Sabitlenmiş Tweet

MSHIKADAO MWANDANI, Shirika la kupeana mikopo kwa minajili ya Kilimo cha mimea nchini Kenya, yaani COMMODITIES FUND @cofkenya, la kuenzi. Ni haki yako kupokea huduma mwafaka kutoka kwetu.
Ndiposa, twakujulisha hadharani MKATABA wetu WA HUDUMA kwako, papa hapa:

Filipino























































