Innocent Rusomyo

2.2K posts

Innocent Rusomyo

Innocent Rusomyo

@innorusomyo

A farmer| ECD Practitioner

Tanzania, East Africa Katılım Ocak 2014
559 Takip Edilen585 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Innocent Rusomyo
Innocent Rusomyo@innorusomyo·
“Whoever is first in the field… will be fresh for the fight” Sun Tzu
English
0
1
9
0
sultan
sultan@chapanombombwi·
Huko Bonde la Ziwa Rukwa kuna sehemu zinaitwa Ilemba, Sakalilo, Chombe, Muze na Mkusi.... Gunia la mpunga lenye debe saba linauzwa shilingi 80,000–85,000, ukikoboa linatoa debe nne. Debe moja lina kilo 20. Ukiuza kwa bei ya chini ya shilingi 2,300 kwa kilo, kwa debe nne unapata 184,000. Ukitoa gharama ya kukoboa shilingi 9,000 na ile 85,000 ya kununulia, unabaki na faida ya takribani shilingi 90,000. Ngoja nihamie kusini bhana huku Unguja hamna isue🙌
Filipino
32
6
180
19.5K
Innocent Rusomyo
Innocent Rusomyo@innorusomyo·
@ayubu_madenge Wenzetu wenye asili ya Asia na Ulaya, wana Utamaduni ambao ni mgumu kwa familia nyingi zenye asili ya Kiafrika. Mzazi mwenye asili ya Afrika yuko radhi mali zake wazijua marafiki zake kuliko watoto na mke wake.
Indonesia
2
0
16
939
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Mo Dewji akiwa na kijana wake wakwanza anayeitwa Abbas. Mo anasema anafarijika kuona kizazi chake kina simama na sasa anakirithisha yale ambayo yeye alirithishwa na mababu zake waliomtangulia. Kwa mambo yalivyo huyu ndiyo atakuwa mrithi wa biashara za Mo.
Ayubu Madenge tweet media
Indonesia
37
41
1.2K
26.6K
Innocent Rusomyo
Innocent Rusomyo@innorusomyo·
@DevotaMinja @ChaummaT Ulishindwa kuupata ukiwa CDM, utaupata ukiwa Chaumma??? Hebu acha vichekesho basi. Wewe hujaona hata mkutano wako wa pale Stand ya zamani ulikua kama unajiongelesha mwenyewe? No body cared about what was happening!
Indonesia
1
0
3
99
Devota Minja
Devota Minja@DevotaMinja·
Nimeanza safari ya Matumaini , Safari ya Ukombozi rasmi katika jimbo la Morogoro mjini .
Devota Minja tweet media
Indonesia
28
11
59
3.2K
Innocent Rusomyo
Innocent Rusomyo@innorusomyo·
@Jambotv_ @ChaummaT Huyu Kule CDM alikua ana tembelea Mbeleko za Kaka yake FAM, huko Chaumma anajifurahisha tu kuchagamsha genge. Hata kura 1000 tu hawezi kupata.
Indonesia
0
0
1
55
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
Kaimu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) @ChaummaT Tanzania Bara, Devotha Minja, Agosti 1, 2025, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Ubunge katika Jimbo la Morogoro Mjini kupitia chama hicho. Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu katika Ofisi za CHAUMMA mkoani Morogoro, Minja amesema chama hicho kiko tayari kupambana na Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu ujao na hakitasusia uchaguzi kama ambavyo baadhi wamekuwa wakidhani. “CHAUMMA tupo imara, tumejipanga, na tutaingia kwenye uchaguzi kwa nguvu zote. Lengo letu ni kuhakikisha tunaleta mabadiliko ya kweli kwa wananchi”, ameeleza Minja. Hadi sasa, jumla ya wanachama nane wa CHAUMMA wamechukua fomu za kuomba ridhaa ya kugombea ubunge katika majimbo mbalimbali ya mkoa wa Morogoro, ikiwa ni ishara ya mwitikio chanya ndani ya chama hicho kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025.
Jambo TV tweet media
Indonesia
7
5
108
8K
Innocent Rusomyo retweetledi
Christian Bwaya
Christian Bwaya@bwaya·
Si kila mwanamke aliyezaa kabla ya ndoa hana maadili. Fikiri kabla hujamhukumu ‘singo maza.’ Soma simulizi la Recho kupitia @MwananchiNews #Ushunuzi
Christian Bwaya tweet media
Indonesia
12
32
94
8.5K
Innocent Rusomyo
Innocent Rusomyo@innorusomyo·
@ayubu_madenge Wanafunzi wa vyuo vikuu jamii ya kina Kiliba una tegemea nini?? Hapo zamani chuo kikuu palikua sio pa kwenda kila aliye hitimu masomo ya Sekondari, vilienda vichwa vyenye akili inayo fikiri barabara.
Indonesia
2
0
0
385
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Zamani ukiwa mwanafunzi wa Elimu ya juu jamii na nchi ilikuwa inajivunia uwepo wako. Wanafunzi wa Elimu ya juu walikuwa wanaheshimika na kutegemewa katika kufanya tafiti na kushauri mambo kitaalamu. Walisimama katika UJUZI, UKWELI na HAKI na nchi ilinufaika sana na uwepo wao.
Indonesia
97
56
731
27.5K
Innocent Rusomyo
Innocent Rusomyo@innorusomyo·
@masuba___ Kimbembe kiko hapo kwenye kukusanya hizo gunia. Kwa hali ya mwaka huu, unakopesha gunia 400 unalipwa na kukusanya gunia 150 tu.
Indonesia
1
0
1
145
R.M
R.M@shibobo___·
#MPUNGATUPS Hii season wakulima walichukua mkopo wa tsh 50k kwa mkataba wa kulipa gunia 1 la debe 10 mavuno, Mtu alokopesha 20M kwa wakulima amelipwa gunia 400 za debe 10, So gunia 400x 180k=72M mtaji wa 20M faida 52M ⚖️HIZI MISHE USIWE MTU WA BIBLIA AU MSAHAFU
R.M tweet media
Indonesia
16
15
57
2.8K
Innocent Rusomyo
Innocent Rusomyo@innorusomyo·
@rollymsouth Leo kuna investors watalala vichwa vinauma. Waliweka mizigo kwa PSG wakiamini wanaamka na posho!
Indonesia
1
0
6
1.8K
Madenge
Madenge@rollymsouth·
Kweli kubet sio kazi😂
Filipino
117
66
1.2K
56.3K
Innocent Rusomyo
Innocent Rusomyo@innorusomyo·
Ndugu @CRDBBankPlc hizi meseji za “Swahiba!Ni BURE kutuma pesa kutoka CRDB akaunti Kwenda CRDB akaunti na NAFUU sana kuanzia SH. 8 tu kutuma pesa kwenda mitandao ya Simu na Benki zingine.Humu Tu!” Basi zinatosha jamani!
Indonesia
0
0
0
49
Innocent Rusomyo
Innocent Rusomyo@innorusomyo·
@Adventure_36 Maeneo ya Mkundi Mkoani Morogoro asubuhi ya jana. Subaru drivers wana papara sana wawapo barabarani.
Filipino
0
0
0
652
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Chuma mpya kabisa EGR , Subaru XT imeishaa
Adventure-360 tweet mediaAdventure-360 tweet media
Indonesia
16
14
212
11.7K
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Mzee yeye ajiandae tuu, watu tayari wanapigia jalamba namba yake toka mwaka jana 😂
MR BEN@Eric__Bernard

