Mkoloni Mweusi (DOUBLE M)

59.1K posts

Mkoloni Mweusi (DOUBLE M) banner
Mkoloni Mweusi (DOUBLE M)

Mkoloni Mweusi (DOUBLE M)

@Mcraymunnah

TAJIRI MWENYE NJAA ZAKE|| MASKINI KATIKA NCHI TAJIRI || CERTIFIED COPYWRITTER || SALES CONNOISSEUR

6°51'25' S 39°13'48" E Katılım Şubat 2014
2.2K Takip Edilen32.5K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Mkoloni Mweusi (DOUBLE M)
Mkoloni Mweusi (DOUBLE M)@Mcraymunnah·
Ni Ngumu Kuamini Ila Sina Jinsi Kazi Yake Mola. Pumzika Kwa Amani BABA. Nitakukumbuka Daima, Daima Moyoni Mwangu. Bwana Ametoa Na Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe. 🕊🕊💔
Filipino
72
35
499
0
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
Kwa Mara ya pili yanga nafurahia kupata sare dhidi ya Simba Sc, siyo ishara nzuri kwao wanaenda kupotea pakubwa sana yanga. Simba anaenda kutawala soka la Tanzania na huaga ni hatari sana anapochukua ufalme wake mnyama ndani ya nchi hii. Ogopa sana kukutana na Simba ya Msimu ujao🔥🔥🫵
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Filipino
20
0
30
1.7K
Masterplan🇹🇿
Masterplan🇹🇿@Mwangosijnr·
Leo Nimetapeliwa Kijinga sana Kuna Dada Tulikubaliana Nimpeleke Makete Atanipa 30k Nimemfikisha Namwambia Nipe Hela Anasema Sina Kama Vipi Twende Tukamalizane Imebidi niwashe boda kwa Hasira nisepe.🤔
Masterplan🇹🇿 tweet media
Filipino
69
37
302
16K
Mkoloni Mweusi (DOUBLE M) retweetledi
JohnDoe
JohnDoe@mad_genius6·
"NO REFORM, NO ELECTION” ilikuwa ni standard ya juu sana kuwahi kutokea nchini.
Filipino
49
222
1.3K
17.8K
Gery
Gery@Gery_Gerrald·
Ile podcast mmelipwa ku promote?
Polski
18
6
169
15.6K
Mkoloni Mweusi (DOUBLE M)
Mkoloni Mweusi (DOUBLE M)@Mcraymunnah·
@Pyroxenite81 @meamswahili Hoja Hujibiwa Kwa Hoja Mkubwa Kuboja! Jibu Hoja Ya Ukubwa Wa Mechi Na Capacity Ya Uwanja. Ukimaliza Linganisha Na Uwanja Yanga Walioeleka Mechi. Niko Tayari Kusahihishwa.
हिन्दी
4
0
1
460
Kuboja
Kuboja@Pyroxenite81·
@meamswahili Mbona Yanga walipeleka Derby nchi nyingine hakulalamika?
Indonesia
2
0
15
3.3K
MeaMswahili
MeaMswahili@meamswahili·
🚨𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄 Aliyekuwa mwanasheria msomi wa Yanga SC SIMON PATRICK ameandika Haya kupitia mitandao yake ya Kijamii. “Maamuzi ya kupeleka Derby uwanja wa Mej. Jenerali Isamuhyo - Mbweni ni ushindi wa Yanga na Simba kufanikiwa kuwa juu ya vyombo vya mpira wa Tanzania na kielelezo cha UDHAIFU wa viongozi wa soka nchini jambo lililolelewa kwa muda mrefu.” “Derby hii ni urithi wa taifa la taifa letu, kitendo cha kuruhusu mchezo huu kuupelekwa Mbweni ni kuwakosea heshima mashabiki wa mpira, kwani uwanja huo ni mdogo sana kwa derby ya kariakoo.” “Kwa trend hii, sitashangaa derby ijayo tukiambiwa inapigwa Avic Town na inayofata tukaambiwa inapigwa Bunju.” Mungi ibariki Tanzania🇹🇿.” NB: Tulilinde taifa letu, sis sote ni ndugu🙏🏿" #MeaMswahiliUPDATES
MeaMswahili tweet media
Indonesia
68
10
458
43.6K
Gerson Msigwa
Gerson Msigwa@MsigwaGerson·
Kuna nguchiro wamechapisha namba yangu binafsi ya simu mitandaoni na kuanza kuhamasisha watu wanishambulie. Nataka kuwaambia huo ni upuuzi na ni uvunjaji wa Sheria. Ukiondoa watu wachache sana wanatuma meseji za hovyo, asilimia 99 wananitumia meseji za kunitia moyo na kueleza utayari wao wa kuilinda nchi yao dhidi wenye nia ovu. Wale wanaoeleza changamoto za ajira na mitaji ninawapa majibu na nafikisha kwa wahusika zifanyiwe kazi. Nguchiro na chawa wa nguchiro acheni kupoteza muda na rasilimali mkiporomosha matusi, tulieni na tuungane kujenga na kulinda nchi yetu.
