Sabitlenmiş Tweet
VanEx
225 posts

VanEx
@vanex255
Tanzanian next rated E-commerce giant
Katılım Haziran 2017
438 Takip Edilen80 Takipçiler

@MickyJnr__ And where would you find this internal correspondence? You're neither a party nor an addressee in that letter. And from what it looks like, it was not meant for public consumption. How could it land into your hands? Where do you derive the mandate to bring it to public?
English

@XLcannabis @Gaspinho15 Sasa Hans yupo EFM Mzee? Mbona unapagawa
Filipino

@privaldinho Sasa iyo taarifa kamili si uitoe ww au umejipa majukumu ya kupangia watu kazi? Afu kushabikia Al ahly mwenzio alishaweka wazi kitambo wala hajajificha kama wewe uto wa kukodi. Mwanya kigego.
Indonesia

Mbona unatoa taarifa nusu nusu wewe bumunda. Tangaza kabisa Zamalek kinuni wamepewa alama tatu na magoli matatu. Unajifanya kuwa una shabikia Al Ahly kwahiyo unaficha ficha mambo. Wewe ni shabiki wa Berekum ya huko kwenu Ghana acha shobo na Al Ahly
Micky Jnr@MickyJnr__
This is the moment Egyptian officials came to the stadium and announced the end of the game. Local officials ✅ Zamalek players ✅ Al Ahly players ❌ #yallayaahly #cairoderby #africanfootball #zamalek
Indonesia

@skillz_tz1 Mradi mzuri uendeshaji mbovu. Lipo linajulikana na linafumbiwa macho

@ze_mandevu Tunatamani sana hayo
Mapiza mabaga na mazaga mazaga,
Ila ndio vile tu hatuna mahela,
Leo yenyewe maCowboy wameshindia mapera. 🙌🏾
Filipino

Hiyo logo ya mnyama (swala) ni kwamba haina uelekeo rasmi?
Cc @Katarama_Luxury @TBoundBuses


Tanzania Bound Buses@TBoundBuses
Na hi 🫡 #KataramaLuxury
Indonesia

@allyson81064 @kipingu17 @KibwanaEdgar Nini maana ya tuzo ya mwezi au ulitaka mwezi august usiwe na tuzo?
Polski

@kipingu17 @KibwanaEdgar Makolo wanauliza kwani timu zote zimecheza mechi sawa? Wamesahau wakati wanapewa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi August na kocha bora timu zilikuwa hazijacheza mechi sawa na wakashangilia sana 🤔🤔
Polski

@TanzaniaOneJezi KAKA ACHA KUTUPANGA HUYU NI SAIDI WA BUSWELU WALIUANA ZAMANI SANA JAMAA ALIKUWA MTU WA UVUVI
Filipino

@ayubu_madenge Huyu jamaa anapenda Sana kutrend kwenye media Kwa kauli zake flani hivi ambazo ni kama kichekesho lakini pia ni kama vile Yuko serious japo hayuko serious pia. Kwa hiyo Uganda ni ya 12 Africa Kwa uchumi.? 😂😂😂
Indonesia

@RevocatusMagum1 @ahmed__ally @SimbaSCTanzania @SimbaScTweet @DannyAggy @Hansrafael19 Masirahi ndio nini 🚮
Filipino

..🚨SIMBA NA MUSA CAMARA
🕸️Klabu ya Simbasc na Camara wakaa mezani kwajili ya kuboresha Zaidi masirahi ya mchezaji.
🕸️Mwanzo, walimpa mkataba wa miezi sita tu, hivyo viongozi baada ya kujirizisha na kiwango Bora alichokionyesha, wampa mkataba wa Miaka mitatu na mshahara mnono.

Dar es Salaam, Tanzania 🇹🇿 Indonesia































