c♄ꞄÍşߙ⚉𝖕♄eꞄ 🎃⛓️🕯️

1.9K posts

c♄ꞄÍşߙ⚉𝖕♄eꞄ 🎃⛓️🕯️ banner
c♄ꞄÍşߙ⚉𝖕♄eꞄ 🎃⛓️🕯️

c♄ꞄÍşߙ⚉𝖕♄eꞄ 🎃⛓️🕯️

@DeDaniel13

Dev

Mwanza, Tanzania Katılım Ağustos 2018
281 Takip Edilen121 Takipçiler
HabariTech
HabariTech@HabariTech·
Nimekuwa busy kutengeneza App ya AkibaPlus mpaka nimesahau kuna HabariDuka na X 😁 App iko tayari na APK inapatika hapa akibaplus.habaritechnology.com Sasa nipitie timeline kuona yaliyojiri. Hizi ni baadhi ya screenshot za ndani ya app.
HabariTech tweet mediaHabariTech tweet mediaHabariTech tweet mediaHabariTech tweet media
Indonesia
3
7
20
1.1K
Broke & Zero Aura (BZA)🍁
Broke & Zero Aura (BZA)🍁@Kariakoo_·
Ujinga mwengine nikuamini ukiandika neno “mungu” kwa herufi ndogo unamkosea mungu na nilazima millenials walileta haya mambo😂💔
Indonesia
64
54
429
23.3K
c♄ꞄÍşߙ⚉𝖕♄eꞄ 🎃⛓️🕯️ retweetledi
AMRISALY
AMRISALY@amrisaly·
Kuanzia kumiliki pesa nyingi, magari ya kifahari, nyumba ufukweni, biashara, safari za nje ya nchi, freedom na mengine mengi, Miaka 10 iliyopita aliweza kuzungumza vitu vyote atakavyovifanya kwenye maisha yake live pale youtube, Then akaweza kuvifanikisha, Kumekuwa na maswali mengi sana juu ya mambo anayoyafanya, footprint na ukweli wa mafanikio yake, Ukweli ambao watu wengi wamekuwa wakiogopa kuuliza hata wanapofanya nae podcast/interview, Lakini kwa faida ya wengi tumeuliza maswali hayo yote from A - Z na kumfanya afunguke vitu ambavyo hajawahi kusema popote pale, Zaidi ya hapo ameelezea kiundani experience yake ya maisha yote aliyopitia, highs, lows, lessons, namna anavyo-handle pesa, investments, pressure, anavyoweza ku-maintain, kupanga mipango ya muda mrefu na kuitimiza na mengine mengi, Kitu ambacho kinafanya episode hii kuwa very EXCEPTIONAL na yamoto kuliko mtu yoyote anavyoweza ku-imagine, Na kufanya tuipe hadhi ya kuiita full MASTERCLASS, Masterclass ambayo kukupa nafasi ya kuiona for free ni upendeleo mkubwa sana, Na impact ya masterclass hii itaacha, value, information na alama kubwa sana kwenye maisha yako, Kutazama full episode click link kwenye bio au search Let’s Impact Millions pale YouTube, subscribe na turn on notifications, 👇👇👇 youtu.be/LBTv0eB0m5c?si… Tukifika subscribers 15,000 (Only 700 to go) tu tuna-release official episode, OUR MISSION IS TO IMPACT MILLIONS.
YouTube video
YouTube
Indonesia
9
31
219
13.1K
Maluu_26
Maluu_26@maluu_captain·
Millenial sio solutepu ni seal tape..!😂
Maluu_26 tweet media
Español
52
58
658
20.5K
Dr. Ranya
Dr. Ranya@MayengoDr·
Mwaka 2022 niliandika “standing instruction” kuielekeza ⁦@NMBTanzania⁩ kukata kiasi cha pesa kila mwezi kwenye account yangu na kumuwekea mama yangu kama “parents allowance”. Leo ni mwaka wa nne, bado naamini ni mojawapo ya maamuzi sahihi niliyofanya!
Dr. Ranya tweet media
Filipino
67
47
441
51.6K
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Niliwasimulia kuhusu huyu mwanangu aliekuta mkewake ni ameathirika wakati yeye hana then akaendelea kuishi nae. Mnakumbuka? Mwamba hii kitu imemtokea sijajua kama kaukwaa tayari au niaje. Alikaa kitandani siku tatu bila kuinuka. Anachoma sindano yanakauka kauka.
ProsperNow. tweet media
ProsperNow.@prossoff

Naanza kuamini kwamba kuna wanawake wanadawa za kuwashika wanaume wao. Kuna mwanangu mmoja amepambana na mkewake katika kuugua. Mwanamke anaumwa mara kwa mara, baada ya muda akapima HIV akakuta positive. Msela akamuachia geto na watoto, ila now wanakaa pamoja tena. MADAWA.

