Peter2669

251 posts

Peter2669 banner
Peter2669

Peter2669

@Praise20052890

Hustler putting God first

East Africa Katılım Mart 2024
57 Takip Edilen3 Takipçiler
Peter2669 retweetledi
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Hatutaki maridhiano, na hilo dili la energy, mkirudi nyuma few weeks ago mtaona niliongelea hili.
Filipino
24
170
950
22.6K
Palamasya
Palamasya@palamasya·
@mangekimambi Yes, Halima Mdee , respect kwakwe ila Kubusu kaburi la Jiwe was too much!
Indonesia
2
0
3
1.6K
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
Wasameheni ili kupunguza nguvu ya opposition dhidi yenu na kuongeza nguvu, mpo vitani you need as many upande wenu as possible ila muwaweke back bench kabisa. Yani wawe wanapika chai au kufagia ofisi ila msiwape nafasi yoyote ya kuwa watu wa muhimu ndani ya chama. Yani fanyeni kama chama cha mauaji (CCM) kilivyofanya baada ya uchaguzi wa 2015. Walisamehewa wasaliti wakarudi kwenye chama ila wakatupwa back bench huko. I think only 1 person deserves forgiveness ya Chadema na kurudi kwenye nafasi ya uongozi iwapo ataomba msamaha vizuri, huyu ameonyesha regret kwa kutokutafuta nafasi kwenye chama cha mauaji 2025. I think wote tunamjua, Ila wengine wakirudi warudi kufagia ofisi hata huku online hatutaki kuwasikia.
Hilda Newton@HildaNewton21

ONCE A TRAITOR, ALWAYS A TRAITOR. Waliondoka kwa mbwembwe nyingi wakakitukana sana Chama pamoja na Viongozi wetu matusi ya kila aina. Wengine wakaenda mbali zaidi wakaanza kusema #NoReformsNoElection ni uhaini, wakawa wanasema wanashangaa inakuaje Serikali haimkamati Mhe. Lissu wakati anahamasisha UHAINI hata haikuchukua muda Mhe. Lissu akakamatwa na kupewa kesi ya Uwongo mpaka leo ni zaidi ya Mwaka mmoja yupo jela. Walisema CHADEMA imepoteza mwelekeo mara sijui CHADEMA ishajifia bora waende huko wakatimize ndoto zao kisa waliambia watapewa majimbo 20 na Viti maalum 25. Mungu alivofundi walikula kofi la uso wakaangukia pua sasa baada ya kukosa Ubunge kama walivoahidiwa leo wanajifanya wameweka mikono nyuma, wanaomba kurudi kwenye CHAMA as if sio wao waliokua wanatukana mitusi na kudhalilisha Viongozi wetu. Hawa watu sio wakuwachekea maana msaliti ni msaliti, kama waliweza kutusaliti jana unadhan nini ambacho kitamzua kutusaliti leo/kesho..?

Indonesia
73
105
808
79.1K
Peter2669 retweetledi
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
Chadema pokeeni huu mchango wangu ambao umetokana na pesa ambazo Watanzania wananipa kupitia subscription za Mange Kimambi App na subscription za account ya Instagram ambayo imefungwa ( ni maajabu account imefungwa ila bado wananikusanyia mapato kila mwezi na kunitumia). Hizi pesa mmpewa na Watanzania sio na Mange Kimambi maana bila Watanzania hii pesa nisingekuwa nayo. Ahsanteni sana Watanzania kwa kuendelea kulipia subscription za Mange Kimambi app, although sijaweka habari zaidi ya miezi 9 sasa. Na pia Ahsanteni ambao hamja cancel subscription za page yangu ya instagram iliyofungwa (@mangekimambi80) nawaomba msicancel. Watanzania, Chadema hawatoweza kutusaidia kudai haki kama hawana pesa yoyote. Ni lazma sisi wananchi tuwachangie. Kama jinsi mlivyojiunga kwenye subscribption za Mange Kimambi app naomba mjiunge na subscription za Chadema. Imagine Kama Watanzania laki 2 tu mkijiunga subscription ya elfu 3 tu kwa mwezi, hiyo ni milioni 600 kila mwezi kwa Chadema. Pia bila pesa hakuna movement ya maana Chadema wataweza kufanya. Wauwaji wanakodi zetu wanazitumia kushikilia nchi bila ridhaa yetu. Ni lazma tuwawezeshe Chadema.
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸 tweet media
Godbless E.J. Lema@godbless_lema

