BekaBOY 0.2

77.1K posts

BekaBOY 0.2 banner
BekaBOY 0.2

BekaBOY 0.2

@barackmtulo

Don't see others doing better than you, Beat your own records everyday because, Success is a fight between YOU & YOURSELF #FeelTheDiffelence

Joined Aralık 2014
361 Following1.2K Followers
Pinned Tweet
BekaBOY 0.2
BekaBOY 0.2@barackmtulo·
Watanzania Tuna Deni kubwa na huyu mtu. Huenda mtu kama huyu hakutakiwa kuzaliwa Tanzania🙏🏾
Indonesia
26
213
1K
50.6K
S E L A A
S E L A A@selaa_rocker·
@IAMartin_ Afu utamskia msenge " I'm proud of my dad"
English
4
0
9
1.7K
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Hawa watu imefika hatua siyo kwamba hawajiheshimu, lakini wamepoteza utu wa binadamu. Kwa hiyo GAZA, Palestine kuna mabango ya CCM? Gaza walifanya uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025? Gaza kuna vituo vya kupiga kura vimeandikwa INEC? Gaza ndiyo watu waliobeba silaha walivaa jezi za YANGA? Gaza ndiyo wale trafiki walikuwa na silaha? Gaza ndiyo zile mochwari zilizosheheni maiti zipo? Watu wa Gaza ni weusi watupu, hakuna hata Mwarabu mmoja? Kwa hiyo katika zile video clip uliwaona waarabu na IDF mkashindwa kuwatambua hadi ikabidi muite watalaam? Gaza wanazungumza kiswahili? Gaza maiti ao wanafunika na bendera ya Tanzania? Master Tindwa aliuwawa Gaza, Palestine? Au anazungumzia ukanda wa Gaza akimaanisha Kimara? Fikiria kidogo, mtu huyu alikuwa Jaji Mkuu kwa miaka nane. Profesa?
Indonesia
161
218
878
29.2K
BekaBOY 0.2
BekaBOY 0.2@barackmtulo·
@_blasxc_ Mpaka kuwe na foleni? Inatakiwa kujenga kabla ya foleni Sema maccm wahuni tu
Indonesia
0
0
0
23
blas 
blas @_blasxc_·
Kigamboni hakuna hata foleni huu usenge bora wange ujenga hata kimara
blas  tweet media
Indonesia
15
6
84
8.2K
𝗡𝗚𝗨𝗖𝗛𝗜𝗥𝗢🇹🇿
👉 Huyu Humphrey polepole kipindi kile alitesa sana Watu Safi ndani ya Chama na Wengine kuwafukuzisha uanachama kisa wametofautiana kimawazo na mitazamo yao✍️
Filipino
13
4
39
4.7K
silva de boateng 17
silva de boateng 17@FestoKyando94·
@barackmtulo @EngMapundajr Kwani mchan hakuna ajal ulishawah endesha Gari usiku alaf barabarab iwe mbovu na ulishawah endesha Gari mchan alaf ukute barabar mbovu ukishajib ndio toa maelezo ya utofauti wa hii hali
Indonesia
1
0
0
8
Eng.Mapunda Jr
Eng.Mapunda Jr@EngMapundajr·
Hizi zote ni za Usiku wa kuamkia leo.,Acha tuendelee kuamini Busses kusafiri usiku hakuna tatizo tutafika tu tunapotaka kwenda 🤝
Eng.Mapunda Jr tweet mediaEng.Mapunda Jr tweet media
Indonesia
68
24
309
34.2K
The champ👑
The champ👑@fintanjr_·
Kama unauza Unga wa uji lishe, kuna mteja wako pale Millenium tower😂🔥.
The champ👑 tweet mediaThe champ👑 tweet media
Indonesia
80
72
590
32.3K
NGASSA+255
NGASSA+255@Therealngassa·
Nazani western Europe ndo mahala sahihi ambapo kuna mifumo mizuri na binadamu anatakiwa kuishi uko
Filipino
3
6
65
2.5K
JAGUAR.
JAGUAR.@Jaguar_455·
Hakuna siku mawazo ya watanzania yatafanana. Dkt EMMANUEL NCHIMBI 2030-2040.
JAGUAR. tweet media
Indonesia
4
2
29
2.9K
Sekenke One 🌻
Sekenke One 🌻@AlexSamoja·
Bro is cooking now-days 😄 🤣
Sekenke One 🌻 tweet media
English
7
9
120
2.1K
Rogath jr
Rogath jr@JayRogath·
Mox na baba yake Chura
Rogath jr tweet media
Português
31
29
99
2.9K
.
.@TonyJo01·
Nyerere ametuachia matatizo mengi sana ni vile wengi wenu hamjui.
Indonesia
20
31
151
6.2K
Real Nigger
Real Nigger@MrDepalitto9·
Ukitizima kwa jicho pevu utagundua huyu jamaa lengo lake ni kuuchafua Ukristo
Real Nigger tweet media
Indonesia
46
13
204
21.8K
its _Jordan
its _Jordan@laban72085·
@fintanjr_ Bro acha masengenyo kwa man of God kama haumu appreciate bro just stay away hutopungukiwa
Filipino
6
0
9
2.6K
Felix Mwenda
Felix Mwenda@arealfelix·
@Jaguar_455 Uyu jamaa ukimtazama tuu unagubdua anahofu sana ya Mungu, na anaona mambo mengi mabaya yanafanyika huko Juu lakini ndo hivyo
Indonesia
2
0
0
96
JAGUAR.
JAGUAR.@Jaguar_455·
Leo nimelala jioni kwa mara ya kwanza. Nimeota Dkt EMMANUEL NCHIMBI rais wa 2030-2040 amejiuzulu umakamu. Nimeshituka sana aisee anyway acha tuone itakuaje.
JAGUAR. tweet media
Filipino
11
1
41
4K
mkamalia
mkamalia@MwasegeYoh13805·
@BillyTronix1 Bila hat mamb meng kam huyo trafiki kakalili force number yake akamshataki hana kazi tena na kifungo juu hay majeshi yanasimamia nidhamu sana
Indonesia
4
0
3
2.4K
ROYAL TELEVISION
ROYAL TELEVISION@Royal_Tv_Tz·
Wakili msomi, Peter Madeleka, amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuwa kiongozi wa kwanza kulieleza taifa ukweli juu ya ghasia zilizotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Akizungumza na waandishi wa habari leo, Aprili 27, 2026, jijini Dar es Salaam, Madeleka amebainisha kuwa Rais alionesha ujasiri kwa kusema wazi kuwa matukio yaliyosababisha vifo na uharibifu wa miundombinu yalichochewa na watu waliopewa fedha kwa ajili ya kuvuruga nchi. ​Madeleka amesisitiza kuwa kilichotokea mwaka 2025 kilikuwa ni jaribio la mapinduzi ambalo lilidhibitiwa kwa weledi mkubwa na vyombo vya ulinzi na usalama. Amesema kuwa matumizi ya nguvu stahiki yaliyofanywa na vyombo vya dola yalikuwa ya lazima ili kuokoa taifa, kwani kama kusingekuwa na udhibiti huo wa haraka, hali ya amani nchini ingekuwa tofauti kabisa hivi sasa. ​"Ni lazima kuvipongeza vyombo vyetu vya dola kwa kufanikiwa kudhibiti jaribio la mapinduzi ndani ya siku mbili tu. Walitumia nguvu stahiki kuzuia mipango ya watu waliokuwa wamelipwa fedha ili kuleta machafuko," amesema Madeleka
Indonesia
42
14
120
16.1K