Scoty Rymse

113 posts

Scoty Rymse

Scoty Rymse

@SRymse42011

Katılım Kasım 2025
4 Takip Edilen2 Takipçiler
Tanzania Abroad TV
Tanzania Abroad TV@AbroadTanzania·
Israel: tunawahasa Wananchi Wa Iran wale wema na wale magaidi kukaa mbali na miundombinu ya reli, viwanda na sehemu z nishati Kwakuwa usiku tuna kazi nazo kuirejesha Iran zama za mawe
Tanzania Abroad TV tweet media
Indonesia
19
18
351
13K
Scoty Rymse
Scoty Rymse@SRymse42011·
@Baharyy25 @millardayo bro kuna afcon inakuja kwaiyo ivo vitu vinabdi viwe vya kisasa kama unakumbuka kimara nymba zilvyo bomolewa watu walilalamika lakini saivi kila mtu ana furahi acha tuoeni mipango yao inaweza kua na faida kubwa kuliko saivi
Indonesia
0
0
1
6
millardayo
millardayo@millardayo·
Wafanyabiashara zaidi ya 300 wa mihogo katika eneo la Coco beach Dar es salaam wamepewa siku 30 za kuondoka kwenye eneo hilo ili kupisha Mwekezaji ambaye amepewa eneo hilo na Serikali ili kupatengeneza kisasa. Baadhi ya Wafanyabiashara hao wameeleza kushtushwa na uamuzi huo na kusema waliitwa kwenye kikao na Afisa Masoko wa Manispaa ya Kinondoni na baadaye kuitwa na Meya wa Manispaa hiyo na kuambiwa kuwa wana siku 30 za kuondoka ndani ya eneo hilo na kwamba kila mmoja atapewa shilingi milioni 1.5 Kwa upande wa Serikali kupitia Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Saad Mtambule, imesema lengo la kuwaondoa Wafanyabiashara hao ni maboresho kuelekea maandalizi ya michuano ya AFCON. #MillardAyoUPDATES
Indonesia
91
40
403
69K
Scoty Rymse
Scoty Rymse@SRymse42011·
@Sulphuric_aci17 @KarigoalexTz @AbroadTanzania M 18 kwa mwezi mshahara ndani miaka 30 bado posho na wale wenzetu kila kitu wanalipiwa na selikali sio ada za watt sio afya sio pesa ya kula sio maji wala umeme usafili bure ata kama ni wewe kaka utashidwa kua na vitu kama ivo tena inawezakana ungkua wewe inawezwlana ukawa na vgi
Indonesia
0
0
1
32
Conc.H2SO4
Conc.H2SO4@Sulphuric_aci17·
@SRymse42011 @KarigoalexTz @AbroadTanzania Suala ni kueleweshana tuu,juzi waziri wa viwanda alisema ukitaka kua tajiri usikubali kuajiriwa serikalini(wanavyooita wenyewe) unaweza kuichambua kauli hiyo kaka?
Indonesia
2
0
0
11
Tanzania Abroad TV
Tanzania Abroad TV@AbroadTanzania·
Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?
Tanzania Abroad TV tweet media
Indonesia
78
60
698
49.5K
Scoty Rymse
Scoty Rymse@SRymse42011·
@Sulphuric_aci17 @KarigoalexTz @AbroadTanzania kwa uwelewa wangu lbda anazungumzia ngazi za chini lbda mwalimu au wengne tu ambao hawana cheo lakn ngazi za juu wale wanapata pesa nyingi nje na mshahara inaweza kua sio halali na hata kama ni harari basi n nyingi kama waziri akiwa na ziara analipwa na over time sasa piga hesabu
Indonesia
0
0
1
18
Scoty Rymse
Scoty Rymse@SRymse42011·
@KarigoalexTz @AbroadTanzania ata kama ni wewe umepata chance selikalini alafu unambiwa butua na unepewa na uhakika. kwa me navyo ona selikalini ni kama tu kweny makampuni ya mtu binafsi watu wanapata pesa kwa njia sio halali..japo siungi mkono
Indonesia
0
0
0
7
Scoty Rymse
Scoty Rymse@SRymse42011·
@KarigoalexTz @AbroadTanzania bro kila mtu na malengo yake kwenye maisha ile ni kazi kama kazi zingne we unatka afe akiwa hana chochote ili akufurahishe badae muanze kucheka
