Mbaruk Hamad

9.4K posts

Mbaruk Hamad

Mbaruk Hamad

@muniydrik

BMT with COC class iii ( officer in charge of navigation watch)

Katılım Aralık 2013
287 Takip Edilen157 Takipçiler
Mbaruk Hamad
Mbaruk Hamad@muniydrik·
@EduTalkTz Mbunge mil 500 anafikaje? Hata kma analipwa 20 M kwa mwez basi hyo pesa haifik kwa mwaka
Indonesia
1
0
0
30
Mbaruk Hamad
Mbaruk Hamad@muniydrik·
@RKishaija81715 90m ni hela wanayoweza kuitengeneza kupitia huduma ya catering wanayoifnya tu achana na kumbi zao za starehe na huduma nyengine wanazotoa
Indonesia
0
0
2
418
Agnostic
Agnostic@RKishaija81715·
Wizara ya Ulinzi na Jeshi wameomba budget ya trillion 4.28 , 17.8% imeongezeka kutoka mwaka uliopita wa fedha. Wizara nzima ina makadirio ya mapato ya 90m tu kwa mwaka ikiwa ina branches zinazofanya shughuli za uzalishaji kama SUMAJKT
Indonesia
25
17
237
17.1K
Mbaruk Hamad
Mbaruk Hamad@muniydrik·
@Psiteshio1 Mawazo ya kijuha kma unashindwa kulipa bando la elf 70 uwe tajiri kwasababu yakulipa bando elf 50?
Indonesia
1
0
3
303
P'site Shio
P'site Shio@Psiteshio1·
Starlink ingekuja Tz matajiri wapya wangezaliwa, hapa serikali ilicheza kama Pele kuwablock.
P'site Shio tweet media
Indonesia
18
2
80
9.2K
Juma Wickama
Juma Wickama@wickama·
@IndexTanzania @thomasjkibwana Dangote anataka monopoly. Msiruhusu wengine kuagiza. Abakie yeye. Kule Nigeria aliajiri zaidi wahindi. Ukanda huu wote unatarajia refineries kuwa nyingi
Indonesia
1
0
0
28
Mbaruk Hamad
Mbaruk Hamad@muniydrik·
@mananajr_ 1 Oman real ni 2.6times ya dollar Kuwait dinar ni 3.2times ya dollar hiv hizi nchi zinaizid marekan kwa uchumi? Pale middle east UAE inaonekana kuwa na uchumi mkubwa kuliko majiran zake ila hela yake ni mbovu kabsa
Indonesia
0
0
5
382
S.A.N.T.I.A.G.O 🗽
S.A.N.T.I.A.G.O 🗽@mananajr_·
Kenya mafuta yanauzwa 194 kama sijakosea kwa lita, hapa kwetu ni 4k+ Sasa hapa shida sio mafuta, nataka kujua ilikuwaje au tulikosea wapi wakenya wakawa na hela ya thamani kiasi hicho sisi yetu ikawa chini hivyo? Yani 100 kwa 4k kweli?
Indonesia
6
9
93
5.5K
Mbaruk Hamad
Mbaruk Hamad@muniydrik·
@abracadabrdab4 @iamNehemia After 10 yrs hyo 11M thaman yake ni sawa na 5M ila ukichkua hyo 11M ukiweka kwenye Ardhi after 10yrs thaman yake ni zaid 50M usichukue hela yako kwenda kuwapa watu mitaji 😀😀😃
Indonesia
0
0
1
58
abracadabra
abracadabra@abracadabrdab4·
@iamNehemia Ifanye after 10 years hela ambayo hauna presha nayo na huifanyii kazi
Filipino
5
0
2
2.6K
Liber Nehemia
Liber Nehemia@iamNehemia·
Kijana unaenda kuizika 11M kwa mwaka ili upate ongezeko la 1.1M na unajiita mwekezaji. Are you even serious, Bro!?🤔
Indonesia
29
40
606
48.3K
Mbaruk Hamad
Mbaruk Hamad@muniydrik·
@Pollo_Dr @MrDepalitto9 Hakuna ujanja hapo nitangazo uingie kichwa kochwa aviator ushonde 400M kavu bila point ni ngumu 😀😀😃😃
Indonesia
0
0
1
29
Hartz MD
Hartz MD@Pollo_Dr·
@MrDepalitto9 Wajanja uwaga wanaweka LAKI au DAU Mara Mbili. Ya kwanza anaiseti automatically kwenye 2. Ya PILI anaruka nayo tuuu
Indonesia
1
0
2
312
Real Nigger
Real Nigger@MrDepalitto9·
Yani uweke laki ifike hadi hadi 1000 usichukue usibiri 4000? Hivi mnatuona kama mataqo yenu au ndio wanawavuta watu kwenye maji marefu?
Real Nigger tweet media
Indonesia
29
1
69
7.1K
Mbaruk Hamad
Mbaruk Hamad@muniydrik·