Indonesia
777
53
466
165K
Tagato James 
Tagato James @tagatojtagato·
🤦🏽‍♂️TUNAISHUSHA HADHI YA KKOO DERBY? Simba SC wamethibitisha kuwa uwanja wa Mej General Isamuhyo, utatumika kwaajili ya mchezo wao wa ligi kuu dhidi ya Yanga Kimsingi huu ni mchezo unaoitambulisha Tanzania kwenye ramani ya mpira, VENUE inapaswa kuwa ya hadhi ya kimataifa na zipo!
Tagato James  tweet mediaTagato James  tweet media
Indonesia
75
7
260
22K
Bony 📚
Bony 📚@bonifacejoseph_·
Joji kamzawadia mkewe Zawadi ya Harrier Anaconda, alafu Kuna sisi tukionbwa hela tunapotea. One day Yes 😃
Indonesia
34
44
602
21.3K
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Mitano yake lazima amalize na hamna kitu tutafanya.
Indonesia
76
39
751
28.7K
Mkoloni Mweusi (DOUBLE M)
Mkoloni Mweusi (DOUBLE M)@Mcraymunnah·
@abefesto @tagatojtagato Ile Inakuwa Imepangwa Uwanja Ila Timu Zitakazocheza Hazijapangwa, Yeyote Atakayefika Fainali Inachezwa Huko...Angeenda Yanga Na Namungo Bado Ingepigwa Kgm. FA Haifanani Na Ligi Kuu.
Filipino
1
0
2
202
abefesto
abefesto@abefesto·
@tagatojtagato Yaelekea ww ni mgeni...kombe la FA...huwa inapigwa viwanja vya mikoani...mfano derby ya simba na yanga FA 2021 ilipigwa lake tanganyika kigoma.....ww utakuwa ni mgeni labda....
Filipino
3
0
22
1.8K
MeaMswahili
MeaMswahili@meamswahili·
🚨𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄 Kitaa kwenye vijiwe vya kahawa wadau wanahoji, ni lini wananchi wataanza kuchanga kiasi cha shilingi milioni moja [1,000,000] ambacho Bodi ya Ligi Kuu imemtoza kiungo fundi Mudathir Yahya kwa kosa la kumpiga kiwiko mchezaji wa Pamba Jiji FC wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Hivi karibuni wananchi walimchangia golikipa Djigui Diarra kiasi cha shilingi milioni nne [4,000,000] ikiw ni faini ambayo alitozwa golikipa huyo kwa kitendo ambacho kilitafsiriwa si cha kiungwana michezoni. Wadau wa vijiwe vya kahawa wana hoja ….!! Cc. @shaffihdauda1 👊 #MeaMswahiliUPDATES
MeaMswahili tweet media
Indonesia
2
4
62
4.2K
Mkoloni Mweusi (DOUBLE M)
Mkoloni Mweusi (DOUBLE M)@Mcraymunnah·
@____the_truth @MacAlpho @Adventure_36 Ila Hii Nchi Ngumu Sana, Akina Oruma Na Jemedari Wako Wengi Sana. Sasa Mtu Hajui Ata Maana Ya Thamani Ila Anataka Mradi Wa Taasisi. Mradi Wa Yanga Na Simba Ni Fan Base, Possesions Ya Assets Nk. Mf Mdogo, Kwanini Kanjibahi Aliweka 20B Kwa Simba?😅
Filipino
2
0
0
40
The.Citizen🦅
The.Citizen🦅@____the_truth·
@MacAlpho @Mcraymunnah @Adventure_36 Unajua maana ya thamani? hivi aliyewaprogram makolo ni nani kiasi kwamba mmekua mpaka wavivu wa kutumia common sense kwenye vitu vidogo, au unadhani ile ni timu ya familia ya GSM? Let me tell you thamani ya club ndo imefanya GSM na wazamini wengine wako pale, jifunze kuelewa📌
Indonesia
2
0
1
14
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Yanga wameomba Fidia ya Bilion 10 kwa Wilson Uruma endapo akishindwa kuthibitisha maneno yake. Watu wako serious sana
Adventure-360 tweet mediaAdventure-360 tweet mediaAdventure-360 tweet mediaAdventure-360 tweet media
Indonesia
49
36
389
55.8K
OSAMA BIN LADEN
OSAMA BIN LADEN@AllyAssed13070·
Unamwambia nini Jaji Chande kabla hajalala?
हिन्दी
22
13
88
3K
Madenge
Madenge@rollymsouth·
Nimepitia maudhui ya documentary yao,nakubaliana nao kweli ICC inakandamiza nchi za Africa but iyo taasisi ya Africa wanayoitaka inawezekana? Kwa tabia za viongozi wetu wataweza kujiwajibisha?yani M7 amuwajibishe sa100? Najiuliza tu
iHumphreys@iHumphreyz

