covid-19 🇨🇽🇷🇺❤️🇹🇿
5.5K posts

covid-19 🇨🇽🇷🇺❤️🇹🇿
@aboche2015
legal n industrial metrology consultant Electrical technician💡 Businessman. Mpenda haki Responsible Dad
Katılım Temmuz 2015
2.7K Takip Edilen1.2K Takipçiler
covid-19 🇨🇽🇷🇺❤️🇹🇿 retweetledi
covid-19 🇨🇽🇷🇺❤️🇹🇿 retweetledi

@PMadeleka Si mbaya kwa mtu aliyetoka chuo kwa sbb serikalini ndio sehemu pekee na ya uhakika kwa mtu anayeanza maisha kutoka ktk familia masikini kutafutia mtaji.
Indonesia

@zittokabwe @franklin_tissa Binafsi huwa napata shida sana kuelewa pale jambo linapoamuliwa na serikali baada ya kushauriana na taasisi zake halafu sisi wananchi ktk kutafuta unafuu wa kero na kalaha za jambo husika tunaiomba serikali hiyo hiyo ambayo kimsingi ndio iliyotuletea hilo tatizo.
Filipino

Leo tumeamka na bei mpya ya mafuta. Bei tuliyoitegemea kufuatia mashambulizi yanayoendelea ya Marekani na Israel dhidi ya Iran. Kama ilivyo sehemu zote duniani bei imepanda sana na gharama za maisha zitakuwa kubwa sana. Serikali isaidiane na wananchi kubeba gharama hizi.
Serikali iondoe tozo, kodi na ushuru katika mjengeo wa bei ya mafuta ili kumwezesha mwananchi kupata nafuu.
Indonesia

Hali ya @MariaSTsehai ni mbaya amekuwa mtu wakufanyiwa kila kitu yani hata kikombe kunyanyua cha chai ni kazi. Pray for her.💔

Indonesia

@Baradhuli2 @MariaSTsehai Daah aliwapeleka watu kwenye mdomo wa simba leo anasotea hali aliyoisababisha yeye. Acha kimlambe tu.
Filipino

@HecheJohn @davitheempire Na hapo kila mwaka mzazi anadaiwa mchango wa dawati na tofali
Filipino

Kwenye Nchi Kama hii, inaonesha ujambazj unalipa, kuliko kufanya kazi kwa bidii na kwa nidhamu!!!! Walipa kodi watoto wao wanasomea hapo. Hiyo ni shule imepigwa picha jana huko Tanga. ukiacha tu ubora wa hiyo Elimu yenyewe, angalia mahali wanaposomea, yaani mazingira ya kufundishia na kujifunzia…
Wakati mtoto wa mlipa kodi anasomea hapo, kuna eti kiongozi wa serikali anatumia gari ya thamani ya 1.5 bilioni… ukimwambia atoe maelezo ya namna alivyopata pesa ya kununua gari hiyo hawezi kusema…
Hawa ndio wako tayari kuua maelfu ya watu ili kulinda uchafu huu, wako tayari kuteka na kupoteza kila anaehoji kwa nia njema kuhusu Nchi yetu… tusinyamaze, Tutashinda


Filipino




















