Prince Ndibalema

891 posts

Prince Ndibalema

Prince Ndibalema

@Mustaarabu

Prince-Ndibalema

Tabora, Tanzania Katılım Mart 2011
1.5K Takip Edilen208 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Prince Ndibalema
Prince Ndibalema@Mustaarabu·
Looking tto boost your income? I made $850/daay wiithh thiis bot. Here's hoow you can do it too. View on YouTubbe 👉️ youtube.com/watch?v=AOCqJp…
YouTube video
YouTube
Prince Ndibalema tweet media
English
0
0
1
18
Prince Ndibalema
Prince Ndibalema@Mustaarabu·
@Wisdom_HQ Are you looking for comments or what? What about Walter, Wayne, Weston etc?
English
0
0
0
3
Prince Ndibalema
Prince Ndibalema@Mustaarabu·
@PMadeleka Hawa ndo watufanya watanzania tuonekane hatuna akili. Imagine huyu ni waziri wako! Haibu naona mimi
Filipino
0
1
5
481
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Somebody tell me: If a president from Zanzibar (distinct in culture) uses militia and security forces to target and kill solely people of Tanganyika - what is the exact definition? Thousands including children have been killed and we have the photo and video evidence! The order included taking out male members of a household above the age of 15 Is this “post election” violence or massacre or genocide? The person who ordered this should be called a butcher, no? #SaveTanzania #TanzaniaMassacre #SamiaMustGo #MO29
Maria Sarungi Tsehai tweet media
English
199
2K
5.5K
438.7K
Jazee
Jazee@Charllote100·
🥱🥱
Jazee tweet mediaJazee tweet media
QME
40
10
204
22.1K
Gideon Mind kaija west
Gideon Mind kaija west@MindWest55471·
@ChademaTZ2 We kindly request the handler of this handle to use two languages for the common cause.(English and Kiswahili) I will be happy if my request is parentally accepted. Yours faithfully Gideon.
English
3
3
11
321
Rose Mayemba
Rose Mayemba@rose_mayemba·
Hawa mnaowalazimisha kuhama chama kwa ahadi mbalimbali, msipowatimizia mahitaji yao sijui itakuwaje!. Naona leo project itakamilika hapa kwetu.
Rose Mayemba tweet media
Indonesia
42
108
662
31.8K
Prince Ndibalema
Prince Ndibalema@Mustaarabu·
@muruteri @Sativa255 Umesoma alichoandika mtoa post ama umeruka ruka kama popcorn? Mzee Kibao wa Ununio unahihitaje ile kama kama missing person? Tulia mzee kuchangia sio lazima.
1
0
0
21
Kitenyi Mbita
Kitenyi Mbita@muruteri·
@Sativa255 sasa hapo kisichoeleweka ni nini!!!? tatizo mnaona kama mlivyojengwa kuona. mtu aliyepotea au missing person anaweza akawa ametekwa, ametoroka, kapata ajali, kapotea njia nk, hiyo ndiyo hoja yake ambayo iko sawa, lkn nyie sababu mmetazamishwa kila kupotea ni kutekwa tu hamkubali
Filipino
4
0
1
419
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
HIZI NDIO AKILI ZA VIONGOZI WENU NA WAANDISHI WENU. Msikilize SPIKA WA BUNGE akijibu swali la kwanini bunge Halijadili UTEKAJI unaoendelea nchini. Hoja yake kubwa imeegemea kwenye MIFANO ya watu waliodaiwa wametekwa na baadae wakapatikana (Maiti na makaburi yao) kwa WAGANGA WA KIENYEJI. Katoa mfano wa RUVUMA kuwa kuna watu walidaiwa wametekwa zikapatikana maiti Kwa mganga, katoa mfano wa singida , nyumbani kwa mganga walikuta MAKABURI 12. Kamaliza hapo. Hajataka kabisa kuongelea UTEKAJI uliofanyika kipindi hiki cha mwaka mmoja ambacho ndio HOJA ilipekekwa BUNGENI kuwa Polisi wanateka watu. Ila yeye anakuja na mifano ya miaka ya nyuma huko. Sawa ACHANA na swala langu mimi sativa huenda anaweza kusema NATUNGA ni muongo kwasababu nipo HAI bado. Swala la utekwaji wa DEUSDEDIS SOKA ambae aliitikia WITO wa mkuu wa kituo cha polisi akaenda na rafiki zake wawili waliomsindikizs na mpaka leo Hawajawahi kurudi hili anamaoni gani? Waandishi wameshindwa kumuuliza, ushahidi mpaka wa MESEJI upo. Swala la MZEE ALI KIBAO ambae alishushwa ndani ya BUS ambapo ndani ya bus kulikuwa na Askari wa usalama barabarani bado watekaji wakazuia gari katikati ya barabara mchana kweupe na kumshusha MZEE KIBAO na kutokomea nae nalo ni UTUNZI? Waandishi wapo kimya wanasikiliza USENG huu. Swala la ABDUL NONDO ambae gari lililohusika kumteka magufuli bus Stabd lilionekana kabisa kituo cha polisi huko MBEZI baadae kaja kupatikana COCO BEACH akiwa ameteswa na kuumizwa sana Nayo ni SINEMA? Ushahidi upo na waandishi wenu wapo kimya wanamsikiliza huyu PUNGUANI. Swala la MDUDE ambae ushahidi wa KUTEKWA KWAKE , watekaji ambao ni polisi wa ofisi ya RCO mkoa wa mbeya tumewataja kwa majina SHABANI NA VEDASTUS kuwa walitangaza pesa nyingi kwa mtu atakaeonyesha wapi mdude anaishi wanataka kufanya UJAJUSI. Ushahidi upo na kila kitu kinafahamika waandishi wapo kimya wanamsikiliza tuu huyu kuma. Uzuri saizi hata nyie kwa nyie CCM mnatekana kwahiyo haina shida, yule MNEC MWANZA mwezi na week kadhaa sasa hakuna majibu alipo. Endeeleeni ila YANA MWISHO. Hawa ndio wasomi wenu wanaowaongoza, ndio mnaowategemea wakomeshe UTEKAJI ndio hawa. #TUTAKUWEPO🫵🏾😎
