PAQUETA mbrazili🇹🇿🇧🇷
3.5K posts

PAQUETA mbrazili🇹🇿🇧🇷
@mbrazilii
In loving memory of my brother and sister 💔🕊🤍 #CHRISTTHEKING✝️
Tanzania Katılım Mart 2022
273 Takip Edilen252 Takipçiler

Hizi ni kodi na ushuru wa serikali kwa gari ndogo tu Crowne.
Fikiria kijana ambae ameanza maisha hapa Dar, kutokana na adha ya usafiri anajibana ananunua kagari ka usd 6,000 ambazo ni sawa na 14 m.
Hiyo gari ikifika inatozwa ushuru mwingine wa 14 m, yaani fikiria ushuru unalingana na ununuzi wa gari!!!
Yaani gari Machuma yote, engineering iliyopo pale kwenye gari unanunua bei sawa na ushuru wa mtu ambae amekaa ofisini tu na anakuchaji hela yote hiyo!!!!
Wakati mwingine kodi zinakua bei juu kuliko manunuzi!!!!
Huyu kijana awe mkulima au mfanyakazi, anafanya kazi ngumu sana kupata hiyo fedha, then inachukuliwa hivi…
Alafu baada ya mda CAG anasoma ripoti kwamba uwanja ulitakiwa kujengwa kwa bilioni 187 baadae ukajengwa kwa bilioni 337..
Mara umekaa unaambiwa kuna eti Waziri anatumia gari binafsi ya bilioni 2, unajiuliza mtumishi wa umma ametoa wapi bilioni 2 kununua gari na mshahara wake unafahamika, au anamiliki nyumba tano za thamani ya bilioni tatu, nne au tano… aniliki mashamba ya mabilioni, amempa mama mkwe wake nyumba ya bilioni tano na gari la kutembelea la milioni 500.
Pesa zote hizi za mlipa kodi anaeumizwa kiasi hiki na mzigo wa kodi…
Hapa nimesema magari tu, Ukienda kwenye kila kitu kinachoingizwa na kutoka Nchini ni mzigo wa kodi na maumivu kwa Mwananchi..
Na mwisho wa siku badala hizi fedha zitumike kwaajili ya maendeleo yetu zinaishia kwenye mifuko ya vibaka.
Hakuna barabara, hakuna maji, hakuna umeme.. Maisha magumu , mishahara duni hasa kwa walimu na manesi.
Hatuwezi kukubali kuwa watumishi wa vibaka wanaopora mali za umma.

Indonesia

@TunduALissu ni Legal Brain kubwa, gwiji la Katiba, mtu wa precision and fire
This is what we call courtroom dominance.Kwenye ring ya sheria si mchezaji wa kawaida, He controls the tempo, he sets the rules, he shifts the game.
That’s not luck,that’s pedigree,that’s brilliance

English

@somebarry Wapo wengi tu wanatumia android sana sana Samsung na Pixels
Filipino

Natimiza MIAKA 29 leo.
Nimezaliwa 17.1.1997 siku ya IJUMAA saa 4 asubuhi huko hospitali ya “META MBEYA”. Katika umri wangu huu namshukuru MUNGU nimeweza kupitia mengi na kuona mengi ambayo kwangu yamekuwa kama DARASA la maisha.
Nimejifunza masomo mazuri sana “HAKI” na kutafuta “FINANCIAL FREEDOM” ukiwa navyo hivi viwili utaishi duniani kwa AMANI ya kweli na sio ya KUCHONGESHA.
Naamini katika HAKI na siku zote HAKI YA MTU HAIPOTEI. Wewe kama HAKI YAKO imenyimwa nikutie moyo ipo siku utaipata HAKI YAKO ni suala la MUDA TUU.!
Happy birth day to Me.
TUTAKUWEPO🫵🏾😎

Indonesia

Singida watafute meneja mwengine. Gamondi abaki na @TaifaStars_ @Tanfootball
HT


@Sativa255 alichokifanya mwamuzi dhidi yetu ndio kilekile CCM wamekuwa wakifanya Kila mwaka wa uchaguzi,tofauti yao ni kwamba mwamuzi yy hateki wala kuua mtu!
Indonesia

Aah. Mzee wangu Masta #MiguelAngelGamondi ahsante sana kwa hili. Hata kujaribu kukumbuka kwamba wapo Watanzania ambao walipoteza maisha Oktoba 29 ni jambo kubwa sana. Binafsi nimeshukuru kwa hilo. Hao wachezaji wenyewe sijui hata kama wanajua Watanzania wenzao waliuwawa kwa risasi Oktoba 29. Hawajataka hata kuvaa vitambaa vyeusi mkononi. Anyways, UKWELI NI UKWELI tu haijalishi unakubaliwa au kupingwa na wangapi.., sijui kama mbogamboga watapenda hii maneno na kibarua kinaweza kuota nyasi. Kwa hawa wahuni, ukweli kwao ni sumu. Lakini mtasha umeamua kuwa mkweli. Umesema kitu ambacho MATAPELI wa CHAUMMA hawajawahi kusema. Ahsante kwa kuwakumbuka ndugu zetu. #HatuweziKusahau
Indonesia


















