Patroba Bundala Maga

959 posts

Patroba Bundala Maga

Patroba Bundala Maga

@PatrobaMaga

Katılım Temmuz 2017
414 Takip Edilen79 Takipçiler
Patroba Bundala Maga
Patroba Bundala Maga@PatrobaMaga·
@HildaNewton21 @ChangeTanzania @SuluhuSamia Alisema Askari pekee watakaokuwa barabarani ni JESHI la Polisi, na vyombo vingine vya usalama. Akaongeza kuwa watakuwa na "KAZI MAALUMU". sasa tuwaulize hiyo kazi MAALUMU ni ipi? Na hivyo vyombo vingine vya usalama ni vipi?
हिन्दी
2
1
2
293
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Nduli Idd Amin Mama @SuluhuSamia unasema CHADEMA ndo iliuwa watu Oktoba 29. Nakukumbusha tu kwamba baada ya IGP Wambura kutoa hili Tangazo. Vikosi vyako yani Jeshi la Polisi, TISS, KMKM na Wanajeshi uliowakodi kutoka Uganda waliingia mitaani na kuanza kupiga risasi kila waliyemkuta barabarani kwa siku tatu mfululizo. Mmeuwa Watanganyika wenzetu zaidi ya elfu kumi halafu badala ya kuwajibika mnataka kuibebesha Lawama zote CHADEMA mnadhan kwamba Watanzania ni wajinga. Wewe hangaika weeeeee ila mwisho unatakiwa kujua kwamba DUNIA yote inajua kwamba wewe ni MUUAJI.
Filipino
17
148
566
32.7K
Patroba Bundala Maga
Patroba Bundala Maga@PatrobaMaga·
@PMadeleka Ndugu @PMadeleka kwanini Hawa wasema ukweli hawausemi ukweli Kwa kipindi kinachotakiwa/muda sahihi? Wanakija kusema baada ya muda mwingine kupita, je huo sio unafiki??? Hii ni sawa na kutaka maridhiano baada ya Uchaguzi kupita.
Indonesia
1
1
2
275
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
Daktari JUMA NGASONGWA ndiye Mwanachama PEKEE wa Chama Cha Mapinduzi ambaye ni MKWELI na ANAAMINIKA SANA. Soma hapo 👇
Peter Madeleka tweet media
Filipino
3
17
129
9.4K
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limesema lanamshikilia Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Mbeya Masaga Pius Kaloli, Mkazi wa Wilayani Chunya na Mwenyekiti wa BAVICHA Mkoa wa Mbeya Elisha Evaristo Chonya, Mkazi wa Makunguru Mbeya kwa tuhuma za kuhamasisha watu kufanya mkusanyiko isivyo halali Taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi mkoani humo SACP Benjamin Kuzaga imesema watuhumiwa walikamatwa leo Januari 21,2026 saa 9 alasiri katika Kijiji na Kata ya Inyala, baada ya Jeshi la Polisi kupata taarifa za uwepo wa viongozi hao katika eneo hilo wakifanya maandalizi na wakiwahamasisha watu kukusanyika kufanya mkutano bila kufuata taratibu za kisheria zinazo elekeza mtu au watu wanaotaka kufanya mikusanyiko au mkutano wa hadhara afanye nini kabla ya kuanza maandalizi na kufanya mkusanyiko husika. Aidha taarifa hiyo imeeleza kuwa viongozi hao wanakiuka amri ya mahalama kwani CHADEMA imezuiwa kufanya shughuli zozote za kisiasa. “Pamoja na kukiuka kwa makusudi taratibu hizo za kisheria, ikumbukwe kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimezuiliwa na Mahakama kufanya shughuli zozote za kisiasa” imesema taarifa. Aidha taarifa hiyo imesema upelelezi unakamilishwa ili watuhumiwa kuweza kuchukuliwa hatua zaidi za kisheria. Leo majira ya mchana zimeenea video katika mitandao ya kijamii zikiwaonyesha viongozi hao ambapo Masaga alikuwa ameva sare za CHADEMA za khaki na Elisha akiwa amevaa kofia nyeusi na t-shirt ya CHADEMA ya bluu kisha baadae walikamatwa na kuondoka na polisi.