Ndugu wanachama wa CHADEMA na Wapenzi wa Demokrasia Nchini. Chama chetu kimefunguliwa rasmi kufanya shughuli za siasa. Hii ni fursa muhimu katika kuendelea na mapambano ya haki, uhuru na uwajibikaji katika Taifa letu. Lakini ukweli usioepukika ni huu hatuna ruzuku hata ya SENTI MOJA. Hii ina maana kwamba uhai, nguvu na uendelevu wa CHADEMA uko mikononi mwetu sisi wenyewe. Hatuna budi kuchukua jukumu. Hatuna budi kusimama. Hatuna budi kuchangia. Kila Mwanachama na kila mpenda Demokrasia ana wajibu wa moja kwa moja, kuchangia CHADEMA. Usione mchango wako ni mdogo. Usisubiri mwingine achukue nafasi yako. Kila senti unayotoa ni nguzo ya kusimama kwa chama hiki. Tujenge utamaduni wa kuchangia bila kusukumwa. Tujenge tabia ya kusaidia chama kila wakati. Hapo ndipo tutakapopata uhuru wa kweli wa kisiasa na kiutendaji. Mimi nipo, na nimeanza. Na wewe pia ni wakati wako sasa. Chukua hatua. Anza kuchangia. Simama na CHADEMA. Kwa pamoja, tutakijenga chama imara na Yaifa lenye HAKI. Tuchange tu kwa namba maalumu za CHAMA na Akaunti za Benki ili kujenga uadilifu wa Taasisi Imara. Mikakati zaidi inakuja baada ya vikao kuanza. Asanteni.

