Anko Chifu

1.8K posts

Anko Chifu

Anko Chifu

@AnkoChifu

A man with Integrity are you going

Dallas, TX Katılım Ekim 2018
326 Takip Edilen30 Takipçiler
Dr. Sisimizi
Dr. Sisimizi@Sisimizi3·
Mtoto wa Rais Magufuli, Jesca Magufuli anakiri kuwa Rais SAMIA ni mtendaji kazi anayeiendeleza kwa kasi mnoo mambo aliyoyaacha Baba yao.
Dr. Sisimizi tweet media
Indonesia
27
7
71
7.3K
Dr. Sisimizi
Dr. Sisimizi@Sisimizi3·
Hivi Mbunge anamamlaka gani ya kutoa haya maelekezo, nahisi huyu BWANA anajisahau anahisi yeye ni Mkuu wa Mkoa
Dr. Sisimizi tweet media
Indonesia
53
7
311
41.1K
Anko Chifu
Anko Chifu@AnkoChifu·
@Geophreyfg @HildaNewton21 Kama mnaafikiana na uhuru wa kuongea mbona mnahangaika na wanajeshi barabarani mkisikia Maandamano? Acheni propaganda za kunujua watu. Huo sio uhuru wa kuongea bali ni siasa za maji taka za kununua watu
Indonesia
0
0
0
23
Geophrey
Geophrey@Geophreyfg·
@HildaNewton21 Kwan si tumekubaliana tunataka uhuru wa kuongea kaen kimya watu waongeee kwan wanasema uongo kwan hawa si kama chadema wana haha na uchaguzi usio wahusu
Indonesia
9
0
1
2.1K
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Picha ya kwanza ni mzee Mohamed Saidi, dini Mwislamu, mkazi wa Tandika, wilaya ya Temeke jijini Dar. Shuguli anayofanya ni kubeba mizigo soko la Tandika. Amekana imani yake na kujibatiza Ukatoliki wa kuchaji kwa tamaa ya vipande vichache vya fedha. Picha ya pili (aliyezungushiwa duara) anaitwa Naomi Matola, kabila Mnyakyusa, mkazi wa Kurasini, mzaliwa wa Mwakaleli, Mbeya. Amewahi kuwa Mwenyekiti wa UVCCM Kata ya Kurasini 2017 hadi 2022, na pia aliwahi kugombea Uenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mivinjeni, Kata ya Kurasini jimbo la Temeke mwaka 2014 akashindwa na Claudius Togocho wa Chadema. Naomi ni Muumini wa Kanisa la Moravian, ushirika wa Keko. Amewahi kuwa muimbaji wa kwaya ya Sinai Moravian Keko, lakini akafurushwa kwa utovu wa nidhamu. Naomi amekana imani yake ya Moravian na kujivika Ukatoliki wa kuchaji kwa tamaa ya vipande vichache vya fedha. Namba yake ya simu ni 0712 535467, msalimieni kidogo.!
Hilda Newton tweet media
Indonesia
64
171
1K
54.1K
khamis
khamis@hintay2003·
@godbless_lema Ni baba Mnafiki Wala Hana uzalendo Wala utu. Rudi miaka ya 80 wewe Bado labda hujazaliwa au ni mdogo unanyonya yeye akiwa kiongozi wa juu sana, muulize wananchi walikuwa na maisha gani nguo hamna viatu chakula kwa Kaya mpaka siku ugawaji wakileta bidhaa dukani sukari robo Kaya.
Indonesia
6
0
1
390
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Watoto wa Mzee Joseph Warioba, sijui kama wanatambua baraka kubwa waliyo nayo. Kuwa na baba mzuri, mwema, na mwenye uadilifu wa moyo ni neema adimu sana. Katika Dunia ya leo ambako watu wengi wanathamini vitu kuliko utu, kuwa na baba wa namna ya Mzee Warioba ni jambo la kujivunia na la kushukuru kwa Mungu kila siku. Nasisitiza kwa dhati kabisa ya moyo wangu , nyie watoto wa Mzee Warioba mna baba mzuri sana. Mlindeni , mpendeni Baba yenu kwa gharama kubwa sana.
