilo soka ya "Youth" ulilokuja kuhamaisha ulikuwa unafanyia CHUMBANI na GIRISHONI?
2. Kuhusu kuwa balozi wa Utalii wa Tanzania, tangu umetua Tanzania umewahi kupost kwenye mitandao yako kuijulisha dunia upo Tanzania?
Au huo UTALII ulikuwa unautangaza kwenye kiuno cha JOYCE WOWOWO huko mbugani?
Watanzania sio wajinga-dozi imepelekwa kisawasawa siku hizi 3 sijui mbili ulizokaa zimetosha kukuanika dunia nzima hata bila kupost upo BONGO.
Usicheze na DAMU ZA NDUGU ZETU takataka wewe.

Filipino

@MariaSTsehai @HOMESTUDIO8 Natamani sana huyu mzee awe huru ila Imani yangu inanituma kuwa kuna watu wanafurahia kumuona akiwa hivi.
Filipino

Focus iwe #FreeTunduLissu tu! Mengine yatafuata! Let’s be serious wapendwa! Hiki hakina chama! Lissu ni national leader si wa CHADEMA tu!
Mnafikiri tuko na watu timamu wenye hofu ya Mungu? Haya ni mashetani!

Indonesia

@Legend_Mtikila Siku zote ukiona kila siku mikosi na shida kwenye familia elewa ndani ya familia kuna anayewazunguka.
Indonesia

@MariaSTsehai @HildaNewton21 Yaani Shangazi we acha tu,kuna mambo mambo ndani yake.
Indonesia