Indonesia
58
15
165
66.4K
MANG'OMBE 🚀
MANG'OMBE 🚀@mangombe_·
Naangalia interview moja ya MO hapa anasema mu Afrika yoyote akiwa na hela mfukoni kwanza atawaza kula , then mavazi , then ndo awaze vitu vya maendeleo like kujenga
Indonesia
1
0
2
88
___Aiman
___Aiman@___Aiman90·
@juliejuleth Mtu anawezaje kusema ajira ngumu km hajafanya applications kila post za kazi na bado hapati?
Indonesia
1
0
4
679
faith 🙏🛐✞︎
faith 🙏🛐✞︎@juliejuleth·
Ajira kwa sasa zimekuwa ngumu sana kupatikana Ila umejaribu kufanya application labda ?? Kwasababu Kuna graduate wanae zaidi ya 3 years hata certificate hawajachukua ila ndio wakwanza kulalamika hakuna Ajira
Indonesia
18
27
269
13.6K
Patrick Paul
Patrick Paul@patrick_forreal·
Kaka @YesayaSoftware, kusema kwamba "with AI unaweza kuwa chochote unachotaka" ni bold statement sana. Lakini ukweli ni kwamba THIS IS NOT TRUE. I will tell you why... Naelewa uko kwenye tech business, so I will be technical kidogo meanwhile nikijitahidi kuwa rahisi kwa kila mtu kuelewa. Tuanze na swali rahisi: Unajuaje mtu anapokudanganya? Seriously how? Ni kwa sababu una "version ya ukweli" kichwani mwako. Unapo-compare unachoambiwa na unachojua, unaona utofauti. Hivyo ndivyo unavyojua huu ni uongo. Kama huna "Internal Truth" huna uwezo wa kutofautisha ukweli na uongo. Unakuwa mateka wa kile unachoambiwa. ​ Hapa ndipo kauli yako inapofeli: AI (LLMs) they are not intelligent; not for a single bit. Ni machines ambazo zipo vizuri sana kwenye kutabiri neno linalofuata (Probability). Kuiambia AI ifanye kitu na ikakifanya, haimaanishi imekifanya kwa usahihi. Kama huna ujuzi kichwani (knowledge AKA "internal truth"), huwezi kujua kama AI inakupa suluhisho "sahihi" au inakupa "code slop" that kind of looks good. Kwa @Master_pizo: Hongera kwa kutoa app ya Flutter bila kujua code. Ila kutoa app bila kujua code haikufanyi kuwa "Developer." Kwa nini? Kwa sababu huna uwezo wa ku-verify kama hiyo app ilitengenezwa kwa usahihi. I will give you an example... Unajuaje kama hiyo app iko secure? What if the AI made a mistake and left a vulnerable section on the app? Kama kesho ikipata watumiaji laki moja, itastahimili ku-scale? Syntax ya code ni mechanical part na ni rahisi. Engineering ni kuhusu modeling problems, defining boundaries, na ku-anticipate failure modes. "Kuwa" kitu fulani (Identity) kunahitaji Authority. Bila maarifa, huna authority juu ya unachozalisha; wewe ni project manager tu, siyo engineer. ​ Kuna kitu kinaitwa Jevons Paradox: Kitu kikiwa rahisi kuzalisha, matumizi yake yanazidi na complexity inaongezeka. Hii ni kwasababu instead of doing less as we thought we would, now we do even more. AI inapunguza "effort", lakini inaondoa "mental simulation", ile misuli ya ubongo inayokusaidia kuelewa kwanini mfumo unafanya unachofanya. Bila hii, huwezi "kuwa" mtaalamu kwa sababu huwezi ku-reason kuhusu matatizo magumu juu ya hicho unacho tengeneza. ​ In a nutshell: AI ni nzuri kwa prototyping na building a quick MVP, lakini huwezi kuwa chochote unachotaka kwa sababu tu una AI, atleast not yet. AI ni "multiplier of ambition" lakini siyo mbadala wa utaalamu. Ukweli ni kwamba AI inahitaji binadamu mwenye "ukweli" wake kichwani ili iwe na tija. Bila ujuzi, AI haikufanyi kuwa mtaalamu, inakufanya tu uwe muumini wa mashine unayoiamini kwa upofu. Coding isn't solved; it just got noisier.
Yesaya Software 🇹🇿@YesayaSoftware

@patrick_forreal Leta ukweli wako tujenge hoja. Au chochote umechukuliaje? Nilimaanisha unaweza itumia kwa kila sekta na kurahisisha na kuboresha majukumu yako. Ninaweza nisiwe na ujuzi fulani kupitia AI ikaniwezesha kufanya mambo kadhaa na yenye tija. Haya karibu tupe ukweli wako.