Indonesia
54
465
2.3K
44.4K
Anko Chifu retweetledi
CINEMAS ANALYTIC 🎬
CINEMAS ANALYTIC 🎬@CinemasAnalytic·
D9 Updates Chanel Siri ni namba Repost 890
CINEMAS ANALYTIC 🎬 tweet media
Filipino
4
182
474
16.6K
Anko Chifu
Anko Chifu@AnkoChifu·
Hatuna Uhuru wa Tanzania Bara... Yuna Uhuru wa TANGANYIKA... Acheni upotoshaji wa Makusudi @bunge_tz
Anko Chifu tweet media
Indonesia
0
0
0
60
Anko Chifu retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Mwenyekiti wa CHADEMA Sumbawanga. Watu wa hiki chama Kichwani wako nondo SANA aisee. REPOST 200 TUTAKUWEPO🫵😎
Indonesia
57
390
1.3K
26.7K
Anko Chifu
Anko Chifu@AnkoChifu·
@NguRu24 @HecheJohn Yaani sasa nimethibitisha kabisa kwamba uwepo wa mataahira Tanzania ni Halisi
Filipino
0
0
0
41
ngurunachi
ngurunachi@NguRu24·
@HecheJohn Ndio mjuwe kuwa chama chenu kimewatia watu kwe majanga makubwa. Badala ya kufanya siasa ninyi mnafanya uhaini. Sasa cha kufanya CHADEMA muasaidie hao watu. Wapeni pesa wanunuwe huo uhuru unaosema. Lakini pia ujuwe polisi unaenda bure lakini lazima utoke kwa gharama.
Indonesia
5
0
3
1.4K
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Nina taarifa za uhakika kutoka kwa watu waliokamatwa na kubambikiwa kesi za uhaini fake. Hii imekua njia ya watu wa serikali kujipatia kipato.. Tarime kuna watu wametoa fedha laki tano mpaka milioni 1 kununua uhuru wao. Lakini kuna watu wana majeraha makubwa Bado wanashikiliwa kwenye vituo vya polisi na mahabusu za magereza.. Hali hiyo iko Shinyanga, Dar, Mbeya, Arusha na Nchi nzima.. Kilichoitwa msamaha limegeuka biashara za watu. Kwasasa pia kila mtu akikatwa polisi wanamtishia kumpa uhaini na wengine ili kujiokoa wanatoa fedha. Utawala umefitinika.
Indonesia
159
597
2.8K
118.2K
Afrika
Afrika@Mwanamajumui·
ZXX
111
18
125
22.2K
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
The violence Samia Suluhu unleashed on Tanzanians for protesting, demanding free and fair elections. Huyu mwanamke alipigwa risasi geita nyankumbu tarehe 31/10 alikuwa Ameenda kununua mafuta na hapo alikuwa na mimba ya miezi 6,😭ameacha watoto wadogo mpaka sasa ukiwauliza mama yuko wap wanasema Ameenda kununua mafuta 😭😭huyu samia ni muuaji hastahili hata kuongoza familia 😭
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸 tweet media
Filipino
214
980
2.8K
317.5K
Anko Chifu
Anko Chifu@AnkoChifu·
@Sativa255 Hata taarifa za habari za Media zao siku hizi hatuangalii
Indonesia
0
0
0
267