MAJALIWA: SITAISAHAU IMANI YA RAIS SAMIA KWANGU Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, amesema hatasahau kamwe imani kubwa aliyopewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, tangu aliposhika hatamu za uongozi wa taifa mnamo Machi 2021. Akizungumza bungeni jijini Dodoma wakati akitoa hotuba ya kuhitimisha Mkutano wa 19 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Waziri Mkuu ameeleza kuwa hatua ya Rais Samia kuendelea kumwamini na kumpa jukumu la kusimamia shughuli za serikali ni jambo la kihistoria kwake binafsi, familia yake, wana-Ruangwa na Watanzania kwa ujumla. “Kwa unyenyekevu mkubwa, ninamshukuru kwa dhati ya moyo wangu Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa imani isiyopimika aliyoionesha kwangu. Ni jambo ambalo sitalisahau maishani mwangu,” alisema Majaliwa. Katika hotuba hiyo, Majaliwa alikumbuka pia tukio la huzuni kubwa kwa taifa lililotokea tarehe 17 Machi 2021, ambapo aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, alifariki dunia. Alisema tukio hilo lilisababisha majonzi, taharuki na giza nene kwa Watanzania, lakini katika hali hiyo ya simanzi, Rais Samia alisimama imara, kwa ujasiri na utulivu wa kipekee. “Katika giza lile la huzuni, Mwenyezi Mungu alimpa ushupavu, ujasiri na utulivu wa kipekee Rais wetu. Alisimama imara katika upepo mkali wa historia ya nchi yetu na kuwa faraja kwa Watanzania. Alitufundisha kuwa utulivu si udhaifu, bali ni nguvu ya ndani inayotoka kwa Mungu,” alisisitiza. Waziri Mkuu amefichua kuwa katika kipindi hicho kigumu, Rais Samia alimwita na kumwambia: “Kassim, tuendelee kushirikiana kulitumikia Taifa letu. Simamia shughuli za Serikali.” Amesema maneno hayo yamebeba uzito mkubwa, na ni kielelezo cha imani na dhamira ya dhati ya Rais Samia kwa ustawi wa taifa. Katika kuelezea mafanikio ya uongozi wa Rais Samia, Majaliwa alieleza kuwa taifa limesimama imara kwa kuendeleza miradi ya kimkakati, kuimarisha huduma za kijamii, kulinda tunu za taifa kama amani, utulivu na mshikamano, pamoja na kuendeleza demokrasia, diplomasia na ukuaji wa uchumi wa taifa. “Yote haya yametokana na uongozi thabiti, wa busara na hekima wa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan,” alisema. Waziri Mkuu amemtaja Rais Samia kuwa ni Mwalimu wa subira, kielelezo cha ujasiri, na alama ya matumaini kwa kizazi cha sasa na kijacho.

