BRUVITA CEO🧔🧔
182 posts

BRUVITA CEO🧔🧔
@thetruth_onlyMD
Lord Jesus, Take more of me and give more of you🧔🧔
Katılım Ağustos 2022
21 Takip Edilen34 Takipçiler

@Innocen89950594 @Maestrowafact 😂😂🤣wote mlocomment hamjui kamari, hiyo hela hana tena ameliwa yote asbh.
Filipino

Demu akikataliwa na mama yako utamuoa
Alipata demu anakuwa anataka kumuoa walikuwa wapenzi miaka 2 hivi
jamaa aka mpeleka demu wake nyumbani akamuacha kama wiki mbili hiv arafu yeye kaendelea na mishe mishe zake
Baada ya kwenda nyumbani bi mkubwa wake kamuita kado kamuambia huyo mwanamke hakufai achana nae
Jamaa anauliza kafanya nini mama aka mwambia huyo kitambia na mapokeo ya mambo nimeona hakufai maana wew unapendwa kusikilizwa ila huyo manamke nimeona ni muongeaji sana
Jamaa akasema kama ni hivyo tu na weza kuishi nae tena mama hili jambo usiliingilie kabisa huyo mimi ndio naenda kuishi nae kwaiyo hakuna wa kunipangia
Mama aka mwambia huyo mwanamke usimuoe hakufai kabisa achana nae
Ila jamaa akawa mbishi akalazimisha akasema wanapendana na hawata achana.
Indonesia

@N3sty09 Kwa Twitter yes,I thought una maanisha zile VPN zenye bando
English


@kichefuchefuu 1.Ikiwezekana vip sativa kupigwa risasi kichwan na mpgiji akakosea ikatokea kweny Taya na anamafunzo ya ujuz wakutumia siraha
2.iliwezekana vip lissu kupigwa risasi zaid ya 20 na hakufa
#USICHEZENADUNIAUSIJIAMINPIA
Indonesia

@Fortunee_Mans I know the feeling mkuu,jipe moyo tu you did what you had to do and thought it's right
English

Nimemuona bubu hapa nimekumbuka mbali kidogo...
Siku moja tukiwa pale Shuleni, shule ya Sekondari Morogoro maalufu kama Moro sec, Bhasi hiyo siku akaja bubu bhana na mavyeti ya matibabu, bhasi walimu wakaingiwa na moyo wa imani kumsaidia, tukaitwa wanafunzi kama buku hivi, bhasi tukaambiwa kumchangia,..
Sasa wakati tupo hapo, kuna walimu wa hizo lugha za alama maana kulikuwa na wanafunzi special group, Si akawa anamuongelesha muhuni hajibu, Si akashtukiwa kuwa sio Bubu kweli .. wakachapa sana then akaambiwa aombe msamaha akapiga magoti , akaanza kwa kusema naomba mnisamehe sana wadogo zangu ila hapa tokea kumekucha nazunguka kutafuta kibarua na sijapata na nina familia💔,.. tulikuwa wanafunzi kama buku pale , ghafla tukaanza kupiga makofi na kuamua kumchangia mwanetu, walimu hawaamn ili ndio tayari tumeshaamua kuishi na mwanetu, kiutani aibu ikageuka neema🙏.
Indonesia

@rayasel94 Rio fernand atakuwa anasema hawa majaamaa wangese sana 😂 kimoyo moyo
Indonesia

@fintanjr_ Amejizawadia,dah Africa tutaomba sana Kwa ngozi nyeupe wajomba
Indonesia

Spika wa Bunge la Uganda , aliyekuwa ni spika wa bunge la 11 la nchi hiyo Mh. Anita Among, amejikuta kwenye kashfa nzito ya Rushwa na ufisadi baada ya kujizawadia Rolls-Royce Cullinan 2025 model valued at Shs 3.4b. Ugandan shillings siku ya Birthday yake. Unaambiwa duniani hizo gari hazizidi 7, na mojawapo ipo uganda😂💔🙌...

Filipino

@magodoro_msafi @Irene4803 @Kaponda_077 @OsmundNdun15701 @BlessdGrooveKid @fintanjr_ @Adv_innocent @Alex_komba00 Izo pods zipo kweny mikono salama kweli... Naona kama zitavunjika

Mwanamke mwenye umri wa miaka 31 raia wa Afrika Kusini, ameomba msaada kwa yeyote atakayemsaidia arudi katika hali yake ya ujana, Binti mwenye ngozi nyororo isiyo na hata chembe ya uzee.
Mwili wake ulibadilika ghafla kutoka ujana hadi kuwa bibi kikongwe baada ya kushiriki tendo la ndoa na mwanaume raia wa kigeni kutoka Thailand kisha akaondoka zake mpaka sasa hajui mahali alipo wala hana taarifa zake.
Mwanamke huyo, alizaliwa mwaka 1995, sasa anaonekana kama mtu aliyezaliwa mwaka 1910, akiwa na muonekano wa uzee uliopitiliza hata kuliko mama yake mzazi.
Amekuwa akiingia na kutoka katika hospitali mbalimbali lakini hali yake inaendelea kuwa mbaya zaidi. Mikono yake bado inaonekana ya ujana, lakini mwili na uso wake vinaonekana vimezeeka sana.

Indonesia

@SoloDiBaller Probably him,but it takes a while lot more to think it's just him at this moment
English

Can you please show where the threat was?
BRUVITA CEO🧔🧔@thetruth_onlyMD
@SoloDiBaller @Samalentips We don't threaten people,we leave them to their own stupidity
Tanzania 🇹🇿 English






