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Kwani ni chombo gani cha habari au muandishi gani wa habari walifanya kuripoti jambo lolote kuhusu yaliyofanyika GIZANI? Je dunia iliona mliyofanya GIZANI HAIKUONA? GIRISHONI hakuna mtanzania anaetegemea hizo media zako wewe na waandishi wako wewe—watanzania kwasasa hakuna MEDIA au MUANDISHI WA HABARI wanaemtegemea kuwahabarisha zaidi ya Page zetu. Na kama ulivyoona yote yaliyofanyika GIZANI leo yapo nuruni. Na hata Ripoti ya CNN leo hakuna mtu ambae hajaiona licha ya VITISHO VYAKO VYA KIPUMBAVU. Tushatoka huko kwenye kutegemea Media zenu mzee. Ndiomaana hata maandamano hakuna media hata moja ilisapoti na yakafanyika na dunia nzima iliona. Hatupo zama za MAWE WE MPUMBAVU GIRISHONI. Kaa na media zako na taarifa zenu za kipumbavu. RIPOTI YA CNN HAITEGEMEI MEDIA ZA BONGO ILI ITEMBEE—CNN HAWAWEZI KUKUPIGIA MAGOTI WEWE GIRISHONI ETI URUHUSU MEDIA ZIPOST ILI RIPOTI IANGALIWE, ACHA KUJIPA UMUHIMU NA PUNGUZA SHOBO UTAKATWA NA POPO BAWA. TUTAKUWEPO🫵🏾😎
SIR TIVA tweet media
Indonesia
137
181
1.2K
47.1K
Anko Chifu
Anko Chifu@AnkoChifu·
@Bizydan Kwa hiyo CNN walituma askari wao kupiga Risasi watu mtaani sio
Indonesia
0
0
0
7
Wiseman
Wiseman@Bizydan·
Wanachofanya CNN siyo makosa au bahatio mbaya..Kutoka Nigeria ,Kenya na sasa Tanzania wamekuwa wanatumia playbook ile ile. Wanaacha kusema ukweli na wamakuwa mbele kuchafua serikali za kiafrika na wako mstari wa mbele kuchafua viongozi wa kiafrika.. Kama anavyofanya Larry Midowo
Wiseman tweet mediaWiseman tweet media
Indonesia
3
8
4
275
Godluck
Godluck@Godluck1·
@Twaha_Mwaipaya Mzee ulaya imeanza kutupa miasaada since 1961 imetusaidia nini?
Eesti
16
0
2
1.4K
Twaha Mwaipaya
Twaha Mwaipaya@Twaha_Mwaipaya·
JE, MMEYASIKIA YA BUNGE LA ULAYA? Mwl John Pambalu Bunge la Ulaya limetoa uamuzi mzito unaobeba ujumbe wa kisiasa wa hali ya juu dhidi ya mwelekeo wa utawala wa sasa nchini Tanzania. Kupitia Kamati ya Mambo ya Nje (EP_ForeignAf) na Kamati ya Maendeleo (EP_Development), wabunge wa EU wamepiga kura kuzuia hatua ya Tume ya Ulaya kutoa fedha nyingi kwa Tanzania mwaka ujao kupitia mfuko wa NDICI–Global Europe – mfuko muhimu kwa kukuza maendeleo, ustawi na uwajibikaji barani Afrika. Katika kura hiyo, wabunge 53 waliunga mkono kusitisha fedha hizo, huku 2 wakipinga na 1 akijizuia kupiga kura. Hii si kura ya kawaida. Ni tamko rasmi la kisiasa la kuonyesha kutoridhishwa na hali ya kisiasa, uchaguzi, na mwenendo wa haki za binadamu nchini. Kwa nini wamechukua uamuzi huu? Sababu zao ni tatu kuu: 1. Kukithiri kwa ukandamizaji wa wananchi – ikiwemo kubanwa kwa haki ya kujieleza, kuandamana na kukusanyika. 2. Uchaguzi wenye utata na udanganyifu – kutokuwepo kwa uwazi, haki na uwanja sawa wa kisiasa. 3. Mwelekeo wa kiimla wa Serikali – kuongezeka kwa matendo yanayoashiria kupotea kwa misingi ya demokrasia. Kwa lugha nyepesi, Bunge la Ulaya limesema: “Hatutoendelea kutoa fedha kubwa kwa Tanzania huku demokrasia ikiendelea kupungua na wananchi wakizidi kunyanyaswa.” Hii ina maana gani kwa Tanzania? 1. Fedha za maendeleo Zinaweza kuzuia au kucheleweshwa hadi maboresho ya kisiasa yaonekane. 2. Sifa ya Tanzania kimataifa Inaendelea kuharibika kutokana na tuhuma za ukandamizaji. 