Alexander

259 posts

Alexander banner
Alexander

Alexander

@ALOY_DIGITAL

//@peaqape

Katılım Temmuz 2024
128 Takip Edilen28 Takipçiler
Thiago
Thiago@iamjamesmgeni·
@sundey_fx Mnataka liquidity sweep, trendline liquidity, FVG na position sizing nikalipie sio😄
English
2
0
3
160
Sunday Victor
Sunday Victor@sundey_fx·
Mliojifunza trading pekenu, bila mentor, Trading inaendeleaje huko?
Română
9
1
41
3.2K
Trader NAS
Trader NAS@Trader_NAStz·
Aaah KMMK Uyu shemeji yenu sasa anataka Talaka Kama mapenzi mpaka ukojolew mdomon asee mim YAMENISHINDA 😁🙌
Trader NAS tweet mediaTrader NAS tweet mediaTrader NAS tweet media
Indonesia
10
0
8
1.7K
Sean 🦩
Sean 🦩@iboysean·
Kuna jamaa angu mmoja karudi kwake anakuta wife anaangalia mambo ya Forex 😂😂😂
Sean 🦩 tweet media
Indonesia
48
45
702
44.2K
BeLINDA
BeLINDA@belindaPINDA01·
Nimepeleka vyeti vyangu vya kazi boss kaniambia niende kufataa majibu usiku. Nifanyeje mie jamani!??
Indonesia
57
51
241
7K
Alexander
Alexander@ALOY_DIGITAL·
@Maestrowafact Hujui kitu Ungekuwa hata na idea ya trading usinge pinga
Indonesia
0
0
0
23
CHURA MYUNANI MKALI PAPPARAZI
CHURA MYUNANI MKALI PAPPARAZI@Maestrowafact·
TAPELI ANAPOTAKA KURUDI MJINI Awamu hii mwizi hajaja na bunduki amekuja na Interview ya kuburudisha na kulipa influencers wampigie debe. Francisco Magnetics amerudi na safari hii amekuja na hadithi ya kutengeneza 1.7B akiwa na miaka 20 Hebu tuchambue huu mchongo😅
CHURA MYUNANI MKALI PAPPARAZI tweet mediaCHURA MYUNANI MKALI PAPPARAZI tweet mediaCHURA MYUNANI MKALI PAPPARAZI tweet media
Indonesia
72
40
373
64.1K
Alexander
Alexander@ALOY_DIGITAL·
@BesteNicolas Kuna namna ya ku Fanya ujiondoe kwenye platform yao wasiweze ku access contact list yako na platform zingine ulizo allow wa access
Filipino
0
0
0
132
kijana mpole
kijana mpole@BesteNicolas·
Daah mikopo inadhalilisha san wakuu😭
kijana mpole tweet media
Indonesia
19
10
91
18.3K
BIGV 🎩
BIGV 🎩@vistovic17·
🚨 Umoja wa Chama cha Madaktari Tanzania wamenyoshea mikono juu mbususu ya demu wa UDSM! “Mimi ni doctor, nipo hodi ya wazazi Sinza Palestina Dar Leo. Kwenye group nimeona hio mbususu, madaktari wote tumekubaliana — hiyo ndiyo mbususu kubwa zaidi Tanzania!”
BIGV 🎩 tweet mediaBIGV 🎩 tweet media
Indonesia
61
36
687
121.5K
Kiduchu
Kiduchu@Kiduchu24·
@CFC_Boey Kwa utongozaji huu utakula nyeto mapaka kufa😂
27
1
69
5.9K
EL SUKAYO LE ANALYSTE 🇹🇿
Kuingia tu kwenye kikao cha wanaume cha IPM ni 50k × watu 500 = million 250 Tshs Million 250 × vikao 10 = billion 2.5 Huyu mchungaji anapiga sana hela Bahati mbaya zaidi watu hawashituki Oyaa mjini shule
EL SUKAYO LE ANALYSTE 🇹🇿 tweet media
Indonesia
140
60
992
63.3K
The Red Baron
The Red Baron@Hovstad_·
@weehmzeee Mimi nikipata mtu ako na laptop na float nikam na knowledge yangu tufanye partnership, ni some days tu tukuwe kichele mbaya.