Jambo TV tweet media
Indonesia
25
7
125
10.7K
Think Different
Think Different@lifeofmshaba·
Hii ni leo hofu iko juu sana sana mtawala amepaniki
Think Different tweet mediaThink Different tweet mediaThink Different tweet media
Polski
38
74
659
32.3K
Patroba Bundala Maga
Patroba Bundala Maga@PatrobaMaga·
@FeliusFesto @davitheempire Unaofanyika sasa ni mzaha. Tufanyie kazi mapendekezo ya tume zilizoongozwa na Jaji Nyaraki mpaka tume ya Warioba. Hiki ndicho kinatakiwa na si maneno matamu yaliyokosa vitendo au utekwlezaji
Indonesia
0
0
1
16
Felius Festo
Felius Festo@FeliusFesto·
Changamoto za vijana hazitatuliwi na Motivation speaker au chawa anayehongwa uongozi baada ya kuongoza kampeini nyingi za kuimba pambio za kusifu. Matatizo yanayowakumba vijana yanahitaji uwajibikaji, ukweli, Haki na ushirikishwaji kutoka kwa wenye uhalali wa kuwa viongozi.
Felius Festo tweet mediaFelius Festo tweet media
Indonesia
3
8
58
831
Patroba Bundala Maga
Patroba Bundala Maga@PatrobaMaga·
@Sativa255 Kinachofanyika ni kama kuwapotezea watanzania wasifocus na mambo yaliyojitokeza kabla, wakati na baada ya Uchaguzi. Kinachofuata n kuwasikiliza vijana halafu hakuna hata moja litakalofanyiwa kaz Rejea majadilianao yaliyokwishafanyika, rejea tume zilizokwiahafanyika. Huu ni mzaha.
Indonesia
0
0
0
152
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Daah nimeamka na hii clip nimesisimka. Hawa ndio VIJANA ambao tunaambiwa waliandamana kwa kufuata MKUMBO? Wakoloni weusi lazima wajue hawa vijana sio watanzania wale waliowaongoza zama za MAWE. Na hiki anachofanya JOEL - WAKOLONI WEUSI lazima watamzuia maana HAWAKIPENDI. NB: MBEYA MOJA HIYO. TUTAKUWEPO🫵😎
Indonesia
59
261
1.1K
41.1K
ROYAL TELEVISION
ROYAL TELEVISION@Royal_Tv_Tz·
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla amekutana na Viongozi wa dini na wa kimila kutoka Mkoa wa Arusha, akitoa Rai kwa Viongozi hao kuendelea kuhubiri amani kwa waumini na wafuasi wao pamoja na kuiombea nchi ya Tanzania. CPA Makalla kando ya kujadiliana masuala mbalimbali na Viongozi hao wa dini katika ujenzi wa jamii yenye amani, upendo na mshikamano, alishiriki sala na dua maalumu iliyoongozwa na Viongozi wa dini na madhehebu mbalimbali akiwemo Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Arusha Sheikh Shaaban Bin Juma na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya maridhiano ya amani Tanzania Dkt. Israel Ole Maasa. Rc Makalla amesisitiza umuhimu wa Viongozi hao pia kuendelea kuhubiri kuhusu amani na kushirikiana na waumini wao kuliombea Taifa la Tanzania, Viongozi hao wa dini wakiahidi pia kushirikiana na serikali katika kuhakikisha jamii inakuwa na amani na mazingira tulivu. "Muhimu kuhubiri kuwa hakuna nchi nyingine zaidi ya Tanzania na ili tusonge mbele katika maendeleo ni muhimu kuendelea kuwa na amani na utulivu kwahiyo kila mmoja wetu arejeshe matumaini na maombi hayo kwamba Watanzania tunahitaji amani hivyo sala na maombi yetu kwa Mwenyenzi Mungu ni amani na sisi serikali tutaendelea kupokea ushauri wenu na kuufanyia kazi." Amesisitiza Mhe. Makalla. Viongozi hao wa dini katika maombi yao, wameombea amani ya Tanzania na kuwaombea Viongozi wakuu wa Tanzania wakiongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na wasaidizi wao wa ngazi mbalimbali akiwemo Mhe. Makalla wakimuomba Mwenyenzi Mungu awape baraka, nguvu na utashi zaidi katika kuwatumikia watanzania na kuhakikisha Tanzania inabaki salama.
