Damas Damian Kawonga

1.3K posts

Damas Damian Kawonga banner
Damas Damian Kawonga

Damas Damian Kawonga

@DAMASDAMIANKAWO

If you don't stand for something, you will fail for anything

Tanzania Katılım Mart 2012
2.1K Takip Edilen762 Takipçiler
Fundi viatu na mabegi
Fundi viatu na mabegi@Mshonaviatu·
Inavoonekana Bongo zozo kwa sasa ardhi hii ataisikia na kuiona kwenye vyombo vya habari ila kuigusa tena itakuwa mtiti sana kwake. Kumbe ukweli ndo kitu hakitakiwi kabisa hapa Gaza.
Indonesia
23
77
808
29.8K
Damas Damian Kawonga
Damas Damian Kawonga@DAMASDAMIANKAWO·
@Narrowbeeflying Aliyemdanganya mtoto wa kike kwamba kuolewa ndio kilele cha mafanikio yake ameleta mateso makubwa sana kwenye jamii.
Indonesia
0
0
0
71
Narrowbeefly
Narrowbeefly@Narrowbeeflying·
...✍️ Kuna mzee mmoja hapa mtaani anawatoto 6 wakike tuu hana wakiume, aliwasomesha tu vizuri na wana kazi zao, wamejenga, ila ndio hivyo hajaolewa hata mmoja ila wana watoto tuu, na mtoto wa mwisho wa huyo mzee ana 34+ shida inaweza ikawa ni nini? 😁
Filipino
25
9
126
9.8K
Eng. Paimen✨️
Eng. Paimen✨️@Captain_Josh47·
Kipindi naishi kwa Wazazi, niliwahi kamatwa bar saa 7 za usiku na Doria. Baba yangu aliwahonga Polisi waniweke lock-up siku 5. Mama alikuja kunitoa siku ya pili😂😖💔😭
Indonesia
76
86
1.3K
43.3K
Damas Damian Kawonga
Damas Damian Kawonga@DAMASDAMIANKAWO·
@___Aiman90 @fredkavishe Kila mtu akiwa busy na majukumu yake suala la safari haiwezi kuwa kitu cha ajabu sana, ila ukiwa na taasisi ambazo watu wengi wamekaa tu hakuna rasilimali fedha za kufanya shughuli zao haya ndio matokeo yake.
Indonesia
1
0
0
53
Fred Kavishe
Fred Kavishe@fredkavishe·
Ma ofisini unafiki mwingi sana watu wanaweza logana kisa safari na per diem
Indonesia
39
65
545
28.1K
Damas Damian Kawonga
Damas Damian Kawonga@DAMASDAMIANKAWO·
@Adv_innocent Umeshawahi kuona Miradi ya Tohara mkoa wa Tanga? Haya mambo ya Nyanda za Juu Kusini, Lushoto tohara mtu anafanyiwa akiwa mdogo.
Indonesia
0
0
0
289
Adv.Innocent⚖️
Adv.Innocent⚖️@Adv_innocent·
Lushoto kijana wa miaka 23 bado hajapata tohara asee💔🚮
Filipino
30
40
206
11.5K
Damas Damian Kawonga
Damas Damian Kawonga@DAMASDAMIANKAWO·
@kishoka_ Kuna muda nasema Mungu ana kusudi lake ila mitihani kwa first born kwenye familia duni ni mingi sana. Kuna muda unaona hakuna mtu yeyote anayehangaika kuvunja minyororo ya umasikini bali wanashindana kukunyonya tu kama vile wanapeana zamu.
Indonesia
1
0
2
148
METRO🎭
METRO🎭@kishoka_·
Ukiwa first born familia masikini sahau kutajirika, Pesa yote unayotafuta inaishia kwenye majukumu ya wazazi, Unalipia ada wadogo zako, umeme, kodi ya nyumba, nk Mzazi anakufanya kama msaidizi wake. inafika mahali mzazi anasahau kama yeye ndo mzazi wako, anakugeuza we mzazi wake.
Indonesia
27
52
194
4.5K
Anthony Charles
Anthony Charles@AnthonChaz·
Mteja: Nahitaji official emails za kampuni yangu inaitwa XXX kuna tender NeST nataka nianze kuomba. Mimi: Sawa, package yetu ya mwanzo inakupa uwezo wa kutengeneza emails hadi 10, package zingine emails ni unlimited. Unataka ipi? 👇
Indonesia
3
3
55
12.2K
Black Dady
Black Dady@BlacDaady·
Kuna Dada 1 jana tulipanda nae bajaji maeneo ya Goba, akaleta story za kuwa mume wake hamuhudumii kwa lolote lile zaidi ya kumlisha tu na kumpa malazi. Kuhusu kuvaa na huduma zingine alazimika yeye ku-fight ili ajihudumie. Aloo yule Dada akipata mtu wa kumpa hela ndo bye bye iyo.
Filipino
17
13
174
10.1K
Damas Damian Kawonga
Damas Damian Kawonga@DAMASDAMIANKAWO·
@TweveDevota @MsomiKhan18 Ni njia ya kumsaidia candidate kwa kuepuka baadhi ya statutory deductions kwenye mshahara, ila nakubaliana na wewe kwamba hii sio ajira ni kibarua.
Indonesia
0
0
0
21
Msomi Khan
Msomi Khan@MsomiKhan18·