Indonesia
12
5
95
9.1K
Innocent Rusomyo
Innocent Rusomyo@innorusomyo·
Mwaka huu mpaka kufikia Aprili 2026, mpunga unaweza uzwa 200k kwa gunia la debe 7. Juni hii debe 7 imefika 120k 😄
Innocent Rusomyo tweet media
Indonesia
0
0
1
42
Innocent Rusomyo retweetledi
WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII
WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII@maendeleoyajami·
*DKT. JINGU AHIMIZA MATUMIZI YA TEHAMA KATIKA MALEZI* Na WMJJWM- Mwanza. Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu amewataka Wataalam wa Sayansi ya Malezi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto kutumia teknolojia katika kutatua changamoto za Malezi na kuboresha Sayansi ya Malezi kwa watoto. Dkt. Jingu amesema hayo wakati akifungua Kongamano la Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya mtoto linaloendelea katika ukumbi Jijini Mwanza. Dkt. Jingu amesema kumekuwa na ombwe kati ya kizazi cha zamani na cha sasa katika suala la malezi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto hivyo Wataalam watatumia teknolojia vizuri itasaidia kuondoa ombwe hilo na kutatua changamoto zilizopo katika Malezi nchini. "Sisi wote tulivyo leo ni kwa sababu ya malezi tuliyopata kutoka kwa wazazi wetu, hivyo ni muhimu na sisi kuendeleza malezi bora kwa watoto ili kuwa na Taifa imara na lenye maadili mema" amesema Dkt Jingu. Aidha Dkt. Jingu ameongeza kuwa katika wakati huu ambapo Maendeleo ya TEHAMA yamechukua nafasi kubwa katika Jamii Wataalam wa Malezi watumie Maendeleo ya Sayansi na Teknolojia kuhakikisha Jamii inapata elimu ya malezi kwa watoto. "Tunaweza kuwa na Majukwaa ya wazazi katika mitandao kujadiliana kuhusu Malezi na changamoto zilizopo katika kuzipatia ufumbuzi hata kuwa na Majukwaa kwa watoto yatakayotoa elimu,burudani na michezo kwao yenye kuzingatia maadili yetu" amesisitiza Dkt. Jingu Kwa upande wake Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Baladya Elikana amesema suala la malezi ni muhimu kuzingatiwa hasa katika kujenga taifa lenye watu wenye maadili na uzalendo kwa nchi yao. "Najua lengo la kongamano hili ni kutathmini utekelezaji wa programu mbalimbali za malezi katika jamii na kutoa utatuzi wa changamoto mbalimbali za malezi na makuzi katika jamii hivyo tutumie Kongamano hili kuleta mabadiliko katika suala Malezi kwa watoto wetu." amesema Elikana Kongamano la melezi ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya familia ambayo huadhimishwa Mei 15 kila Mwaka. Kongamano hilo limewakutanisha Wataalam wa malezi, Maafisa Ustawi wa Jamii, Maafisa Maendeleo ya Jamii na wadau kutoka Mashirika Yasiyo ya Kiserikali yanayotoa Huduma za malezi kwa watoto pamoja na Watafiti wa malezi kutoka Taasisi za Elimu ikiwemo Chuo Cha Utafiti Ifakara, Chuo cha Ustawi wa Jamii, na Chuo Kikuu cha Dodoma. MWISHO
WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII tweet mediaWIZARA YA MAENDELEO YA JAMII tweet mediaWIZARA YA MAENDELEO YA JAMII tweet mediaWIZARA YA MAENDELEO YA JAMII tweet media
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
