Chitalula

958 posts

Chitalula

Chitalula

@chitahlula

Katılım Kasım 2015
570 Takip Edilen336 Takipçiler
Chitalula
Chitalula@chitahlula·
@Zion89811265 @Wakazi Sijui uo mtaa mnaouzungumzia ni mtaa gani, maana jamaa wanafanya poa sana (hata umu x ni mtaani), enzi za kina prof media zilikua na nguvu ila sasa social media ndo zenye nguvu kaka
Indonesia
0
0
0
129
This time tomorrow
This time tomorrow@Zion89811265·
@Wakazi Lakini jamaa kama ana hoja,enzi za akina professa Jay,FA,AY,Jay mo,did Q Mtaa ulikuwa unawajua vzuri,wasanii wengi wa sasa hawana impact sana mtaani,maybe hapa kwenye social media
Filipino
5
1
6
1K
Webiro Wakazi Wassira #TheLeader
That is a STUPID TAKE! (Excuse my french) Wewe umejuaje yeye ni mkali, sio kupitia ngoma? So atoe Ngoma Kali ili ujue kwa mara ya pili kuwa yeye ni Mkali? Na Ngoma Kali ni ipi? Na Mtaani ndio wapi? Una uthibitisho upi hayupo mtaani? Au nani kakwambia Mitaa yote inafanana? Sio kila muziki ni kwaajili ya kila rika. Hip Hop ni muziki wa UJUZI na MAARIFA… Vitu ambavyo sio vya Watoto. Sasa unatakaje Mex aimbwe na Watoto? 🤷🏾‍♂️ Smh
Philip@PhitMathematic

Mex ni Rapa Mkali sana Bongo Ila angepambana kutoa Ngoma kaliii pia za kumpeleka Huko mtaani Jina lake liimbwe zaidi hadi na watoto kuliko wafatilia Mziki peke yake.

