Bepari

11.6K posts

Bepari banner
Bepari

Bepari

@_Bepari_

Hivi hivi yan

Katılım Ocak 2020
366 Takip Edilen312 Takipçiler
Bepari
Bepari@_Bepari_·
@nuru_yumyum Ukiangalia tu hcho kichwa kilivyokaa huwez mlaum
Indonesia
0
0
0
67
Nuru🌹🌹
Nuru🌹🌹@nuru_yumyum·
Kwani huyu ni nani pale Yanga, mbona ana hasira hivi 😄
Nuru🌹🌹 tweet media
Indonesia
49
26
364
13.6K
Joseph Jilili
Joseph Jilili@FukoJilili·
@PolycarpMDM Taifa la Rwanda ni dogo kwa geographia na lina population ndogo ni rahisi kusimamia sheria kwenye kundi dogo, sehemu kubwa za barabaran wamefunga camera, so ukiendesha gari unakuwa unaonekana na camera kila mahali, 2023 nilikuwa Rwanda niliona watu wanavyotii sheria barabaran.
Indonesia
1
0
0
184
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
Nchini Rwanda, Ni Rais, Waziri Mkuu na Spika wa Seneti pekee walio na haki ya kipaumbele barabarani, yaani ruhusa ya kutumia njia maalum. Mawaziri hulipia magari wanayotumia kupita katika Barabara hizo na kukatwa kutoka kwenye mishahara yao. Waziri mmoja aliwahi kutozwa faini ya dola 50 kwa kosa la kuendesha gari kwa mwendo wa kasi kupita kiasi.
Polycarp The Bibliophile tweet media
Indonesia
12
21
396
37.8K
Mturi, C. ✨
Mturi, C. ✨@ChachaWegelo·
-Mshahara wenye take home ya 720,000/= kwa mwezi ni takribani 24,000/= kwa siku. -Lakini winga anaekunja 50,000/= kwa siku ni sawa na 1,500,000/= kwa mwezi. -NDIO MAANA KUPANGA NI KUCHAGUA — unachagua maisha unayotaka kuishi.
Indonesia
35
11
159
35.9K
Yusuf Malima
Yusuf Malima@yusufm163·
@JumaAyoo Kwa hiyo Ukiwa Huna Kiwanja Hauruhusiwi kukosoa? TFF kiwanja chao ni kipi? Mbona kutwa wao ndio wanakosoa viwanja. Viwanja majority either ni Vya serikali ama ni vya CCM. Ingekuwa sisi tumewapeleka matopeni wachambuzi/mashabiki/machaea mngekuwa advocates wa kutetea taasisi yenu🤣
Indonesia
1
0
1
613
Juma Ayo
Juma Ayo@JumaAyoo·
Nimetoka Isamhuyo jioni hii Uwanja ni mzuri timu zijiandae tu kucheza kesho. Mna miaka 80 na hamna viwanja sasa hicho kizuri mnachokitaka ni cha Wapi? Jengeni Viwanja vyenu
Indonesia
49
28
581
29.2K
Skinny ²
Skinny ²@Skinny36479503·
@InnocentJLS lisu huwaga ni mkorofi sana,alitupotezea mda kwa jambo ambalo alijua hati ipo,,mi nadhani ccm wampe kacheo kidogo,hata ukuu wa wilaya,maana hataacha vurugu mechi🤗😂
Indonesia
4
0
4
1.8K
#NiYeye
#NiYeye@InnocentJLS·
Nakumbuka kwenye Bunge la Katiba Mh Tundu Lissu analiambia Bunge kuwa HATI YA MUUNGANO haipo, Mzee Wasira anasema IPO, Lissu anamwambia kama ipo ILETE, Bunge linahairishwa hadi hati ya muungano ije😂🙌🏻
Filipino
14
97
1.2K
50.3K
Maviatu 👞👟🥾🛍️🛒
Brenda heavy duty bei 500k Hili limekosa muonekano tuu. Ila kazi linazofanya heavy duty za mchina haziwezi.
Maviatu 👞👟🥾🛍️🛒 tweet media
Suomi
15
18
157
11.2K
Real Nigger
Real Nigger@MrDepalitto9·
Kazi ya ukonda nikazi inadharaulika sana ila pesa nyingi sana wanatengeneza Nina jamaa angu kajenga chanika alianza ukonda 2020 kila siku alikua anaweka 30K juzi alikua anazindua mjengo wake ahamie
Real Nigger tweet mediaReal Nigger tweet media
Indonesia
24
14
342
24.9K
Sean 🦩
Sean 🦩@iboysean·
Mnaotangaza AirBnb msiishie kutuonesha mazingira ya ndani, Na nje pia muhimu.
Eesti
7
18
279
12.5K
iDesign
iDesign@ImMichael_K·