Filipino
129
501
2.4K
158.7K
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Ujumbe maalumu kwa Wanachadema wanaoendelea kung’nga’nia ndani ya Chama kilichopoteza dira/kilichokufa wakijidanganya na kujilisha upepo eti chama kiko mioyoni mwao….! Hotuba hii inaishi miaka 13 sasa tangu atoe hotuba hii 2 Septemba 2012 Mh Freeman Aikaeli Mbowe Nakusisitiza ondoka kwenye chama hicho njoo @ChaummaT ufanye siasa zilizopevuka, Wanaharakati uchwara wazikuzubaishe ukapoteza ndoto zako kisiasa. Ndoto na matumaini ya Watanzania yako CHAUMMA chama bora kuliko vyote nchini kwa sasa!
Indonesia
70
5
21
9.8K
Shedrack Richard
Shedrack Richard@ShedrackRi54114·
@YerickoNyerereT Weka na hii mke mdogo wa mbowe hapa unapita km unaaga maiti tukutane ground Mzee baba wananchi wakaamue mama mbowe
Shedrack Richard tweet media
Indonesia
4
0
8
591
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Chadema hawajatoa tamko tu? Tuwasubiri wamalize kilio chao mahakani Dom na Side Boy😂 “Wafanyabiashara wameficha mafuta Kenya HATUTAKUBALI” ~~~ John Heche
Yericko Nyerere tweet media
Indonesia
76
11
34
12.1K
Shedrack Richard
Shedrack Richard@ShedrackRi54114·
@mangekimambi Amen shangazi sijui ss hv hii nyumba ndogo ya Mugabe wa machame ina hali gani uko iliko ss tukutane ground mtu kwa mtu
Shedrack Richard tweet media
Indonesia
6
0
18
2.2K
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
Hongereni sana Chadema. Sasa kazi ipigwe mpaka wapaniki tena…….. Tunachokitaka kwenye nchi yetu ni haki, haki ya wananchi kuchagua madiwani wao, wabunge wao, Rais wao na chama chao. Tunataka haki ya uchaguzi huru na wa haki. HAKUNA AMANI BILA HAKI. HAKI KWANZA AMANI ITAFATA YENYEWE!!!!
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸 tweet media
हिन्दी
41
364
1.9K
37K
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
Tonight, I had the pleasure of having dinner with the legendary @LarryMadowo, my Kenyan brother. We covered a wide range of topics, from Tanzania’s October 29th massacre and where the country stands today, to what lies ahead and Meta’s removal of my accounts. It was a deeply engaging and productive evening. It was a true honor to meet in person a journalist who works without fear, using his voice to speak for those who cannot.
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸 tweet mediaMange Kimambi 🇹🇿🇺🇸 tweet mediaMange Kimambi 🇹🇿🇺🇸 tweet media
English
134
679
4.8K
153.7K
Rafael Santiago
Rafael Santiago@RaphySantiag·
We are not politicians,’ says the man currently engaged in a public, high-stakes political feud with the President of the United States. If you aren't political, why are you commenting on foreign policy, crime, and your ‘fear’ of the administration? The only thing 'not political' here is the logic!
English
4
4
32
672
CBS News
CBS News@CBSNews·
Pope Leo says he has "no fear of the Trump administration" after he was asked about President Trump's Truth Social post calling the pontiff "weak on crime, and terrible for foreign policy." "We are not politicians, we don't deal with foreign policy with the same perspective he might understand it, but I do believe in the message of the Gospel, blessed are the peacemakers."
English
668
1.3K
7.1K
1.5M
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Aisee sasa hicho chama kitabaki na kina nani kila siku wenye akili nzuri wanaondoka….. Narudia kuwaambia mnaoendelea kukomaza mafuvu eti chama kiko moyoni mwenu, Hakuna mtu mwenye akili timamu anayefanya siasa ataendelea kubaki ndani ya Chadema chama kilichopoteza dira na mwelekeo na kugeuka kuwa genge la wanaharakati uchwara waanaoamini katika matusi na fujo….. Wenje akili timamu wote tuko @chaumma_tanzania tunafanya siasa zilizopevuka, siasa za hoja, siasa zenye kujenga taifa, siasa siasa zilizobalehe na kuvunja ungo. Na Yericko Nyerere
Yericko Nyerere tweet media
Filipino
149
9
42
16.4K
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
Aisee basi Iran hakuna jeshi ila kuna watu wenye midomo kama kimama. Iran kuna wachambaji kama ZNZ ila hakuna jeshi pale. I’m sorry ila kweli ,nchi ambayo zaidi ya wiki sasa inatamba kuwa inawasubiria wanajeshi wa Marekani watue kwenye ardhi yao. Nchi ambayo inatamba kuwa imejiandaaa kwa vita hii kwa miaka 40, kweli imeshindwa hata kumteka pilot mmoja wa Marekani aliedondokea ndani ya ardhi yao? Kweli Trump kaweza kumuokoa pilot wake deep inside Iran?? Aiseeee, inabidi hata team wauwaji wa waaandamanaji A.K.A team Islamic Republic impigie makofi the best American president EVER!!!!! @POTUS @realDonaldTrump
Axios@axios

BREAKING: U.S. special forces rescued the second crew member of the F-15 fighter jet that was shot down over Iran, three U.S. officials tell Axios. axios.com/2026/04/05/ira…