0
1
2
150
Innocent Rusomyo
Innocent Rusomyo@innorusomyo·
@Thommunkondya Mwananchi atoke Kamsamba,Mkonko,Ivuna, Ntungwa,Utambalila kwenda kufuata huduma Chitete?? Lilikuwa wazo la ki binafsi sana. Wananchi wana pata mateso ya gharama kufuata huduma za Kiserikali kule Chitete.
Indonesia
0
0
1
45
Thom Mnkondya
Thom Mnkondya@Thommunkondya·
Wazo la kujenga ofisi za halmashauri ya wilaya ya momba chitete,halikuwa wazo sahihi. Kama lengo ni kukuza kijiji cha chitete basi ni wazo la kibinafsi. Nafikiri halmashauri ya wilaya ya momba inapaswa kukubali kosa hili na kuanza kufikiria upya wazo la kujenga ofisi sehemu sahihi.
Thom Mnkondya tweet media
Indonesia
28
11
95
15.8K
Innocent Rusomyo
Innocent Rusomyo@innorusomyo·
@millardayo 2003-2005 hapo ilikua kama kambi ya JKT. Sema hio shule ni kama kuna kamzimu kakurithishana Undava. Enzi zetu kulikua na waimbisha Kimbembe mashuhuri kama Ghost face Killer, Bad Nyau n.k
Indonesia
0
0
11
1.2K
millardayo
millardayo@millardayo·
Wahitimu wa kidato cha sita zaidi ya 130 katika Shule ya Sekondari Milambo iliyopo Mkoani Tabora wamelazimika kuondolewa Shuleni hapo chini ya ulinzi mkali wa Jeshi Polisi muda mfupi baada ya kumaliza mtihani wao wa mwisho wa kuhitimu kidato cha sita, hii ikiwa ni baada ya njama zao za kutaka kuchoma Shule hiyo na kuandamana kubainika. Wanafunzi hao wanatuhumiwa kupanga njama hizo baada ya kuzuiwa kufanya mahafali ya kuhitimu masomo yao kutokana na kile ambacho Shule imesema ni uwepo wa viashiria vya uvunjifu wa amani kwakuwa Uongozi wa Shule ulipata taarifa kuwa Wanafunzi walipanga kufanya vurugu kali Shuleni baada tu ya mahafali kumalizika. Uongozi wa Shule umesema sababu nyingine iliyofanya wasiruhusu mahafali kufanyika ni kwakuwa Wanafunzi hao baada ya kuona wanakaribia kuhitimu Shule walianza tabia za hovyo ikiwemo kufanya jogging mitaani wakiwa na muziki mkubwa huku wakiwa wamevua nguo, kujichora tattoo, kutoroka na kwenda club usiku na wakirudi wanazima umeme wa Shule nzima ndipo wanaingia mabwenini pamoja na kuanzisha mabifu na ugomvi na Shule jirani na hata kupigana nao wakati wa mechi au michezo ya jioni. Mkuu wa Mkoa wa Tabora ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama, Paul Chacha, ameelekeza Wanafunzi hao waondolewe Shuleni hapo na kwenda makwao chini ya ulinzi huku akiwataka Polisi kuimarisha ulinzi maeneo yote ya Shule kwani baadhi ya Wanafunzi wa madarasa mengine wengine wanaendelea na masomo na pia kundi jingine la kidato cha sita linaendelea na mitihani chini ya ulinzi mkali wa Polisi na wakishamaliza tu nao watapelekwa makwao . #MillardAyoUPDATES
Indonesia
194
64
936
118.1K
Innocent Rusomyo
Innocent Rusomyo@innorusomyo·
@Balyx_ Walio shindwa kwenye sanduku la kura yawezekana walikua wanafanya kazi ya $. Kwa nje wakionekana makamanda lakini mioyoni walijijua kuwa ni wanafanya baishara ya Siasa na invisible hands ya $.
Indonesia
0
0
0
50
Balyx
Balyx@Balyx_·
Imagine Kigaila alikua one of the top leaders pale CDM. Aibu aseee, acha asepe
English
7
2
59
19.3K