Indonesia
14
1
11
2.3K
Patroba Bundala Maga
Patroba Bundala Maga@PatrobaMaga·
@ngurumo Ikiwa ndivyo ilivyokuwa, basi Uchaguzi ulipaswa urudiwe. Lakini kwa sababu ya katiba tuliyonayo hayo ndio yametokea
Filipino
0
0
0
542
Ansbert Ngurumo
Ansbert Ngurumo@ngurumo·
WATAALAMU WA VERIFICATION MTAIWEZA HII? NIMEIPATA MAHALI: Waliopiga kura walikuwa 7%. INEC ikashauri watangaze 62%. Mgombea akasema amepata zaidi ya 95% kwani watu wanampenda sana; kwamba watangaze anything between 95% and 100%. INEC ikaamua kutangaza 97%. The rest is history.
Filipino
52
153
735
46.8K
Patroba Bundala Maga
Patroba Bundala Maga@PatrobaMaga·
@Sativa255 Ni sahihi, vifaa vimegawanywa katika mikoa tofauti na hii ilitokea baada ya jaribio la kumpindua JK Nyerere ndio wakaamua kuvitawanya.Tumesalitiwa na tuliowategemea (Jeshi la wananchi) Tujipange kivingine (japo wapo wachache walioumizwa) lakini haijasaidia maana watz wameuawa
Indonesia
1
0
0
1.1K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Kwa jinsi alivyoelezea MANGE tuna jeshi la Kisenge sana. Yale mavifaru yanayozunguka mitaani kumbe hamna kitu mabomu yake yapo songea. Hayo mabunduki wanayotamba nayo , risasi zake zipo mkoa mwingine wao wamebebeshwa MATOY kama watoto. Ndiomaana wakashindwa kuchukua nchi. Kiufupi HATUNA JESHI ni wasenge tuu Waliovimbiana.
Filipino
111
324
2.5K
94.3K
Patroba Bundala Maga
Patroba Bundala Maga@PatrobaMaga·
@Mwabuk2Boniface Mr. President uko sahihi sana. Lakini je ushauri utazingatiwa?? Watu waliosema wao ni viziwi, je watasikia?? Watu waliosema atakayeandamana avunjwe vunjwe watakuwa tayari?? JWTz lilikuwa na wananchi lakin ghafla likawaacha. Hatupo salama katika nchi yetu. Tulipoishia tuanzie hapo
Indonesia
0
1
4
1.1K
Boniface Mwabukusi
Boniface Mwabukusi@Mwabuk2Boniface·
KABLA YA MAZUNGUMZO LAZIMA WALIOPANGA,KUFADHILI NA KUENDESHA MAUAJI YA RAIA WA TANGANYIKA NA KUHUSIKA NA MPANGILIO WA UTEKAJI NA UPOTEZAJI WA RAIA KABLA,WAKATI NA BAADA YA UCHAGUZI WAKAMATWE NA KUFIKISHWA MAHAKAMA YA KIMATAIFA KWA UHALIFU DHIDI YA UBINADAMU. WATU WOTE WALIOTEKWA NA KUPOTEZWA WAREJESHWE NA KUUNGANA NA FAMILIA ZAO NA KUACHIWA MARA MOJA KWA TUNDU LISSU NA KUONDOLEWA KESI ZOTE ZA UONEVU DHIDI YA CHADEMA NA VIONGOZI WAKE. KUTAFUTA MAZUNGUMZO SASA KABLA YA UWAJIBIKAJI NI KUTUKANA NDUGU ZETU WALIO UWAWA BILA HATIA NA KUBARIKI UDHALIMU. KILA MMOJA ABEBE MSALABA WAKE KWANZA NA AWAJIBISHWE KWA NAMNA ALIVYO SHIRIKI MAUAJI HAYA YA RAIA WASIO NA HATIA .HAKUNA KUSAFISHANA. BAK MWABUKUSI. PRESIDENT - TLS
Indonesia
172
