SPECIMEN XY🇺🇸

2K posts

SPECIMEN XY🇺🇸 banner
SPECIMEN XY🇺🇸

SPECIMEN XY🇺🇸

@Snowpiercer199

AgriEconomist📈 AgriExeprt side Hustle:MOBILE TECH. SERVICES

Katılım Aralık 2023
878 Takip Edilen166 Takipçiler
SPECIMEN XY🇺🇸
SPECIMEN XY🇺🇸@Snowpiercer199·
@makumbawaleo_5n Nipo na uncle wangu bado haaamini kabisa anakwambia atapambanisha hadi aitwe tena....namwambia achana nako huko umri unakata utazeeka kwa matumaini
Filipino
0
0
0
391
Dr Makumba
Dr Makumba@makumbawaleo_5n·
Pale TikTok vijana walioenda Jeshi 2023 wanarudi home baada ya mkataba kuisha na kukosa bogi la ajira! Video zao zinahuzunisha sana asee, umetoka kitaaa wanajua we mjeda unarudi raia! Mungu awatie nguvu asee, watumie skills zao kuendesha life!
13
19
291
14.2K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Ndio najua leo kama Mwanangu VINA ni mwanaharakati.
Indonesia
32
53
858
19.3K
SPECIMEN XY🇺🇸
SPECIMEN XY🇺🇸@Snowpiercer199·
@eastafricatv Ki utaratibu ukinunua bando tayari hiyo ni bizaa yako hitakiwi kupangiwada wa matumizi ni wewe ndo uamue unatumia kwa mda gani coz tayari umenunua ila hapa kwetu bongo ni utapeli mtupu....
Indonesia
0
0
3
199
EastAfricaTV
EastAfricaTV@eastafricatv·
#Bunge | Wakati wa maadhimio ya upitishwaji wa Bajeti kwa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kwa mwaka wa fedha 2026/2027. Spika wa Bunge, Azzan Zungu ameiomba Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kuweka utaratibu utakaomruhusu mteja kutumia bando lake lililosalia pale anapojiunga na kifurushi kingine. #Bunge | #EastAfricaTv
Indonesia
11
7
119
12.1K
James Munisi
James Munisi@NjiwaFLow·
💨Je hii itakuwaje hii ikawa ni Samsung s27 series? 👇👇
James Munisi tweet media
Indonesia
12
6
90
6.2K
Myunani
Myunani@MaxTz255_·
Kabla Ya Taarifa Ya Kifo Kuchapishwa Huwa wanaanza "TANZIA" Hii Tanzia Wanamanisha Nini?
Indonesia
24
22
481
41.5K
SPECIMEN XY🇺🇸
SPECIMEN XY🇺🇸@Snowpiercer199·
@TOTTechs Well Apple wanajua nini wanakifanya Huyu ni mtaalam wa masoko na kwa hilo tayari wanewin Kwa sasa wanahutaji mtaalamu wa engineering na design ya hardware kama mrithi wa sasa ili kukidhi ushindani wa Kampuni nyengine kama Samsung..
Indonesia
3
0
0
224
#TOTTechs
#TOTTechs@TOTTechs·
Baada ya miaka 15, Tim Cook ana-step down kama CEO wa Apple ifikapo September 1, 2026. Taarifa za kustaafu kwake zilianza miaka 5 iliyopita.
#TOTTechs tweet media
Indonesia
5
2
58
3.1K
Latto 𝕏
Latto 𝕏@Rydx_017·
Habari zinazotrend sasahivi ni kwamba Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Apple kutoka marekani. Tim Cook. Amejiuzulu nafasi hiyo. Ambapo nafasi yake imechukuliwa na John Ternus, ambaye alikuwa kama Makamu Engineer mkuu wa Kampuni hiyo Tim Cook ameiongoza Apple kama CEO kwa muda wa miaka 15 sasa tangu August 24, 2011 baada ya Steve Jobs kufariki
Latto 𝕏 tweet media
Indonesia
4
5
123
10.5K
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o
Hakuna Mkuu wa shule ana speech kali Tanzania kuliko huyu jamaa 🙌🏽😄 Afu Jamaa anasolve migogoro kijanja sana😂 Tuligoma siku akatuita saa 8 usiku kama anatubembeleza kesho yake prezzo na PM shule hawana.
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o tweet media
Indonesia
67
34
641
45.2K
TICHA MANDEVU13
TICHA MANDEVU13@TichaMandevu·
Nimeomba hio video toka asubuhi hamtumi ikifika zamu yenu ya kutaka mashamba ya kukodi mamae msinitafute 😁
Indonesia
48
29
629
87K
Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿
Miaka kadhaa imeshapita tangu umalize Kidato cha Nne. Ghafla Unaota Ukiwa unafanya mtihani wa NECTA wa Kidato cha Nne; huku ukitokwa jasho kwa ugumu wa mtihani wenyewe. Ukiota Ndoto ya aina hii kesho yake usiende kazini 😁
Indonesia
10
6
135
14.3K
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Bajaji nyingine hii hapa.🥹 Bado tuko kwenye maombolezo ya ndugu zetu waliouwawa Oktoba 29, tutaendelea kupaza sauti mpaka siku Idd Amin Mama akifikishwa ICC.
Hilda Newton tweet media
Indonesia
15
169
1.1K
26.7K