@SaidM5963668396 @safarimlevi Ukute wewe hata hyo div 4 ya mwishon hauna kma hapo umeshindwa kuona hyo gar imwekewa lifting mbele ili iweze kuinama ipakiwe hyo roll Royce
Indonesia
1
0
0
88
Mshauri tu
Mshauri tu@SaidM5963668396·
@safarimlevi Ndio nimeamini Polisi shule yao ni form four ya div 3 na 4.Sio walio feli ila ufaulu wa mwishoni. hesabu za uzito hawazijui? equilibiam na balance,na centra of gravit.
6
0
3
1.3K
SafariMlevi
SafariMlevi@safarimlevi·
Roisi Roisi ya Dimond hiii inapitia magumu😂
SafariMlevi tweet media
Indonesia
10
10
211
20K
Dr. Yasini Mustafa Joshua
Dr. Yasini Mustafa Joshua@YasiniMustafa·
@Positivenga1 Bonds interest haikusanyiki na haibadiliki (fixed, non compounding), na hapa ndipo influenza hamtaki kupaongelea - Ukinunua bond ya 100M, 25yrs, kwa 12% - Gawio ni 12M fixed kila mwaka - After 25yrs, unarudishiwa 100M ya principal Factor in inflation kwenye gawio na principal
Filipino
2
0
2
495
Haulay
Haulay@Positivenga1·
Wanaowekaga ela UTT huwa wanapiga na hesabu za inflation?
Indonesia
24
19
285
33.2K
Mbaruk Hamad
Mbaruk Hamad@muniydrik·
@thisisadile @dullah_abuu Kuna watu ajira zao maximum kukopeshka ni chin ya 10M tena hapo unakuta mkopo wa miaka mpka 7 hiv 10M unafanyia biashara gan ya kukueka huru?
Indonesia
0
0
0
63
Adile
Adile@thisisadile·
@dullah_abuu Ajira inakujengea mazingira ya kukopesheka kwa urahisi. Mengine unatakiwa kujiongeza. Mshara hakuna mtu ushawahi kumtimizia majukumu yake na familia yake 💼
Indonesia
2
0
4
702
dullah_abuu
dullah_abuu@dullah_abuu·
Tutafuteni pesa kwa Bidii sana hizi Ajira za Serikali zinaua ndoto za Watu wengi sana....
Indonesia
22
37
422
17.6K
Mbaruk Hamad
Mbaruk Hamad@muniydrik·
@joshuamsuyatz Wadanganye wazembe wenzako hakuna mwaka cement ilikua 18k ikashuka mpka 9k
Indonesia
0
0
0
7
Joshua Msuya
Joshua Msuya@joshuamsuyatz·
@muniydrik Bloom period... unadhani zile investment za Fumbo na miji kibao hapa Tz kipindi cha 2015 - 2017 ziliwezekana vipi?
Indonesia
1
0
0
166
Joshua Msuya
Joshua Msuya@joshuamsuyatz·
Investment ya mwisho Dangote kufanya Tanzania ilikua Kiwanda cha Cement Mtwara, $500 Million Investment. Kabla ya 2015, mfuko wa cement ulikua unauzwa kati ya 18,000 mpaka 19,000. 2016 Dangote alivyoanza uzalishaji Mtwara, cement ikashuka mpaka 9,000. Twiga na Tanga wakashusha bei kwa nguvu kupambana nae sokoni. Ndani ya muda mfupi Dangote alichukua zaidi ya 20% ya market share yao. Kumbuka, hiki kiwanda kilitengenezwa kutumia Natural Gas ya Tanzania iliyopo Mtwara. Lakini baada ya kuanza kazi, mambo hayakuenda kama yalivyotarajiwa. TPDC walimuuzia Gas kama consumer wa kawaida badala ya strategic industrial investor. Gharama za uendeshaji zikawa kubwa sana. Mwisho wa 2016 Dangote alikuwa anatumia karibu $4 Million kila mwezi kununua Diesel kuendesha kiwanda. Hii ilitokana na Serikali kuzuia uingizaji wa Coal kutoka nje na TPDC kushindwa kumpa deal nzuri ya Gas. Matokeo yake? Bei ya cement ikaanza kupanda tena mpaka 22,000 - 25,000 kwenye baadhi ya miji. Mpaka leo kiwanda bado kinaendelea kuzalisha cement, ila zaidi ya 70% ya cement inaenda nje ya Tanzania. Miaka 10 baadae, Stori kubwa ni Dangote anarudi East Africa na plan ya kujenga refinery kubwa Tanga au Mombasa. Refinery yenye uwezo wa kuzalisha mapipa 650,000 ya mafuta kwa siku. Swali ni… Je Dangote anataka kufufua nguvu ya