Kommit schuenn

4.4K posts

Kommit schuenn

Kommit schuenn

@schuenn

The expensive fan of @AzamFc

Dar es Salaam, Tanzania เข้าร่วม Aralık 2021
275 กำลังติดตาม246 ผู้ติดตาม
DuZwey DuZwey
DuZwey DuZwey@duzwey·
@lwaitama1 CHADEMA mna safari ndefu sana , mimi naona hii nchi igawanywe pande mbili Waislamu na Wakiristo, CHADEMA wachukue kipande cha Wakiristo Kitima awe raisi
Indonesia
1
0
0
471
Dr Lwaitama
Dr Lwaitama@lwaitama1·
Kuna Benk ya Wa Lutheran inaitwa Maendeleo bank na pia kuna ya Wakatolik inaitwa Mkombozi, hao wanakopesha wateja wote bila kujali dini, Lakin nauliza kwanini Kuna Bank ya Amana wanakopeshwa waislam tu?
Indonesia
72
45
542
29.9K
Kommit schuenn รีทวีตแล้ว
MJUKUU (Fan)
MJUKUU (Fan)@WideEdson·
@schuenn Mpaka ukaguse basi utakua na shida muhim na mimi. Kuliko ufanye hivyo nicheki DM tu 😃
Indonesia
1
1
2
1K
MJUKUU (Fan)
MJUKUU (Fan)@WideEdson·
Wanangu ile inshu ya bajaji, leo mapema sana niliamkia kwa M/kiti wangu wa mtaa kwaajili ya kupata barua ya utambulisho. Nikapita kwa mtendaji kata nikarudi kwenye ofisi ya U. W B kwaajili ya kupigiwa muhuli kama mwanachama. Teari nimeandaa barua ya maombi napeleka NMB Pamba.
MJUKUU (Fan) tweet media
Indonesia
58
36
256
22.2K
kisheri mabeley
kisheri mabeley@KisheriMabeley·
@MkulimaKante Njia ni tatu Mzee 1.dissolution;changanya sukari+mchele+maji 2.Filtration;chuja huo mchanganyiko ili upate maji na mchele separately 3.evaporation;chemsha hayo maji ili baadae upate sukari
Indonesia
5
0
3
1.3K
Kante
Kante@MkulimaKante·
X wanasayansi utafanya nini kutenganisha mchele uliochanganyika na sukari🙏 Natanguliza shukrani kwa mwenye idea
Kante tweet media
Indonesia
127
54
340
37.5K
kalulu
kalulu@DixonMax2·
@assengajrr Inashangaza mgonjwa ana Kikohozi anapewa Azuma ya UTI....
Indonesia
28
0
0
6.5K
Assenga Jr
Assenga Jr@assengajrr·
Nimegundua Bongo watu hawafi kwa magonjwa waliyo nayo bali wanakufa kwa kupokea matibabu ambayo sio sahihi, na dawa zilizo expire. Mtu ana kichomi mnatundikia Dripu ya hamu ya kula, Duh!
Indonesia
54
53
598
35.5K
Big Psycho
Big Psycho@Bigsyke20·
SATIVA anabet na anatumika na makampuni kushawishi watu wabet kupitia makampuni hayo huku yeye akilipwa commission. Kiufupi SATIVA anapiga kazi mbili kwenye betting. 1.Anabet kwa kuweka hela zake. 2. Anacheza kama winga wa makampuni ya kubet. Ukiona mtu yeyote anakuambia jiunge na kampuni fulani weka promo code fulani fahamu kwamba analipwa.
Big Psycho tweet media
Indonesia
116
42
896
82.2K
P....star.Boy
P....star.Boy@leonard_pa41790·
@LusajoNdussa @Sativa255 Kubet Inahitaji Capital ndefu Bro Odds Zakushinda Ni 1. Mwisho odds 2 apo kama Hauna Mtaji kuanzia 1M Sahau Kufanikiwa kwenye Kubet.
Filipino
3
0
1
82
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Narudia tena MILIONI 100 kwa mwaka kutengeneza kwa Mwaka ni pesa ndogo sana. Nilivunjwa TAYA na watekaji kwa kupigwa Risasi baada ya Kutekwa-vipenzi wangu watanzania hawakuishia tuu kupiga kelele #WhereisSativa Waliona video ya ndugu yao wakaona nahitaji MATIBABU kwa hali na mali-hawakujali naweza kujilipia au vipi wao wakaona bado mimi ni wao wa shida na raha. Wakajikusanya wakajichanga zaidi ya 13M ilichangwa ndani ya masaa 15+. Baadae DIKTETA jike akaona michango ya wananchi nae akajileta na 35M yake. Michango ya wananchi ikakomea hapo. Matibabu yangu mpaka sasa nimetumia zaidi ya MILIONI 70+ Na bado naendelea na matibabu-ushawahi kuona mahali naomba MCHANGO? Uliumia sana watu kunichangia bila kujali kama naweza kujimudu au vipi? Ulichanga shingapi nilipo vunjwa TAYA nikurudishie mara 5 leo leo ili uache kuniwaza kila siku. MILIONI 100 kwa mwaka ni pesa ndogo sana wengine tunaitafuta hiyo kwa miezi miwili nanusu mpaka mitatu. Acha SHOBO DADA WA KAZI ZA NDANI.
Dada Wa Kazi Za Ndani@DadaWaNyumbani

@Sativa255 Mimi huwa nashangaa kabisa m100 kwa mwaka ni pesa ndogo ila mkiuugua na kuvunjwa taya wakaitaji million 40 za matibabu mnakimbilia humu kuchangishana

Indonesia
53
35
560
71.7K
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Ukiwa mgeni alafu ukashikwa unaongeza maji ya ugali unaweza kujiteteaje...!?😂
Indonesia
19
23
105
3.7K
Bony 📚
Bony 📚@bonifacejoseph_·
Ukishaanza kuuza vitu vyako vya geto kwa kisingizio cha kukosa hela ni RED FLAG maana vikiisha hatihati ya kutafunwa marinda ipo karibu.!!
हिन्दी
54
46
689
78.9K
𝑵𝑨𝑩𝑬𝑬𝑳
𝑵𝑨𝑩𝑬𝑬𝑳@heisnabeel·
Kuna mwanangu kaachwa na demu wake, basi toka week ilopita tunakesha wote bar sometimes me sijafika ye kashafika tayari😂 salute kwake yule demu nalewa bure tu skuiz.
Indonesia
19
26
296
13.6K
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Unamtoa girlfriend wangu out ya lunch na dinner afu unamuomba aachane na mimi, sasa mimi nimekukosea nini bro..?
Filipino
16
37
231
9.1K
CHURA MYUNANI MKALI PAPPARAZI
CHURA MYUNANI MKALI PAPPARAZI@Maestrowafact·
Wakali wa mission town wa lile jengo la kin Doni YEN chezeni kwa usalama sana
Indonesia
16
24
408
88.2K