Filipino
10
5
47
6.5K
Weeh Mzee™
Weeh Mzee™@weehmzeee·
Pale dark web unakuanga one link away from generational wealth, courage tu kidogo
English
54
429
3.6K
96K
Alexander
Alexander@ALOY_DIGITAL·
@GbpAud_king Sometimes investing nikujilipua tu Afu unapotezea liwalo na liwe
Indonesia
0
0
0
17
Moses Jackson 🇹🇿
Moses Jackson 🇹🇿@GbpAud_king·
Rafiki yangu alinunua hisa za CRDB @ 3000 per share. Akaweka kama 18M. Juzi price ikafika 2500. Floating loss karibu 3M. Amepata depression. Hii ndio reality ya masoko. Uwekezaji sio numbers tu, ni psychology pia. Kama unapitia pressure kisa market, usikae nayo peke yako.
Indonesia
71
41
715
50.6K
Alexander
Alexander@ALOY_DIGITAL·
@GbpAud_king Kuna walio nunua Bitcoin ikiwa 121000$ na sasa ipo 66000$ Nao wasemeje 😅
Filipino
1
0
1
90
GEMINI
GEMINI@richiethegemini·
@gabyconscious Haha wakina richlit samahani lakini 😆
Filipino
1
0
0
324
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o
Nilienda Dubai na karibu milioni tano tu na plan ya kuuza laptops. Miezi michache baadaye nimepata 𝗨𝗔𝗘 𝗿𝗲𝘀𝗶𝗱𝗲𝗻𝗰𝘆 ya miaka miwili. Hii ndio reality ya Dubai ambayo watu wengi hawakwambii. Acha nishee hii story hapa baada ya hapa utakua na majibu ya kila kitu kuhusu DUBAI 𝙈𝙖𝙗𝙖𝙮𝙖 𝙣𝙖 𝙢𝙖𝙯𝙪𝙧𝙞 𝙠𝙪𝙝𝙪𝙨𝙪 𝘿𝙪𝙗𝙖𝙞 𝙆𝙬𝙖 𝙀𝙭𝙥𝙚𝙧𝙞𝙚𝙣𝙘𝙚 𝙮𝙖𝙣𝙜𝙪 -Utakuwa umefika Dubai -Umejua kila kona ya Dubai -sehemu za kulala, sehemu za kutalii,Biashara nk 𝗕𝗼𝗼𝗸𝗺𝗮𝗿𝗸, Chukua kahawa,Popcorn tuendelee👇 Kiukweli hayajawahi kuwa maamuzi ya siku moja ni RECIPE ya maamuzi na vitu vingi nimekua nikipitia Chachu ilitoka wapi? “𝙄 𝘼𝙡𝙬𝙖𝙮𝙨 𝙘𝙝𝙤𝙤𝙨𝙚 𝙧𝙞𝙨𝙠𝙮 𝙛𝙧𝙚𝙚𝙙𝙤𝙢 𝙤𝙫𝙚𝙧 𝙘𝙤𝙢𝙛𝙤𝙧𝙩𝙖𝙗𝙡𝙚 𝙨𝙡𝙖𝙫𝙚𝙧𝙮. 𝘼𝙡𝙬𝙖𝙮𝙨.” Mwaka 2022/2023 me whatsapp nilikutana na mwanangu @eddygotya akawa ananiambia ashawai agizia watu vitu kibao China na nini. Mimi nilikua Nairobi wakati huo. Kwa Nairobi ni kitu cha kawaida sana watu wajanja wa mtandao kuOrder aliexpress nk na logistics zimenyooka tu chaap unaletewa mzigo. Sasa fast forward nilivogeuka bongo tukaanzisha kampuni inaitwa 𝕞𝕟𝕦𝕟𝕦𝕫𝕚𝕠𝕟𝕝𝕚𝕟𝕖 tulikua na office SINZA afrika sana pale sokoni junction ya kwenda mabatini. Ilikua inakua ila challenge hazikosekani me nikamwambia mchizi nabwaga akaendelea ila me nikachana nayo Sasa yeye akaanza kwenda 𝘿𝙪𝙗𝙖𝙞 next ikawa China Kuna siku nikamuuliza kati ya Dubai na China wapi naweza enda nikiwa hata na 5m nikatoboa. Akanyoosha akasema Dubai. (Usije ukawa na 5m ukadhani pia utatoboa, kwangu ilikua rahisi maana tayari nina wateja plus najua kufanya marketing ONLINE) Me nikiwaza lifestyle ninaloona mtandaoni la Dubai nitaweza afford kweli nikaona uongo Mwaka juzi mwanangu @thisiscollins1 alikua Chuo Cyprus akahamia China basi tukaanza kupush tena ecommerce kama kawaida ila logistics ikawa mzozo sana. (Btw