Mkoloni Mweusi (DOUBLE M)
59.1K posts

Mkoloni Mweusi (DOUBLE M)
@Mcraymunnah
TAJIRI MWENYE NJAA ZAKE|| MASKINI KATIKA NCHI TAJIRI || CERTIFIED COPYWRITTER || SALES CONNOISSEUR

















@EsirEid ok..ila siwezi kuwa hizi nikawa nawasema watu vibaya mitandaoni





Mona Mwakalinga, Dean of Faculty UDSJ pia Mwenyekiti wa Bodi ya Filamu nchini Tanzania (akirejea maudhui ya filamu iliyozinduliwa na waKameruni hivi karibuni)anasema; "Waafrika lazma tuungane tuyatambue matatizo yetu na tuweze kuyatatua sisi wenyewe... youtu.be/GS5lb-NbIng?si…


“(Hussein) Massanza ni mtu mdogo sana kwenye huu mpira. Tulianza hii kazi ya uchambuzi wakati hakuna mtu anamjua, na mimi kazi ninayofanya haiwezi kuwa validated’ na ‘a very tiny person’. Namuheshimu kama binadamu na historia yake ndogo kwenye mpira,” Mchambuzi-Geof Leah🗣️




Yanga wameomba Fidia ya Bilion 10 kwa Wilson Uruma endapo akishindwa kuthibitisha maneno yake. Watu wako serious sana






