Hili soko airtel walichezea... sasa ttcl naona wameamua kuingia mazima... wanapita mtaani kuuliza watu wanaotaka kuwekewa fiber. Yani niliposikia hivyo nikasema bila kupepesa Airtel ni mateso sana nilipo
iDesign tweet media
Filipino
95
50
757
71.3K
Bepari
Bepari@_Bepari_·
@kidiish @SokoMoko__ @Rahim_Meghji Pia kila miaka inavyoenda gharama za ukaguzi wa gari kwa mwaka zinaongzeka ndo maana weng wanaopt kufany topup au kuuza ili anunue jipya ambalo ni bei ndogo kwao
Indonesia
0
0
1
61
MUSA
MUSA@kidiish·
@SokoMoko__ @Rahim_Meghji Waambie pia kuna nchi zina limit ya muda gari kutumika mfano 10 years. Unakuta gari ni ya 2015 ila ikifika 2025 hairuhusiwi kutumika tena kwenye nchi hiyo. So unakuta mwenye gari hana route nyingi lazima km ziwe chache. NB: sio kila km ndogo imefanyiwa rollback ya odor meter
Indonesia
1
0
1
219
بو سالم 🇹🇿
بو سالم 🇹🇿@Rahim_Meghji·
Haiingii akilini unakuta gari ya 2005 - 2010 iuzwe 2026 ikiwa na kilomita 64K 😅
بو سالم 🇹🇿 tweet mediaبو سالم 🇹🇿 tweet mediaبو سالم 🇹🇿 tweet media
Indonesia
20
24
381
32.4K
Buluma
Buluma@Buluma15·
@MakulaJr_ @IAMartin_ Kama unataka ibada ya kweli upo sahihi lakini kama unataka uchanganye na siasa au mambo ya dunia kidogo ya mungu kidogo nenda RC kanisa langu limejitenga kabisa na siasa halitaki kuhusika kabisa na siasa japo huko nyuma manabii mbali mbali walikemea baadhi ya mataifa mfano amos
Filipino
5
0
2
654
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
TEC hawajapeleka kabisa mwakilishi Wamekataa kuketi, kusomewa uongo Kanisa moja, Takatifu, Katoliki la Mitume Ni moja jana, leo, asili yake ni Yesu Kristo Ibada moja, sheria moja , mapokeo yaleyale Kanisa limeenea pande zote ulimwengu mzima Kanisa Katoliki, TUNAJIVUNIA 👏
Suomi
100
771
4.2K
67K
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Kwa viwango vyote vya kidunia, Yaani hata Malaika na Mitume na Maswahaba wote watoke mbinguni leo kisha Waulize nani alihusika na jaribio la mapinduzi la 29 October 2025? Jibu lao la kwanza itakuwa ni CHADEMA kwa mazingira yoyote, kisha wataanza kutajwa wengine huko. Haitakuwa Chadema pekee yao, lakini ni lazama watajwe Chadema. Hivyo tusubiri ripoti ya Jaji Chande kesho itatueleza walihusikaje, maana suala la kuhusika linajulikana walihusika, sasa tunasubiri walihusikaje tu. Na tutapokea mapendekezo ya adhabu kwamjibu wa sheria ya vyama vya siasa kwa Chadema na kwamjibu wa sheria ya uhaini kwa viongozi wao na yeyote aliyehusika. Lazima hili litibiwe lisije jirudia kwa aina yoyote!
Indonesia
206
15
70
70.8K
chikazauloñgo
chikazauloñgo@shabanmustafa0·
@kissamosulleysh @Adventure_36 Huyo mkurugenzi kaizerege hizo sio basi zake za kwanza kununua. Ila huwa anazipeleka shuleni kwake kwa ajili ya usafiri wa wanafunzi
Filipino
2
0
0
90
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Apo Bukoba watatoana damu 🔥🙌, Mkurugenzi Kaizerege Huu mwaka kazi ipo
Adventure-360 tweet mediaAdventure-360 tweet mediaAdventure-360 tweet mediaAdventure-360 tweet media
Filipino
14
26
324
19.2K
Adamoo
Adamoo@Addy_Adams·
@PabloYende Hizo show za anazosepa na Kijiji ni mkusanyiko wa Wasaniu wengi kwenye Show ambao kila msanij ana watu wake Hana ubavu wa kujaza hata uwanja wa Kijitonyama pale linapofanyia TOT Bonanza
Indonesia
2
0
3
800
PABLO
PABLO@PabloYende·
