Paps
378 posts


@rovicofficial__ Huu ni ubinafsi, Labda angekuwa anakunyima uhuru au anazingua kweli bajeti ya mtu mmoja huwa hata haiongezeki inakatwa kwenye Ile ile ya waliopo
Huyu ni Mama mkwe , Je watu baki utaweza kuwapa kitu ?
Tena chakula 🌚🤔
Indonesia

@LukonaJNR Wapo wengi wanafanya streaming na wanapata hela na hawatumii nguvu sana.
Na wanafanya kitu wanapenda
Ila kusema wanapoteza muda unazingua big time
Hujui wao wanataka kuarchieve nini
So if you are not entertained fuck it up
You were not the target audience or the objective
Filipino

@ZalkhaC_ @atalikwach @kamchetki @emabilly2001 @SharonMontana20 Hapana sio kweli mwisho ni 50M , Labda kama ni Merchant wallet ndo haina kikomo
Ila line ya kawaida kwa tier 3 ya mwisho ni 50M
Filipino

@atalikwach @kamchetki @emabilly2001 @SharonMontana20 nami nashangaa, nishawahi ona mln 240 Tsh jamaa wangu wa karibu ila miaka kama mitatu sijaonana nae
Eesti

@officialDrHerry Second employer lazima ajue ili aweze kuweka right tax bracket. Asipojua atashindwa kulipa kodi sahihi ( PAYE ni Kodi ya Zuio ) mwajiri anailipa kwa niaba yako
Primary Employer Wala hajui
Filipino

@Meechbito Sasa kila mtu ajue kua unafanya kazi kuwilii wao si wakate tu…
Indonesia


@FikiriMabanda @swahilitimes Labda ndoto yake ni kuwa Waziri na amekuwa
So hatumikii ndoto ya mtu bali ndoto yake
Filipino

@swahilitimes System ya dunia imewekwa kutumika, hata yeye anatumika apo,
Filipino

@mkainerugaba Otafiire needs to shut up his mouth. Sir your a good man and we see future in you
English

Kufanya kazi na Halmashauri ni kipengele sana, sijui wakandarasi/wazabuni wanawezaje
Mwananchi Newspapers@MwananchiNews
Asota miaka minane akiidai Halmashauri ya Ubungo Sh50 milioni mwananchi.co.tz/mw/habari/kita…
Indonesia

@BarakaMaviatu Ila hii hata wanaotaka kuwekeza hawapati ile support
Like serikali ndo inaona sehemu ya kupata pesa like kodi kubwa kwa tech companies /MNOs Mara tozo
Ila ilibidi iwe kwenye mfumo wa PPP like wanatoa huduma as serikali inafaidika zaidi kwenye cashless zaidi kuliko cash
Indonesia

@wideawake_media Why does someone have to choose Gender ?
Please make it make sense
Like ain’t you born either a male or female?
English





