Filipino
116
84
417
45K
Ismail
Ismail@189ismail_·
@ItsKamala Sio kwamba anazungumza unachopenda kuskia?
Deutsch
1
0
0
29
Kamala Dickson
Kamala Dickson@ItsKamala·
Mzee Warioba anaongea vitu vizito kwa Jemima, Unaweza msikiliza zaidi ya masaa 8 anaongea na Kufanya referencies kwa wakati kabla ya Uhuru, Uhuru na sasa ana mifano ya mataifa mbalimbali na namna walivyochomoka kwenye mkwamo, Taifa lina hazina
Indonesia
11
52
505
13.2K
Chogorito
Chogorito@chogorito·
@fatma_karume Katafute nchi yenu, hii nchi yote ni CCM na walijua hilo.
Filipino
5
0
0
1.3K
fatma karume aka Shangazi
fatma karume aka Shangazi@fatma_karume·
Kesi ya Tundu ni SARKASI ya KISIASA. DPP anafanya Siasa. Tanpol wanafanya Siasa. Magereza inafanya Siasa. Mahakama inafanya Siasa. Hakuna SHERIA hapa! No SIASA HOVYO! Nimefurahi kuona Wanasheria wa Tundu wameanza kufanya SIASA pia kwa ku-prosecute Hii kesi kwenye PUBLIC ARENA!
Indonesia
55
455
2K
70K
Mwalimu wa kiswahili
Mwalimu wa kiswahili@KiswahiliW48827·
@ChiefLumanyika Huyu sio mwanaharakati ni mwanasiasa, mwanachadema. Mwanaharakati haegemei upande wowote, hawi mwanachama wa chama cha siasa.
Indonesia
3
0
10
2.3K
Shasila Nabipa
Shasila Nabipa@Shasilanabipa·
Huyu ndie mwanaharakati wa muda wote humu ndani,Hakuchagua kuficha sura yake Kama alivyofanya kigogo Wala hakuchagua kukimbia nchi amepambana kusema kweli hata nyakati zile za GIZA, Tumpe retweet 1000
Shasila Nabipa tweet media
Indonesia
72
735
2.6K
72.2K
Mwesiga Credius
Mwesiga Credius@mwesiga_credius·
@YerickoNyerereT Umefanyiwa ujasusi ambao inabidi tuendelee kuuandikia vitabu vingine kaka 😄😄😄😄
Eesti
1
0
2
444
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Nimeyashuhudia matokeo, Wanachadema mmeamua kwa kura, Niwapongeze Mwenyekiti Mpya Mh Tundu Lissu, na Makamu Mwenyekiti Mh John Heche kwa ushindi huu. Niwatakie utumishi mwema wa Chama chetu. Na Yericko Nyerere
Yericko Nyerere tweet media
Filipino
857
160
3.2K
190.2K
Severine Alphonce
Severine Alphonce@SAlphonce·
@MsigwaPeter Ndoa yako mpya inamateso? Mbona kila siku uko kwa jirani? Au ndo kusema uko kwenye mateso magumu?
Filipino
1
0
2
663
Peter Msigwa
Peter Msigwa@MsigwaPeter·
Hii stronger together ya uongo kabisa. Wapo kimwili pamoja ila kila mtu yuko kivyake.🤣🤣🤣
Peter Msigwa tweet media
Filipino
404
67
2.2K
132.4K
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Hata tukiweka inflation na mazingira, jibu linakuja hili?🤔🤔🤔🤔
(---) Onesmo Mushi tweet media
Indonesia
13
7
42
3.9K
Mwesiga Credius
Mwesiga Credius@mwesiga_credius·
@EduTalkTz Bilioni 200+ kwa watu 30,000 na bilioni 60+ kwa mashabiki 60,000😳😳🙆 hii kweli ndo maana halisi ya kula kwa urefu wa kamba yako!!!
Filipino
1
0
1
86
Fortunatus Buyobe
Fortunatus Buyobe@fbuyobe·
Mbona hili begi halikufunguliwa? Lina kazi gani ndani ya ukumbi wa kupiga kura?
Indonesia
129
171
1.4K
162.8K
Backbencher@255
Backbencher@255@back_bencher255·
@TheChanzo Mbona wanatuchanganya jamani, sasa hapa nani kamfunika mwingine 😂
Indonesia
3
0
4
1.8K
The Chanzo
The Chanzo@TheChanzo·
Shangwe la Mbowe na Lissu wakiingia kwenye mkutano wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA)
Indonesia
45
51
352
42.2K
Godson Salema
Godson Salema@godson_salema·
@TheChanzo . sarcasm ya hali ya juu.nyimbo inayoimbwa inamuongelea mwamba tuvushe..lkn anaeichezaa zaid ni ATL.
Indonesia
1
0
18
1.7K
The Chanzo
The Chanzo@TheChanzo·
Mbowe na Lissu wakifurahia katika mkutano mkuu wa wanawake CHADEMA
Indonesia
116
139
799
159.2K
Cuthbert Sweetbert
Cuthbert Sweetbert@CuthbertSweetb2·
@TheChanzo Wimbo ni Mbowe tuvushe lakini mwenye kufurahia wimbo na kucheza kwa shangwe ni mwingine 😀😀
Filipino
6
1
8
2.9K