viwanda vyake Tanzania kwa kupata mafuta kwa gharama nafuu zaidi? Au yupo kwenye mbio za kufikia ndoto yake ya kujenga utajiri mkubwa zaidi kabla ya kufa? Lakini kabla ya kumuongelea Dangote… Tujiulize hii investment ina maana gani kwa maisha ya Mtanzania wa kawaida? Bei ya energy ikiathirika, kila kitu kinaathirika. Transport. Ujenzi. Bidhaa. Biashara. Maisha ya kila siku. Na kumbuka hii refinery ikipitishwa, inaweza kuchukua miaka 8–10 kukamilika. Kufikia 2036… Je utakua bado unaendesha gari la mafuta? Au utakua ushanunua gari la umeme tayari?
Indonesia
31
76
601
42.5K
Mbaruk Hamad
Mbaruk Hamad@muniydrik·
@MDigala24 @ayubu_madenge Na waliokua wanapinga ujenz wa bomba la Hoima leo hii ndio wako busy kudai kiwanda cha kisafishia mafuta 😀😃😃😃
Indonesia
2
0
2
45
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Dangote amehudhuria mkutano wa Africa Forward uliofanyika Nairobi. Pia wakuu wa kampuni ya mafuta ya TotalEnergies ya Ufaransa nao wamehudhuria mkutano huo. Vilevile kampuni ya Usafirishaji ya Ufaransa ya CMA CGM imekubali kuwekeza Tsh Trilioni 2 ili kuboresha bandari ya Mombasa.
Ayubu Madenge tweet media
Indonesia
43
76
1.2K
24.1K
Assenga Jr
Assenga Jr@assengajrr·
Ingekua mimi ni wazazi wa yule temba nisingekubali kuzika mwili ambao hauna kichwa.
Indonesia
9
1
20
2.1K
Narrowbeefly
Narrowbeefly@Narrowbeeflying·
Hivi ukinunua bajaji Mil 10 halafu ukampa mtu aendeshe utaanza kuona faida baada ya muda gani? 🤔
Indonesia
14
12
125
7K
Mbaruk Hamad
Mbaruk Hamad@muniydrik·
@MankindUwezo @Narrowbeeflying Akili za kuchukua hela yangu nikampe mtu mtaji sina kabsa hyo 10M tafta kiplot sehem ambayo kuna dalili za mji kukua after 10yrs ukikosa 60-100M nikate kichwa 😀😀😀😀😃
Indonesia
0
0
1
40
Mbaruk Hamad
Mbaruk Hamad@muniydrik·
@NjiwaFLow Huko south wenyewe hawapigi wachina wala jamii ya watu wenye rangi tofaut na nyeusi ndio ujue shida sio kuchkuliwa nafasi za ajira au kujiajiri shida ni ujinga waliopandikzwa miaka ya nyuma wazngu walitengeneza mazngira wajione wao wanastahik kula na kulewa tu na sio kfnya kaz
Indonesia
0
0
1
165
James Munisi
James Munisi@NjiwaFLow·
💨 Hii issue ya Wasouth kuwapiga wageni Baadhi ya watu wanasema Wasouth waache uvivu wafanye kazi Hapa Bongo ni suala la muda, sasa hivi Wachina wameanza kushika sehemu muhimu muhimu nje ya Kko za kudeal na wateja moja kwa moja. Kko wakiipunguza makali huko mbele ni noma.
Indonesia
16
20
275
20.3K
Mbaruk Hamad
Mbaruk Hamad@muniydrik·
@giboretz Hata sisi isingekua hatuish kwa misingi ya democrasia tungefika mbal sana. Hii kitu inaitwa democrasia ndio inayoigharimu nchi nying za kiafrica ambao hulazimishwa kufuata mfumo ambao tafsiri halisi wanaijua walioleta leo viongoz baada ya kufocus kujenga nchi wanalinda madarka
Indonesia
1
0
0
40
TheProtégéTZ
TheProtégéTZ@giboretz·
𝙏𝙧𝙞𝙥𝙤𝙡𝙞 Libya 🇱🇾 Hii nchi ingekuwa mbali sana isingekuwa wajinga wachache na tamaa za Marekani
TheProtégéTZ tweet media
Indonesia
3
1
21
1.4K
Mbaruk Hamad
Mbaruk Hamad@muniydrik·
@giboretz Walichagua democrasia instead ya utaifa wao walichagua democrasia dhidi ya kuishi bila kulipa kodi kusoma bure na kuribiwa bure Waafrica kma tuna akili timamu ni wakuiogopa democrasia kuliko janga lolote lile maana halisi ya democrasia ni ukubal kuish kwa maslah ya wangu au ufe
Indonesia
0
0
1
34