Chuo Kikuu cha Dodoma kimetoa AJIRA Watu wenye Degree ya Education wote mnatakiwa kuripoti Fountain Gate Schools. Sifa ni moja tu "Degree from UDOM" Malipo ni Posho, Chakula na Usafiri Hii iwe Fundisho kwa Vyuo vyote Tanzania.
Indonesia
14
15
304
19.1K
Damas Damian Kawonga
Damas Damian Kawonga@DAMASDAMIANKAWO·
@well12man Ni mbinu gani unatumia kukabiliana na unyonyaji wa madalali walioko kwenye masoko?
Filipino
0
0
0
6
YOUR_ENEMY™
YOUR_ENEMY™@well12man·
kila gunia la kiazi dsm sasa iv ni 90k mpaka 100k sasa piga hesabu mwenyewe uone faiida kiasi gani unapata, don't get to exited kila shilingi hua ina pande mbili.
Indonesia
1
0
4
728
YOUR_ENEMY™
YOUR_ENEMY™@well12man·
moja kati ya biashara bora sana ukiwa timamu lakini, kwa mtaji wa million 6.5 unaweza kufikisha hivi viazi dsm kwa mchanganuo ufuatao. 1. viazi gunia kwa sasa mbeya ni 45K ambapo hela ya kuwalipa wachimbaji na kununua mifuko pia utatoa wewe, wachimbaji 3k kwa kila gunia
YOUR_ENEMY™ tweet media
Indonesia
5
6
27
5.6K
Tujifunze silaha za kivita.
Tujifunze silaha za kivita.@SeekNaturalLife·
Pesa kwangu zimekuwa kama njia, unapata 50K inakuja shida ya 70K na deni juu, Tatizo inaweza kuwa Nini wakuu? Have you ever experienced this situation?😑😑😑
Indonesia
15
8
62
3K
Damas Damian Kawonga
Damas Damian Kawonga@DAMASDAMIANKAWO·
@ItsKamala Na hii mikopo kama tunataka kuona impact, sio lazima kila mtu apate. Tukopeshe vikundi vinavyoeleweka wengine watakapo baadae au wataajiriwa na vijana wengine.
Indonesia
0
0
1
68
Kamala Dickson
Kamala Dickson@ItsKamala·
Project ambazo zingeweza kutatua changamoto za Vijana ni uvuvi,ufugaji na Kilimo.Tatizo tunatoa mikopo ya M2 kwa kikundi cha watu 5 wakafuge? Tuapaswa kuwa na center tuweke hela zaidi ya 150M Vijana waingie kama wazalishaji, Hivi vikundi vidog vidogo na mtaji kidogo SAHAU Matokeo
Filipino
7
12
81
2.8K
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Habari Boss @ahmedsalimasas Mkoa wa Katavi una kiu kubwa na bidhaa za ASAS lakini huduma hazijafika bado. Kama mhitimu wa Shahada na mjasiriamali mkazi wa hapa, niko tayari kusimamia mnyororo wa usambazaji (Distribution) hapa Katavi, Kigoma, na Tabora. Tunapataje huduma hii huku na je, ofisi yenu inampango na maeneo haya yaliyopo pembeni kidogo na makao makuu?
Indonesia
29
50
544
37.9K
I ❤️ Dar Es Salaam
I ❤️ Dar Es Salaam@FaradayMtz01·
Kijana unayejitafuta kimaisha usiende Dar Es Salaam, Dar ni Crowded na competitive kwa sasa. Badala yake Tafuta mtaji usiopungua 500k kisha nenda Mbeya. Ukifika huko, komaa na kilimo, Ufugaji wa kisasa, migodini, fish farming, Biashara za mazao, import & export, Brokerage Service
Indonesia
40
31
439
15.8K
Damas Damian Kawonga
Damas Damian Kawonga@DAMASDAMIANKAWO·
@abelsima45 Its either Nyumbani urudi na chochote kitu baada ya kumaliza chuo, au urudi kwenye jeneza. Wakati mwingine ukirudi huna kitu nyumbani unaongeza simanzi kwa wazazi hasa kwa wanaotokea kwenye familia za hali duni.
Indonesia
1
1
2
465
SIMA
SIMA@abelsima45·
Ushauri wenu please. Hivi baada ya kumaliza chuo wapi ni sahihi kuanzia. Kurudi nyumbani ukajipange upya au kukaza huko huko ulipo?
Filipino
33
23
141
10.6K
Damas Damian Kawonga
Damas Damian Kawonga@DAMASDAMIANKAWO·
@kikotiofficial Madaktari wasingempa majibu kama ni tofauti na matarajio yake, ukiona wamesema hivyo ujue ni kweli iko hivyo.
Indonesia
0
0
1
835
KITASA🔑🧥
KITASA🔑🧥@kikotiofficial·
Jamaa kaenda na mkewe mjamzito hospitali, Nilijua mkewe alikuwa anaumwa kumbe jamaa ameenda kujua jinsia ya mtoto, Wamefika huko wamemuuliza ana watoto wangapi kajibu watatu wote wa kiume, Karudi hapa na furaha ameambiwa mtoto aliye tumboni ni wa kike, Najiuliza hivi huyu mwamba anawachukuliaje madaktari yani? Kubaafu huyu😂🤣🙌🏾
Indonesia
6
0
69
10.6K