Mona Mwakalinga, Dean of Faculty UDSJ pia Mwenyekiti wa Bodi ya Filamu nchini Tanzania (akirejea maudhui ya filamu iliyozinduliwa na waKameruni hivi karibuni)anasema; "Waafrika lazma tuungane tuyatambue matatizo yetu na tuweze kuyatatua sisi wenyewe... youtu.be/GS5lb-NbIng?si…

Indonesia
30
8
121
22.8K
Gerson Msigwa
Gerson Msigwa@MsigwaGerson·
YALIPANGWA YALIRATIBIWA YALIFADHILIWA na YALITEKELEZWA. Eee Mwenyezi Mungu tusadie, tufumbue macho na tuongoze kutambua na kuwakataa wenye nia ovu dhidi ya Tanzania. #NeverAgain
Indonesia
899
46
270
117K
Mkoloni Mweusi (DOUBLE M)
Mkoloni Mweusi (DOUBLE M)@Mcraymunnah·
@okinawari @Cowwbama @mkuuJr5 Thamani Is Not Liquid Money!!! Sportpesa Wameidhamini Yanga B Ngapi? NIC? Haier? Azam Tv? Etc, Hawa Wakijitoa Kwasababu Reputation Ya Yanga Imechafuka Unaweza Walipa? Shame On You.! Unapoongelea Timu Au Taasisi Au Brand Yoyote Thamani Ndio Wawekezaji Wanaifuata Sio Kingine.
Indonesia
1
0
0
51
Kinawari,Esquire
Kinawari,Esquire@okinawari·
@Cowwbama @mkuuJr5 Nimepima kupitia Barua ( demand) ni wapi wesema wamepoteza mdhamini Huyu na huyu kutokana na kauli hiyo..?
Indonesia
3
0
0
69