Filipino
80
63
626
80.3K
HueyFreeman
HueyFreeman@padrinocaesar·
@mangekimambi Dada kwa hapa tuwe tofauti. Hivi ulishawahi kuona mainstream media za west zikisema ukweli? ( hao ni millard ayo wa uzunguni). Hebu niambie kwa bombardments zite za Iran into Israel and co wanakuambia tu ' so and so people injured'. Hakuna death tolls. Do you believe that?
Indonesia
5
0
41
6.7K
Hustler
Hustler@Feudal70·
@OptimistTz @mangekimambi 12-day war 11 top IRGC commanders died on the same day. No top-ranking IDF soldiers died. Iran launched ballistic missiles without targets, while IDF took over the Iranian sky. Also, Khamenei slept inside a bunker. Iranians marched to demand him to show up, the war is over😂
English
2
0
6
401
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
OMG! OMG! @Meta has unsuspended my WhatsApp account, +1 424 537 3057. For those who don’t understand the important of regaining access to this number is that, this is the number that Tanzanians were using to secretly share photos and videos of the election massacre that saw over 10,000 Tanzanias get killed. You can scroll down this page to see the photos and videos of the killings. My Instagram accounts @mangekimambi80 @mangekimambi_ and my news media page @wananchiforum and my facebook accounts @mangekimambi@hotmail.com remain disabled. I would like to thank every single person who is working behind the scenes to ensure @meta does the right by Tanzanians by reinstating my accounts. I would also like to thank members of congress who are taking the time to help us regain access to these pages. Watanzania account yangu ya whatsapp imerudi hewani mchana huu. Bado siamini. Naomba muambiane huko instagram na tiktok kuwa WhatsApp ya taifa imerudi hewani +1 424 537 3057 Tanzanians let’s keep pushing mpaka tuzipate page zote ili tuendelee kupambania uhuru wetu
English
119
785
3.5K
194.6K
Listen To Me
Listen To Me@Now_Listen1·
Dada @mangekimambi I oppose any country invading another. What the U.S. did in Venezuela is not liberation...it’s a violation of sovereignty!! Real change comes from within, not from foreign force. History is clear: no nation has ever been sustainably liberated by drones, but by the determination of its own people. Tanzania’s salvation will come from Tanzanians.
English
24
4
69
7.8K
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Baba wa Siasa, Baba wa Hekima na Busara, Baba wa Amani…. Sisi vijana wako tunaamini kwamba ungekuwa bado kiongozi wa kisiasa hakika Watanzania wasingeuawa 29 Oktoba 2025, Sisi vijana wako tunaamini kwamba ungekuwa kiongozi wa kisiasa Taifa lisingeingia katika mgogoro na mkwamo huu. Sisi vijana wako tunaamini Watanzania walifanya makosa kukukosa, na taifa linajuta kukukosa. Sisi vijana wako tunakuombea uendelee kutulia, uendelee kulea wajukuu kama walivyotamani iwe na ikawa, Endelea na maisha yako nje ya siasa. Wewe ni baraka muhimu ya taifa uliyekuwa kiunganishi imara kati ya hasira ya umma na hekima ya taifa. Sasa taifa limepatikana, wawashindi wanahofu, wamekosa tumaini majuto yako vinyani mwao. Endelea kuifaidi furaha ya dunia ukiwa nje ya siasa baba. Wale vijana uliowaamini hata katika nyakati ngumu, wale vijana uliowafungulia dunia wakaitwa watu mbele za watu, wamekusaliti na wanaendelea kukudhalilisha mchana kweupe, Haujawahi kuwa na kisasi, wala hujawahi kutufundisha visasi. Baba ukimya wako ni adhabu kubwa kwa maadui zako. Tuliowema kwako tunafurahi tuonapo majibu ya karma. Sisi vijana wako uliotuleta na kutufunda, tutakuenzi na kuilinda legacy yako daima. Wewe ni Baba wa siasa na hekima za nera Afrika. Heri ya Mwaka mpya Mh @freemanmbowetz
Yericko Nyerere tweet media
Indonesia
226
13
111
68K
Fátima
Fátima@SalBinta·
@mangekimambi @mangekimambi , your pain is our pain. 10,000+ lost is a continental wound. Your anger at the silence of the AU and SADC is justified. They have failed. But before you ask the West for help, let's remember their "help" is a script we know too well. #tanzaniamassacre
English
1
0
6
160
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
I was asked to redo the last video in English so every African can understand. To all African countries and all African bodies like AU and SADC who have abandoned Tanzanians during this horrific time this message is for you. You left us alone to fight a government that killed over 10,000 of us and is willing to kill even more to stay in power. When we get help from Western countries we will need you to keep minding your own business like you are doing right now. We don’t want to hear nothing about a sovereign nation. When a government kills its own people to stay in power it loses the the right to claim its sovereignty. @realDonaldTrump @StateDept @SenateForeign @_AfricanUnion @ SADAC
English
222
1.2K
3.8K
188.2K