roma alikua mkali wa kufungaa show ila alishindwa kuandaa show zake akawa anategemea za mawingu? Mdau
Indonesia
7
12
239
16.2K
Bepari
Bepari@_Bepari_·
@EsirEid Anasemea uvunguni mwambie atokeze hata ndevu tu kama kwel yupo
Filipino
0
0
1
11
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Kiongozi mpya wa kiroho wa Iran, Mojtaba Khamenei, amesema kuwa amebatilisha kanuni zilizowekwa na baba yake, Ayatollah Ali Khamenei, kuhusu suala la silaha za nyuklia. Amesema kuwa kuipatia Iran silaha za nyuklia ni suala la uhai na si jambo la kujadiliwa. Aidha, alisisitiza kwamba katika dunia inayotawaliwa na mabavu badala ya sheria, njia pekee ya kujilinda dhidi ya wavamizi ni kuifanya Iran kuwa na silaha za nyuklia. Mojtaba Khamenei pia alisema kuwa maadui wa Iran wanapaswa kutambua kwamba nchi hiyo ina uwezo wa kujipatia silaha za nyuklia ndani ya siku chache ikiwa italazimika, na inadaiwa kuwa ameagiza Walinzi wa Taifa wa Iran kuandaa silaha hizo kwa muda mfupi. Kwa mujibu wa shirika la habari la serikali ya Iran, Islamic Republic News Agency (IRNA), nchi za Russia, China na North Korea zimeahidi kutoa msaada na uungwaji mkono wa haraka kwa Iran katika juhudi za kujipatia silaha za nyuklia.
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿 tweet media
Indonesia
45
37
392
18.5K
Bepari
Bepari@_Bepari_·
@liquidatorXz @francismtey Hakuna nchi ya Afrika iliyowahi kutengeneza ndege ikafanya safari zake duniani, hiyo haimaanishi kwamba wazungu hawawezi hao jamaa wana akili nyie endeleeni kuibiana nyeti.
Indonesia
0
0
0
41
LIQUIDATOR
LIQUIDATOR@liquidatorXz·
@francismtey Hakuna mtu aliyeweza vuka ozone hawa ni matapeli tuu
Indonesia
5
1
4
581
I AM
I AM@francismtey·
NASA ina bidi ichunguzwe Hawa Jamaa Wanaendesha Ponz Scheme $93 billion IMETUMIKA Eti kwenda Kupiga picha Mwezini na kurudi 🤣 How, mtu anatetea hawa Matapeli.
Filipino
23
9
124
4.7K
Entruscan
Entruscan@JumaMahuba·
@millardayo Wale waliokuwa wanafanya comparison na bara hii hawasomi
Filipino
1
0
2
956
millardayo
millardayo@millardayo·
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (ZURA) leo April 8 imetangaza bei mpya za mafuta ambazo zitaanza kutumika rasmi kuanzia kesho Alhamisi April 9 2026 ambapo bei ya Petrol imeonekana kupanda hadi kufikia shilingi 3,500. Bei mpya zilizotangazwa leo ambazo zota kwa pamoja zitaanza kutumika kesho Petroli kuuzwa shilingi 3,500 kwa lita kutoka bei ya awali ya 2,942, Dizeli 3,500 kwa lita kutoka bei ya awali ya 2,952 na mafuta ya taa yakifikia shilingi 3,500 kutoka shilingi 2,900 bei ya awali. #MillardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
30
17
462
38.7K
Bepari
Bepari@_Bepari_·
@Samalentips @HNyerembe Kwa akili za kutegemea Grok ndo unashupaza hiv shingo daah, umeambiwa hakuna sehemu wala soko linalotumia hicho kipimo kama alivyosema huyo bdo umekaza kifuniko cha meno
Filipino
1
0
1
32
Samalen Tips🤴🫆
Samalen Tips🤴🫆@Samalentips·
@HNyerembe Sasa kwanini unasahihisha post ambayo grok ameshakwambia kuwa iko sahihi?? Mkiambiwa someni msiwe wabishi
Filipino
1
0
0
56
Samalen Tips🤴🫆
Samalen Tips🤴🫆@Samalentips·
Petrol inaweza pia kupimwa kwa tani, gerson hakukosea acheni kuzusha uongo sio kila kitu ni cha kukosoa !!
Indonesia
47
1
48
10.4K