3. Mahusiano ya Tanzania na EU Yanapitia mtihani mkubwa na presha itaongezeka. 4. Serikali ya Tanzania Itahitaji kuchukua hatua kurejesha imani ya dunia Uamuzi huu unakuja katika kipindi ambacho macho ya dunia yote yapo Tanzania. EU imeonyesha wazi kuwa haitatoa fedha za kujenga barabara na miradi ya maendeleo kwa taifa linaloshutumiwa kubomoa misingi ya haki, uhuru na demokrasia. Onyo au Fursa? Serikali inaweza kuchagua: 1. Ama kuendelea na njia ya sasa na kupoteza washirika muhimu, 2. Au kuanza kufungua mfumo wa kisiasa na kurejesha matumaini ya wananchi na jumuiya ya kimataifa. Lakini jambo moja liko wazi: 👉🏽 Dunia imeamka. Na sasa inaangalia Tanzania kwa makini zaidi kuliko hapo awali. Wasalaam John Pambalu
Twaha Mwaipaya tweet media
Indonesia
25
179
836
24.9K
Jebra Kambole
Jebra Kambole@Advocate_Jebra·
Walivyokuwa hawana akili watataka kwenda kufukua pale kwa Kondo ili kuhamisha miili! Sayansi imekuwa kubwa mtadakwa tu, Bora mtulie tu!!!, tutapalinda kwa Kondo wivu mkubwa sana!!
Jebra Kambole tweet media
Filipino
145
594
2K
118.1K
Anko Chifu
Anko Chifu@AnkoChifu·
@earadiofm @GodiFalsafa Yaani mnaongea kama mmekatwa Vichwa... hata makampuni binafsi huwa kuna kujitathmini wenyewe ndani lakini ili kuondoa kujidanganya wenyewe huwa tunaita external consultants ili kuwa more Objective... Mwanadamu anatabia ya kuukimbia ukweli mchungu
Indonesia
0
0
0
9
Anko Chifu
Anko Chifu@AnkoChifu·
@zittokabwe @UhtredBebenberg @DrTaxs Mmeshiriki kuhujumu haki za watanzania kuwa kukubali kutumika kuhalalisha Uchaguzi Haramu. Kwa kushiriki kwenu mmewapa nafasi watawala wakandamizaji kuonekana walifanya uchaguzi wa Kidemokrasia... Hampaswi kuaminika kwa wananchi nyie
Indonesia
0
0
0
55
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe@zittokabwe·
Naungana na Msimamo huu madhubuti. Pamoja na wajumbe wengine wote kutokidhi vigezo vya UCHUNGUZI HURU lakini kuwemo kwa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi @DrTaxs kwenye Tume ilhali JWTZ ni watuhumiwa ni UTANI wa hali ya juu kwa Watanzania waliouwawa, kujeruhiwa na kupoteza mali zao.
ACTWazalendo@ACTwazalendo

TAARIFA KWA UMMA Chama cha @ACTwazalendo kinapinga na kinakataa kabisa Tume iliyotangazwa na Rais @SuluhuSamia kuchunguza matukio ya tarehe 29 Oktoba, 2025 na siku zilizofuata. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote

Indonesia
132
63
374
78.2K
Irene Rwegoshola.
Irene Rwegoshola.@kokugonza98·
@NellyNyamandege Nelly nakujua sana na huwa unajifanya usalama wa taifa ... watu wameua kinyama afu unaongea usenge kaka... hata binti yako tunamjua sanaa umeanza kuwa chawa.. hufananii kuwa rafiki waa Odemba ... kwahiyo kaa kimya usije ukaibua hasira za watu...
Indonesia
2
0
0
128
Nyamandenge Magufuli
Nyamandenge Magufuli@NellyNyamandege·
Hawa ndio mnawaita waandamanaji? CDF alikua sahihi kuwaita vibaka.
Filipino
66
44
104
10.7K