671
2.7K
98K
Adamoo
Adamoo@Addy_Adams·
JWTZ salute sana wakubwa 🔥🙌🙏🏼👊
Filipino
5
52
326
9.5K
Tanzania Abroad TV
Tanzania Abroad TV@AbroadTanzania·
Watoto wa Mkuu wa Usalama wa Taifa wanaanika Ufisadi wa mzee wao na wanakutia dole mtanzania anyway
Indonesia
32
123
472
16.3K
Patroba Bundala Maga
Patroba Bundala Maga@PatrobaMaga·
@Herculses Ikiwa alikataa kwanin asingeamuru hilo kontena lishikiliwe na JWT? Kuliacha tu manake usalama wa nch upo mashakan, usalama wa raia ndio utakosekama kabisa! Kuliacha ama amethibitisha kuwa kuna vikundi ama ameamriwa kutoka juu. Ingekuwa bora zaidi kwenda nalo makao makuu ya jeshi.
Indonesia
2
3
46
3.8K
Hercules🇰🇪
Hercules🇰🇪@Herculses·
Jacob John Mkunda ni afisa wa kijeshi wa Kitanzania ambaye kwa sasa anahudumu kama Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania tangu tarehe 30 Juni 2022 mpaka sasa. Huyu ndio Mange alimtaja na kusema alikataa kuhidhinisha kontena la silahaa kali kutoka bandarini. Note Allegedly
Hercules🇰🇪 tweet media
Filipino
60
126
730
39.3K
Janeth Joel Rithe
Janeth Joel Rithe@JaneRithe·
Waliosusia uchaguzi, NRNE Ni wafuatiliaji wazuri wa uchaguzi walioususia, Ni wachambuzi wazuri wa uchaguzi walioususia, Wanafuatilia michakato ya wagombea vyama vinavyoshiriki
Janeth Joel Rithe tweet media
Indonesia
12
2
10
813
Patroba Bundala Maga
Patroba Bundala Maga@PatrobaMaga·
@EduTalkTz Hapa kuna watu walijiandikisha kupata kitmbulisho (ongeza hapo kuwa ulijiandikisha kupata kitmbulisho??) lakini hatapiga kura
Filipino
0
0
0
25
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
TUJARIBU KUFANYA TRIANGULATION Umejiandikisha kupiga kura?🤔
Indonesia
6
6
16
2.1K
Fortunatus Buyobe
Fortunatus Buyobe@fbuyobe·
Nawakumbusha tena, October mbali Nimepata maono usiku wa jana. Mungu kachukia sana. Kila mtu aombe kwa imani yake tuepushwe na kikombe hiki.
Filipino
138
235
2K
71.3K
Patroba Bundala Maga
Patroba Bundala Maga@PatrobaMaga·
@fatma_karume @fatma_karume nafikiri haina ulazima wa wewe na mnaoamini kuwa Uchaguzi hautazuiwa. Just subiri muda ufike utaona namna uchaguzi utakavyozuiliwa. Vinginevyo wewe endelea kuhubiri unachokiamini
Indonesia
0
0
0
141
fatma karume aka Shangazi
fatma karume aka Shangazi@fatma_karume·
Kuna Majimbo 272 na vituo vya kupiga kura 80,155 #Tanzania. Nielezeni mtasimamisha UCHAGUZI vipi nchi nzima? Come on let’s be realistic. This is not SOCIAL MEDIA! It’s GRASS ROOT MOBILISATION on a scale that has never been done before! It’s possible but highly improbable.
English
261
48
642
95.1K