watakuja na wataenda
12.4K posts

watakuja na wataenda
@omary___
#napendaHiphop&EDM
Mbeya, Tanzania เข้าร่วม Şubat 2021
1.4K กำลังติดตาม703 ผู้ติดตาม


@bajabiri Ananufaika kutofanyishwa kazi ngumu sabab ana ujuzi. Hatoenda kufyatua tofali, hatoenda shambani kulima kwa jembe la mkono, hataenda kupasua mawe
Indonesia

Na fundi Mfungwa ila hana anachonufaika nacho
M A G I R I@Kiganyi_
Furniture za kwenye workshop za magereza ni bei mbaya, unaeza nunua kitanda 9M. Mbao zao ni za miaka ya mbele.
Polski

@CadiSuvescalade @Thereal_taivina Tatizo huwajui rapa wote
Indonesia

@Thereal_taivina Ila sina uhakika kwamba kuna rapper ambae hana real biff na wenzake kuacha hayo ya dis track.
Filipino

Mchana huu MABONGE yakienda kula migahawa ya mtaani.
Linagiza ugali mbili na ka nusu.
Mboga tano yanachanganya kwenye bakuli moja.
Soda au juice ni lazima.
Maji hayanunui ni yale yale ya pale kwa mama ntilie.
Kama kawaida ma sauti mdomoni wakati linakula.
Mnduku nje nje.
Likishiba ni kulala na kujijambia kimya kimya.
Hapo kati kabla ya lunch lishakula karanga za kuchemsha au miwa.
Mabonge yanakera.
Indonesia

@mad_genius6 Theories za black holes
Asili ya ulimwengu
Muda ni nini
Indonesia

@maestrochance_ World war Z ndio best kuliko zote ukiitoa walking dead
Filipino

wewe Hizo Mbingu umewahi Kuziona Wapi?
Mpaka ujue zipo Nyingi... Tupige Story
Charlzpa@shipugo
ukiambiwa neno mbingu unaelewa nini? Mbingu ziko nyingi sio kila mbingu ni mbingu takatifu, omba tukufundishe habari za mbingu ili uwe mwerevu.
Indonesia

ukisoma Bible na ukaelewa
utaona nilichoandika kina make Sense
1. Kulikuwa na Vita mbinguni.
Mungu na Malaika (Shetani) - Msaliti
Swali ni je,
Hivi Mungu anawezaje kupigana na
Malaika wake kama sio alikuwa mwenzake?
2. Kwanini Shetani alikuwa anaenda
Mbinguni kushauriana na Mungu kuhusu Yakobo.
Kama Sio Mwenzake...?
3. Kwanini Mungu alishindwa kumuuwa Shetani
ila kwa kosa lile lile la usaliti Sisi tukaambiwa Tutakufa
ila Shetani Ataishi milele? huyu Sio mwenzake?
4. Shetani na Mungu huwa wanapiga Story.
Ayubu 1:6-12 - Wanapiga story Fresh kabisa.
5. Mwanzo 1:26 (SRUV)
Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu,
ina maana Walikuwa Miungu wengi ikiwemo na huyu Ambaye anaitwa SHETANI SIO? au...
MWANAHISABATI@ArthurGeil
@francismtey Alafu Mungu nae akawa Nani? So unataka kusema kwamba Shetani ndio alikua Mungu alafu huyu Akamsaliti Shetani mmmhh..😂😂
Filipino

@Thepoli12847540 @GGalawika @francismtey Ndoto? Ndoto ni hallucinations tu, hainaga authenticity yoyote na huwez kufanya ndoto ndio iwe reference
Indonesia

@Thepoli12847540 @GGalawika @francismtey Huitaji kuamini, unatakiwa kujua. Kuamini unaweza kuamini hata uongo. Ulimwengu wa Roho we umeuona wap
Indonesia

@Thepoli12847540 @GGalawika @francismtey Hapana nakataa na hapa, Hii ni dhana tu huwez kuthibitisha ulimwengu wa Roho sabab Haina namna yoyote ya kuuelezea.
Indonesia

@omary___ @GGalawika @francismtey Lakini pia Mungu ni Roho anaishi katika ulimwengu huo, yeye ni muumba wa viumbe vyote ya kiroho na kimwili
Indonesia



