Filipino
14
5
28
2K
Amani_Ndunguru
Amani_Ndunguru@Prioh_360·
It's funny vile traders wa bongo wanavyojifanya wanajua sana mambo ya vita za iran na marekan Utaskia nimebuy because of geopolitical😂😂😂😂 Nachoka mimi
Indonesia
9
1
35
1.5K
XNIPER | Trader📈
XNIPER | Trader📈@cr_xniper·
Mshkaji “Rashidi” kapata mwanamke mkristo, mdada kamjuza Rashidi mapema Hunioi ukiwa muislamu hvyo Rashidi kafikiria akasema we usitanie mi nishapenda Chidi chap akabadili dini from Muislam → Mkristo akaitwa Kelvin. Ndoa ikafanikiwa✅ Maisha ya mume na mke yakaanza baada ya mwaka na miezi kadhaa Kevi kaachwa na mkewe, kabaki alone Kevi baada ya kaachwa kang’ang’ania kurudi tena uislamuni, ana maskhara na dini huyu kijana.. Sahz kasharud kwny uislam tena na jina lake ni Chidi lile lile. Chidi anaonekana hana msimamo kabsa huyu anaonekana hata kwny FX trading hawez shikiria emotions zake kabsa atakuwa anaingia kwa matamanio tu na sio nn soko linamtaka afanye au mnasemaje wazee wa charts🙂 Mwamba Chidi alihama dini kisa mwanamke, aliamua bila kufikir akaingia kichwa kchwa yaliyomkuta ni kuachwa. Mapenzi💔
Indonesia
4
0
34
3.3K
Yesaya Software 🇹🇿
Yesaya Software 🇹🇿@YesayaSoftware·
Mimi nakula zangu chakula na kuangalia tutorials nyingine hapa Claude inaendelea kupiga code na nimeweka auto-edits nitaangalia baadae ikimaliza.
Yesaya Software 🇹🇿 tweet media
Filipino
8
9
68
3.4K
HabariTech
HabariTech@HabariTech·
ChatGPT bado inakuwa kinara sababu tu walikuwa wa kwanza sokoni na waka set Industry Standard. Ila mpaka sasa AI tools zimekuwa nyingi na ubora wa hali ya juu.
Filipino
12
6
80
3.1K
c♄ꞄÍşߙ⚉𝖕♄eꞄ 🎃⛓️🕯️
@richardmaphie @Bigsyke20 Jambo Moja la kijinga ni kukwepa kujadili Mambo , sababu kubwa ni ipi ? Na wakati huko ndio mtu ANAWEZA kujifunza kitu kwa undani (kwa kuuliza maswali yanayomtatiza) Sasa bila hivyo unaweza kukaa na kumelekeza mtu kweli akikuuliza swali utamjibu , mna mentality gani nyie watu? 🤔
Indonesia
1
0
1
13
Kenny
Kenny@richardmaphie·
@Bigsyke20 yapo mamb Mengi ya kujadili na kukosoa ila Si maandiko kitawalamba
Indonesia
1
0
0
191
Big Psycho
Big Psycho@Bigsyke20·
Kama huyo mtu mzima anaamini kwamba watu zaidi ya 5000 walikula samaki 5 na vipande viwili vya mkate na wakasaza, mtu anaamini Yona alikaa kwenye tumbo la samaki kwa siku tatu na akatoka mzima? Je, unaona huyu mtu ana akili sawasawa? Siwezi mshangaa mpumbavu akifanya mambo ya kipumbavu kama kuungama.
Indonesia
20
4
54
10K
Saumu Yanga
Saumu Yanga@SaumuYanga·
@DeDaniel13 @francismtey Sasa ulitaka nitengenezo wazo kupitia matako au? Hio kichwa yenye akili ulipewa ya kazi gani if hauwezi kuchanganua
Indonesia
1
0
0
7