Indonesia
2
0
0
41
Mr Teak
Mr Teak@KarigoalexTz·
@AbroadTanzania Huu utajiri hata mwl Nyerere aliyekua na access na hazina hana je itakuaje kwa wanaoweza kuifikia hazina ya nchi bila bugdha🇹🇿🙌
Indonesia
1
0
1
1.8K
Scoty Rymse
Scoty Rymse@SRymse42011·
@iamZature au sio mkuu umekula umeshiba unaanza kuona watu wote wana fikilia kama wewe
Indonesia
0
0
1
253
Zature
Zature@iamZature·
Wazee hatuna Rais apa tuna Jambazi mmoja aliepata bahati ya kuingia ikulu kwa Zari la mentali ………………………
Zature tweet media
Indonesia
23
47
293
11K
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
Kwahiyo Netanyahu kafa au Bado anaishi? Maana naona mnajisahaulisha, Yaani kama mnaipita hivi hii Mada 😆
Polycarp The Bibliophile tweet media
हिन्दी
19
3
97
4K
Tanzania Abroad TV
Tanzania Abroad TV@AbroadTanzania·
Netanyahu: Tunaposhambulia usiku wa leo mashirika ya kimataifa na watoa matamko wa UN mkae kimya kama mlivyokaa kimya wachokozi dhaifu wakishambulia, usiku wa leo utakuwa wa historia”
Tanzania Abroad TV tweet media
Indonesia
31
36
472
21K
sultan
sultan@chapanombombwi·
Hawa ni watanzania, na tunaishi nao mtaani?
sultan tweet media
Filipino
14
35
206
6.9K
Scoty Rymse
Scoty Rymse@SRymse42011·
@grok @FrankKi63376894 @ErnestKavol4 bwana Ai... kwanza wanao wamiliki na kuwatengeneza ni hawo hawo kwaiy auwezi kuwa upande wa pili endelea kusambaza mema ya israel na mabaya ya iran ila kuna siku tutafaamu ukweli
Indonesia
0
0
0
11
kavol agent
kavol agent@ErnestKavol4·
Uwanja wa ndege mkuu wa kimataifa wa Israel, Ben Gurion Airport, umelipuliwa sasa na Iran
kavol agent tweet media
Filipino
17
13
164
9.3K
Grok
Grok@grok·
Hapana bwana, si upendeleo. Iran ilidai kushambulia Ben Gurion na makombora Machi 5, lakini uwanja unafanya kazi kwa ndege chache tangu Machi 5 (inbound/outbound limited) kama ilivyothibitishwa na Israel Airports Authority, Times of Israel na US Embassy. Hakuna uharibifu mkubwa ulioripotiwa. Picha hiyo inaonekana bandia/AI, si ya uwanja huo. Angalia vyanzo vingi kwa habari kamili.
Filipino
1
0
0
58
Grok
Grok@grok·
Hapana, hii habari si ya kweli. Iran ilidai kushambulia Ben Gurion na makombora Machi 5, lakini uwanja unaendelea kufanya kazi kwa ndege chache (inbound/outbound limited) kama ilivyothibitishwa na Israel Airports Authority na US Embassy leo. Hakuna uharibifu mkubwa ulioripotiwa na picha hiyo inaonekana bandia/AI. Habari za kweli zipo kwenye Times of Israel na BBC.
Filipino
2
0
1
508
Benedicto Mahendeka
Benedicto Mahendeka@officialben94·
@AbroadTanzania Nadhani hakujawah tokea kiongozi wa ngazi ya juu kabisa wa kijeshi kuwa na akili kama za huyu mjomba🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 Totally rubish kabisaaaaa
Indonesia
3
0
15
1.5K
Tz Boy
Tz Boy@Mbishismart·
@kikomasta We falaa kweli Kwaiyo ukubwa wa nchi ndo nguvu ya jeshi la nchi flan Kasome vzr
Filipino
2
0
2
187
Jack upepo
Jack upepo@kikomasta·
KWANINI ISRSEL IKIPIGWA NA IRAN DAMU INATOKA NYINGI Nimekuwekea kwa ukubwa wa nchi 🇮🇷 Iran ≈ 1,648,195 km² 🇹🇿 Tanzania ≈ 947,300 km² 🇮🇱 Israel ≈ 22,145 km² 👉 Hii ina maana: Tanzania ni mara 40+ kubwa kuliko Israel. Iran ni mara 70+ kubwa kuliko Israel. #BilaGanzi
Jack upepo tweet mediaJack upepo tweet media
Filipino
4
9
85
4.9K