Pinned Tweet
NZUKI🐝
19.6K posts

NZUKI🐝
@AllyGoa
Arsenal & Simba Fan | Self Made
Dar es Salaam, Tanzania Joined Eylül 2012
2.2K Following5.1K Followers

Chriss alisema yeye anajua October kulikuwa na mapinduzi ya nchi , ina maana haya ndio CCM waliambiwa kwamba nchi ilikuwa inapinduliwa
Chriss anasema wana CCM wanakamata Watanzania wote waliopo nje ya nchi Yaani kuteka akamtaja @Liberatus80 ambaye yuko Marekani kwamba yeye Chriss anaweza mkamata kivipi? ni utekaji
Chriss yuko @UKinTanzania akifanya capital flight kutoka Uingereza kuja Tanzania akiwa amejiweka kama Mwingereza
Ni moja ya watanzania ambao CCM wanajua ana passport ya UK lakini wamemruhusu kufanya biashara kama Mtanzania na kumiliki ardhi
Kwa nini Chriss anaruhusiwa haya? Sababu ni mtekaji wao kama alivyosema kwenye video, na alijua kilichotokea October ni mapinduzi
Indonesia

JAJI CHANDE CHUMA KILICHOSHINDIKANA NA MWISHO WA PROPAGANDA ZA KITOTO
Leo tarehe 23 Aprili, Jaji Mkuu Mstaafu Mohamed Chande Othman anakabidhi ripoti inayokwenda kuzika rasmi upotoshaji kuhusu matukio ya Oktoba 29.
Jaji Chande siyo mtu wa kuyumbishwa ni nguli mwenye uzoefu wa kimataifa aliyebobea kwenye uchunguzi na sheria za haki za binadamu.
Anakuja na ukweli wa kitaalamu, siyo ramli za mitandaoni.
Tume yake imefanya kazi kwa uhuru na weledi wa hali ya juu.
Ripoti hii inakuja kumaliza utata uliokuwepo kuumbua wapotoshaji na kuliunganisha taifa letu.
Wale waliozoea kupandikiza chuki na kutengeneza simulizi za uongo kwa ajili ya kiki za kisiasa leo ndiyo mwisho wenu.
Jaji Chande hapokei ngano za vijiweni anatoa ukweli mchungu uliothibitika kisheria.
Watanzania tuwe watulivu ukweli unaenda kuwekwa hadharani na kuliweka taifa huru dhidi ya propaganda za kilaghai.

Indonesia

@Nicolasgabone @MariaSTsehai Walishaambiwa wasiende kuichunguza Serekali😂
Indonesia

#TajiriLaKihaya
IRAN wamegoma kwenda kwenye Mazungumzo pale PAKISTAN😅
TRUMP kabidi Aongeze muda wa Ceasefire maana ulikua unaisha leo😂
Na Mara hii kaogopa kuweka muda maalum 🙌🏽🙌🏽🙌🏽

Indonesia

@HakiBalozi255 @SuluhuSamia @HecheJohn @godbless_lema @HildaNewton21 Ulishawahi kwenda kumuona huyo Lissu?
Filipino

Rais Samia na LISSU walipokutana na kuzungumza ,walifungua mlango wa kukwamua mkwamo wa siasa nchini.Kwa nini leo Viongozi,makada,Wanaharakati wananunia utayari wa Lissu kuzungumza kuponya Taifa?
@SuluhuSamia @HecheJohn @godbless_lema @HildaNewton21
Indonesia

Waboreshe maslahi ya watumishi then wasimame hivyo unavotaka Maisha ni magumu kipato hakikidhi, mara zote humu mmekua watu wakuwajebehi na kuwasanifu Walimu humu hamna jema nyie😂🚮
ProsperNow.@prossoff
Tuseme ukweli. Wafanya kazi wa serikali HAWAFANYI KAZI. Ni moja ya kundi la watu linalokula good time katika haya maisha. Sio kweli kwamba madaktari hawapo. Wapo ila kila huyo ni mkubwa na wana siku zao za kazi. Mtumishi wa kata nae anabiashara zake( mara ana ki gari anaendesha siku nzima) Mwalimu anafundisha kidogo anachukua probox yake anaenda kupiga hela. Serikali ina usimamizi hafifu sana juu ya watumishi huko makazini. Huko halmashauri watu wanakula maisha tu.
Indonesia

@prossoff @SyntaxError01_ Ukiwasimamia unavyotaka wewe, unaweza kuboresha maslahi yao??
हिन्दी

Tuseme ukweli.
Wafanya kazi wa serikali HAWAFANYI KAZI.
Ni moja ya kundi la watu linalokula good time katika haya maisha.
Sio kweli kwamba madaktari hawapo.
Wapo ila kila huyo ni mkubwa na wana siku zao za kazi.
Mtumishi wa kata nae anabiashara zake( mara ana ki gari anaendesha siku nzima)
Mwalimu anafundisha kidogo anachukua probox yake anaenda kupiga hela.
Serikali ina usimamizi hafifu sana juu ya watumishi huko makazini.
Huko halmashauri watu wanakula maisha tu.
Filipino

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Joel Nanauka amesema serikali inaendelea na utafiti wa kuanzisha Benki ya Vijana itakayolenga kutoa huduma za kifedha zinazokidhi mahitaji ya vijana Nchini.
Amesema hayo wakati akiwasilisha hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2026/27, akieleza kuwa hatua hiyo inalenga kuweka msingi imara wa taasisi maalum ya kifedha itakayowawezesha Vijana kupata mitaji kwa urahisi.
“Dhamira ya Serikali ni kuweka msingi wa mfumo wa kifedha unaoendana na mazingira na uwezo wa vijana wengi, hususan wale wanaoanza shughuli za kiuchumi, ili kuondoa vikwazo vilivyopo katika upatikanaji wa mitaji. Benki ya Vijana, itakayoanzishwa, itakuwa chombo muhimu cha kimkakati kitakachowezesha upatikanaji wa huduma za kifedha zilizo rafiki kwa vijana, kuchochea ubunifu wa bidhaa za kifedha zinazolingana na mahitaji yao, kupanua wigo wa uwekezaji wa vijana, na hatimaye kuongeza ajira na mchango wa vijana katika kukuza uchumi shindani na jumuishi wa Taifa,” Mhe. Nanauka - Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana.
#MillardAyoUPDATES
Indonesia

Afu unakuta Shoga mmoja anakwambia battle ya Pep na Klop ilikua ya juu😂😂😂😂🍌 Mashabiki tu wenyewe wa City wameamua kua vichaa
CentreGoals.@centregoals
🚨🚨🎙️| Pep Guardiola: “Arsenal is one of the 𝐓𝐎𝐔𝐆𝐇𝐄𝐒𝐓 teams I’ve faced in my career.”
Indonesia