Indonesia
9
8
77
11.9K
Chitalula
Chitalula@chitahlula·
@chapo255 @TheBooker4 Iyo stream ilikua ni ya masaa 5, jamaa angekubali kutokea iyo nusu saa angeifanya iyo stream iwe active kwa masaa yote 5 kwasababu yeye ndo headliner na ingekua na uzito sana
Indonesia
0
0
0
5
Chitalula
Chitalula@chitahlula·
@CoolestBoi123 @BabuBomba4 Bro 20m ni ela ndogo kwenye iyo biashara kama wapo serious, maana unacheza na career ya mtu apo, Mex anacho cha kupoteza ila Bibo hana cha kupoteza alafu Joowzey ni mnufaika maana lazima angefatiliwa sana + angepata sponsors na matangazo hii battle ingemfungulia milango
Indonesia
0
0
2
31
Mfarisayo/Priest material
Mfarisayo/Priest material@CoolestBoi123·
@BabuBomba4 Wamekimbia battle Mex he is good lakini is he wort 20m kwa freestyle ya dk 30 bt all in all acha game ya rap uchangamke ila watu wasijigawe waungane nguvu iwe kubwa
Indonesia
1
0
1
57
Babu Bomba
Babu Bomba@BabuBomba4·
Mie kama Shabiki wa Mex alicho kifanya yupo sawa weka Pesa mezani tufanya battle maana hii upande wa pili walikuwa wamesha jiandaa unadhani Team joowzey na Bibo wamekurupuka hapana paka kumtaka Mex wameona kitu so Mex kashtukia kataja dau wame poteana 😄.
Indonesia
3
5
24
846
Adelhild Moyo
Adelhild Moyo@TheBooker4·
@chapo255 In this battle hata mex akishinda hio 20M trust me Climax bibo atakuwa amefika mjini kupitia Mex na ule Uzi wako kwa maana yupo trend sana japo @AskofuTZA amesema kwa free style huenda bibo akawa mnoma ila tuliosoma literature Mex anaanza na Mime kisha flow
Filipino
1
0
0
75
Chitalula
Chitalula@chitahlula·
@chapo255 @TheBooker4 Swala la kutokua na sponsor sio issue ya Mex, wenyewe wameonesha interest na biashara ya Mex na mchizi kawapa bei yake, uwepo wa Mex unamanufaa kwa Climax na mchizi anaeandaaa, manufaa pekee ya Mex ni iyo pesa ambayo me naona ni reasonable kwa attention wanayoitaka
Indonesia
2
1
0
188
Chitalula retweetledi
Storms
Storms@sabelostormz·
5imba fans explaining why they’re trophyless this season
English
30
34
242
13.1K
Kalungubhale Kaswahili
Kalungubhale Kaswahili@kalungubhale·
@PlanetFutbal Tabora united waliwafunga yanga kwa vile Tabora wana timu bora kuliko yanga? Sometimes tuelewe kuna mambo ya nje ya uwanja pia yanachangia ushindi, Simba alikuwa bingwa na bora kuliko yanga kwa miaka 4 mfululizo lakini yanga hakufungwa mara 8 mfululizo. Our leaders are cursed
Filipino
4
0
1
135
Futbal Planet ✴️
Futbal Planet ✴️@PlanetFutbal·
“Simba wakubali kuwa Yanga anatufunga Mara tano Mfululizo kwasababu ana Timu Nzuri, wanatakiwa Wasajili Wachezaji Wazuri Kuliko Yanga ili uweze Kuwafunga” ISMAIL ADEN RAGE.
Futbal Planet ✴️ tweet mediaFutbal Planet ✴️ tweet media
Filipino
16
24
410
6.8K
PABLO
PABLO@PabloYende·
Katika Mikoa ambayo Haijui Kupika Mwanza ipo Top 3
PABLO tweet media
Filipino
93
27
899
112.5K
Chitalula
Chitalula@chitahlula·
@Jake005005 @PabloYende 😂😂😂oya katika maisha yangu sijawahi kula chakula kibaya kama nilichowahi kula sahara pale, fanya research utajua mpishi alikua kabila gani kwa mazingira ya sahara
Indonesia
1
0
2
212
KONG
KONG@Jake005005·
@PabloYende Sasa unakula mabatini unasema uko Mwanza manina wapishi mabatini ni wakuryaa
Filipino
3
0
18
5.7K
charles tumaini
charles tumaini@CharlesTumag·
@JumaAyoo Wale waliopiga kampeni ya Mzawa George Mpole achukue kiatu mbele ya mgeni Mayele tuungane pamoja kupiga kampeni Mzize achukue kiatu hiki mbele ya wageni Dube na Ahua.
Indonesia
3
0
9
751
Juma Ayo
Juma Ayo@JumaAyoo·
Naunga mkono maamuzi ya Fountain Gate FC chini ya Mkurugenzi Japhet Mboto Makau Makosa aliyoyqfanya Noble leo ni ya kipuuzi kabisa tena kipa wa kimataifa anayelipiwa vibali na gharama kubwa nchini. Fountain Gate kudos na type ya wachezaji kama Noble wapo wengi kwenye ligi yetu
Indonesia
94
17
582
40.8K
Chitalula
Chitalula@chitahlula·
@JumaAyoo Ile moment ya Ahoua tuliambiwa mpira mchezo wa makosa ila hili la Noble ni makosa ya kipuuzi na asilipiwe vibali, hii Nchi ngumu
Filipino
0
0
0
152
Chitalula
Chitalula@chitahlula·
@Geoffrey87Lea “wachezaji wa level ya Ahoua ndio wachezaji level ya mwisho ambayo klabu za Tz zinaweza kusajili” baada ya kusoma iyo kitu kuna sauti ya Hans inajirudia kichwani kwangu.
Indonesia
0
0
0
39
Geoffrey Lea
Geoffrey Lea@Geoffrey87Lea·
Imagine lacking stamina and still winning 75% of your ground duels and 50% of your aerial duels,imagine that
El Dudu@Machoalbi