tushaiwafunza watu 1000+ jinsi ya kuOrder vitu china na kuuza👉🏾 youtu.be/lLfA4B5zQpg?si…) Mwanangu akanambia me niko shule omba VISA njoo hapa. Sasa me kama wewe na wengi mnaopenda uhakika nikaanza kumuuliza kila move oya usafiri, hotel ngapi bei nk Huku nauliza @eddygotya kuhusu Dubai pia NikiCompare hivi nikaona maisha ya China ndo kitonga nitamudu. Mimi huyo chaap kwenda kuApply VISA ya China Agent waliniletea miyeyusho ofcoz kama hujui hii sio mara zote watu wamenyooka. Me ni mkorofi niliumana nao haswa hadi nikapata VISA ya China. Hehe Sasa kubabake ikawa wakati wa Canton fair nauli ziko juu mlima. Yaani nikienda ni kuwa nimalize hela yote nauli afu nibet kupambana ama nisiende Nikabwaga nikamcheki mwanangu tena @eddygotya nataka kwenda Dubai Akanambia nenda Dubai focus sana lakini kuuza LAPTOPS. LAPTOPS zina hela miezi nne tu gharama zako zitarudi Uzuri mambo ya kumarket kwangu sio issue nna watu 1200+ daily wanaangalia whatsapp yangu Kukosa mteja labda nirogwe. Siku hiyohiyo nikamuomba mtu wa VISA nikalipia. Hapo sikuwa na dusko nimetoka kupata mtoto costs kibao bima tu Kenya namlipia ka 2m, dogo mapassport nini mambo buku sielewi. Nikachek line zangu mbili wakanipa Dusko niAfford bills za hapa na pale. Mungu hatoki twitter aisee week ya kwanza mauzo bampa to bampa hapo ni whatsapp tu. Offcourse challenges hazikosekani kama hii niliibiwa hapa😂 (x.com/gabyconscious/…) Hadi leo me hizi X sijui insta napost tu for visibility ila nauzia 𝙬𝙝𝙖𝙩𝙨𝙖𝙥𝙥. (Learn Whatsapp marketing👉🏾 youtu.be/1ER2REhfhMM?si…) Mwezi wa kwanza nikaishi Nikarudi afu after few weeks nikarudi sasa nipambanie 𝙐𝘼𝙀 𝙄𝘿 ili nisisumbuke kuomba VISA kila mara Maana trip hii plan ni nipate ghetto(bedsitter) kwa ajili ya kukaa ila pia iwe office kwa maContent yangu. Hii haikuwa ngumu maana tayari watu wangu wa karibu washaona mzigo nnaopiga, sales nafanya. Wakatia mzigo. Bana Mungu sio Mark Zuckerberg😅. Round hii mambo ikajipa Process ikaanza 👇👇
YouTube video
YouTube
YouTube video
YouTube
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o tweet media𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o tweet media
Indonesia
101
407
1.2K
188.5K
𝐄𝐋𝐊𝐍𝐎𝐖𝐒
𝐄𝐋𝐊𝐍𝐎𝐖𝐒@Its_elknows·
Kama hauna pesa ya kulipia tool za kutengenezea content za blog, YouTube automation na Facebook monetization Kuna hii software nitakupa bure kama unahitaji tu →Repost →Comment " Facebook monetization" →Nakutumia DM PS: Hakikisha unaitumia vizuri huwezi kukosa hela
𝐄𝐋𝐊𝐍𝐎𝐖𝐒 tweet media
Filipino
123
75
144
7.6K
Trojan Horse 🎭
Trojan Horse 🎭@anon_codex·
Yupo sahihi mimi mwezi wa 11 hadi sahv nishatengeneza sio chini ya 40M+ so ni miezi 4 tu nina internet na pc tuu naweza share chochote kile utakachotaka bank statement any proof you want
Beast@emabilly2001

