Abrahamantidius
627 posts


@ayubu_madenge Ayoub nawaona na Victoria mnzava big up
Indonesia

Travel with an open heart and a curious mind—every new place is a story waiting to be lived, a lesson waiting to be learned, and a memory waiting to be made.
Good evening IFAKARA
#TAMSA
#8thLEADERSHIPSEMINAR
@murtaza_mussa
@tamsatanzania
@AlmasiDagreat @YudaSulePascha1


English

@adam_kibona @innos__ @muhimbiliuniver Hongera sanaah tena sanaah Maisha yanaitaji ustahimilivu ko Mungu alikufanikisha
Indonesia

Nina mshukuru Mungu sana siku ya Leo nimeweza kutunukiwa degree yangu ya kwanza ya udaktari Tiba (MD) from @muhimbiliuniver
Adam J Kibona MD,
Dr. Kibona(kb).
#Godaboveall


Indonesia

@neemalugangira @TweveDevota @bobmarleymuseum @bobmarley @nanaritamarley @ziggymarley @JulianMarley @cedellamarley Hongera Sana'a Dada angu Hon.Neema kufika apo ni historian tosha kwa kuiwakilisha tasnia ya wizara ya maendeleo na jamii
Indonesia

Kwakuwa leo ni #SikuYaBobMarley (6/2/1945) nimefika nyumbani kwa #BobMarley 56 Hope Road ambapo aliishi na familia yake hadi alipofariki mwaka 1981 na 1986 mke wake, #RitaMarley akaifanya nyumba hii kuwa Makumbusho ya Bob Marley #BobMarleyMuseum.
Nipo #Kingston 🇯🇲 kwa mwaliko wa @WorldBank na @IMFNews nikiwa Mjumbe wa Bodi ya @ParlNetwork kwa lengo la kujifunza jinsi #Jamaica imefanikiwa kupata mageuzi makubwa kiuchumi.

Filipino

Leo tarehe 6 Februari nimetia nia ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Kigamboni kupitia chama cha @ACTwazalendo
#KigamboniYaZambarau

Filipino

@hmrema_official @zittokabwe @Ndolezi_Petro @SemuDorothy @BintiMzalendo Hongera sana Humphrey kwa kuaminiwa najua utatuvusha kwa mengi tutegemee Act wazalendo yenye tumain
Filipino

Experience mpya ya kufanya Morning Run 8.04KM katika pace ya 4'58"/KM nikiwa field kijiji cha masaki wilaya ya kisarawe mkoani Pwani.
Kwa mara ya kwanza nimeulizwa unakimbia nini na mwana kijiji😂🔥
#OurHealthOurWealth



Pwani, Tanzania 🇹🇿 Indonesia

@godbless_lema Wakupereke wewe Bro ukapigane km tumelala
Indonesia

Ninafuatilia kwa makini muenendo wa yanayoendelea kule Mashariki mwa DRC, hasa kule Goma. Aidha, nimefuatilia juhudi za Jumuiya za SADC na EAC, ambako Nchi yetu ni Mwanachama katika Jumuiya zote. Ndani ya SADC, Tanzania ni Mwenyekiti wa Taasisi inayohusu Siasa, Ulinzi na Amani yaani Troika Organ. Bado nashindwa kuelewa hasa, hivi ndivyo Tanzania inavyotakiwa ku-engage kwenye masuala ya Kikanda? Mbona tumepooza sana, wapi tulipoteza ule umahiri wa Kidiplomasia hasa enzi za Mwalimu, Mwinyi, Mkapa na Kikwete? Ni wapi tunakosea?
Rais wetu na uenyekiti wa Troika tumepooza sana. Juzi tumejikita na Energy Summit tukasahau yanayoendelea huko Goma. Usalama wa DRC ndio usalama wa Tanzania. Kila mmoja anajua. Leo hii M23 wakiikamata nchi ya DRC kama walivyoapa jana, ifahamike kuwa Tanzania hatutakuwa salama.
Natoa wito kwa Rais Mh SSH na Wanadiplomasia wetu muwe karibu na Rais na kumshauri njia bora ya kuchukua hatua na kushughulika na hali ya Mashariki mwa Congo. Utulivu wa DRC ndio utulivu wetu.
Ni wakati wa kuitazama DRC na hali yake ya usalama.
Take Lead Now.
Indonesia

Nimepita salama kwenye Msiba wa Mama yangu Mzazi, na Mkurungezi mwenza wa @MalemboFarm utukufu ni kwa Mungu.




Indonesia

@Dr_DGwajima Safiii sanaah Hon.Gwajima wizara umeieshimisha na Jamii kwa ujumla unafaa Dr mwenzangu
Indonesia

📸 Matukio mbalimbali ya kuwasili kwa Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Robert Mugabe, Harare nchini Zimbabwe kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unaofanyika leo tarehe 31 Januari, 2025.
#kaziiendelee




Indonesia
