@Geoffrey87Lea Chama hata akiwa babu wa miaka 50 bado ni bora kuliko huyo MVP feki asiye na stamina! Opponents waliokutana nao akina Chama ni sawa na hawa wanaocheza na akina Ahoua? Umeamua kuhamisha mjadala..,

English
7
1
86
3.5K
Chitalula
Chitalula@chitahlula·
@YangaMpya @Gaspinho15 Kweli asee, saiv tunapaswa kuwa na mtu mwenye uwezo wa zaidi ya Aucho, tuache kudanganyana kabisa
Filipino
0
0
1
172
Yanga Mpya
Yanga Mpya@YangaMpya·
@Gaspinho15 Sio mchezaji mbaya ila kwa ukubwa wa team ilipofikia ni mchezaji wa kawaida kwa yanga, ktk eneo ambalo anacheza yeye na Mudathiri team inatakiwa kutafuta mtu bora zaidi yao, akichezeshwa holding mido ndio hata kukaa kwenye eneo lake tu changamoto mabeki wanakuwa wazi mda mwingi
Indonesia
6
1
10
1.4K
𝐓𝐡𝐞 𝐇𝐢𝐦.
𝐓𝐡𝐞 𝐇𝐢𝐦.@Gaspinho15·
Wakuu tuwe wakweli huyu jamaa kuna namna kaongeza taste kwenye Midfield zone yetu Wananchi. Kila wiki anakuwa mpya.🔥🔥🔰
𝐓𝐡𝐞 𝐇𝐢𝐦. tweet media
Filipino
43
31
1K
40.8K
Andy
Andy@AndersonadolfM·
@JohnMuhiti96003 @Jambotv_ 😁😁😁Mheshimiwa Prof. Unaonaje ukakomaa na linguistic kama eneo lako la expertise😁
Filipino
2
0
5
1.4K
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
VIDEO: Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza imemhukumu Mwandishi wa habari kituo cha runinga cha Star TV, Alocye Nyanda kulipa faini ya Shilingi bilioni 2 baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kufanya udhalilishaji wa kimtandao. Hukumu hiyo iliyosomwa Aprili 11, 2025 na Hakimu Mkazi Mwandamizi Mkoa wa Mwanza, Boniventure Lema amesema Nyanda kupitia mtandao wake wa kijamii kwa nyakati tofauti alichapisha taarifa za udhalilishaji dhidi ya Aron Kagulumujuli akiwa Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza na Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni ambaye kwa sasa ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo jijini Dar es Salaam. Lema amesema kutokana na hilo mahakama hiyo imemtia hatiani na imemhukumu mshtakiwa huyo kulipa faini ya Shilingi bilioni 2, kuomba msamaha kwa yale aliyoyachapisha lakini pia imemkataza yeye au mtu yeyote anayehusiana naye kuchapisha taarifa zozote zinamhusu Kagulumujuli ikienda sambamba na kuondoa taarifa alizochapisha kumhusu Aron. Kwa mujibu wa hakimu Lema mshitakiwa alitenda kosa hilo katika shauri namba 6166 ya mwaka 2024 kinyume cha Sheria ya Huduma ya Vyombo vya Habari ya mwaka 2016 kifungu cha 35. Hata hivyo wakati hukumu hiyo inatolewa mshitakiwa wala wakili wake hawakuwepo mahakamani. Baada ya kushinda shauri hilo Wakili wa Aron Kagulumujuli, Erick Mutta akizungumza na waandishi wa habari mbali na kuipongeza Mahakama kwa kutenda haki amesema kwa sasa wanaangalia namna ya kuona mshitakiwa anatekeleza amri hiyo ya mahakama.
Indonesia
77
17
212
82K
Prof.Muhitira P. John
Prof.Muhitira P. John@JohnMuhiti96003·
@Jambotv_ Tangu lini mahakama ya hakimu mkazi ina mamlaka ya kusikiliza madai ya Tshs 2 billion? Huu ni uhuni na ukikata rufaa tu, hoja ya kwanza ni kuwa mahakama ya hakimu mkazi haina mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo.
Indonesia
6
2
35
16K