Brother @mafolebaraka unavyosema mtu anaweza kutengeneza million 100 kwa mwaka akiwa na Internet tu na pc' tukikupa wewe ndani ya miezi tukikudai 50m utaweza. Usigeuze watu kuwa fursa dogo Acha mara moja

Indonesia
71
18
237
55.8K
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Mungu aliwasamehe makahaba, lakini ulipofika wakati wa kumchagulia Mwanawe mama, alimchagua bikira. Jifunze kutoka kwa Mungu. Bado unasubiri kuwa DC ? Sababu ya kurudi ni mauaji 29/10/2025 kwani ina nguvu na heshima zaidi ya ile sababu iliyokuondoa kwenye wajibu mwema.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
69
187
1.6K
158K
Life Of Easy
Life Of Easy@dosantos255·
@DaimuManafi Sema kizazi cha secondary 2007-2012 tuliinjoy mambi mengi sana. Huyu fala(sio kwa ubaya) alishawai kutuuliza nani humu anaaoma EGM au CBG tukanyosha mkono basi akatufukuza pindi lake akasema hawezi fundiaha watu wanaosoma kombi za kike😂 oya sijawahi jisikia vbya kama vile maisha
Indonesia
14
3
105
9.7K
Babangida
Babangida@DaimuManafi·
Zamani kulikuwaga na ma T.O halafu kulikuwa na Elias Kihombo. T.O wa 2006 ambaye alikacha chuo na kugeuka kuwa mwalimu wa Tuition Physics na Chemistry wa shule kubwa Tanzania. Ziara yake mashuleni ilikuwa ni kama Waziri wa Elimu, madarasa yalikuwa yanafurika mpaka hakuna nafasi ya kukaa ili wanafunzi wapate mapindi. Anakumbukwa kwa lugha yake ya ucheshi wakati wote iliyojaa ujivuni, akipenda kuwaita wanafunzi "Nyumbu" na kusolve maswali kwa njia nyingi na rahisi hadi za wale aliokuwa akiwaita Manyumbu wasioelewa 😃😃 Mimi nilikuwa mmoja wa wanafunzi wake pale Karatu Boys nilikuwa Nyumbu wa Chemistry. Taarifa zinasema akifariki mwaka 2020 kwa maradhi. Rest in Peace Kihombo.
Babangida tweet mediaBabangida tweet media
Filipino
120
110
1K
95.7K
Eazy E
Eazy E@ImmvReal22·
@tazamaMbali Unadhani kila mbao inafaa kutengeneza mtumbwi, kwamba unaenda kununua mbao wewe mwenyewe unadhani ni mbao za kuezekea mabati mzeee?😂😂unajua mbao za kutengeneza mtumbwi zinaitwaje boss? inshort hiyo 1.5m inatakiwa iwe ya kununua vitu vidogo vidogo kama nyavu,taa na petrol
Indonesia
3
0
10
413
Tazama
Tazama@tazamaMbali·
Ukiwa na 1.5M mikoani huwezi kukosa 1.5M. Kwa 1.5M huku kanda ya ziwa, tengeneza mtumbwi, nunua machine yake na nyavu. Tafuta vijana uwape wavue dagaa. Siku za kuvua ni 14 kwa mwezi. Ukiwa na siku nzuri, 400k - 800k inapatikana kwa siku na huwezi kukosa siku 5 nzuri kwa mwezi
Suomi
41
19
262
29.7K