DAUDI M. MACHABA

488 posts

DAUDI M. MACHABA banner
DAUDI M. MACHABA

DAUDI M. MACHABA

@daudiMachaba

Guild President KIUT 2024/2025 | Pharmaceutical Technician | BPharm candidate | QPPV | Public Health Advocate | Leader & Researcher in Health Policy.

Dodoma, Tanzania Katılım Eylül 2015
475 Takip Edilen57 Takipçiler
DAUDI M. MACHABA
DAUDI M. MACHABA@daudiMachaba·
Yesterday, I had the privilege to attend a Financial Literacy Training by the @tanzania_pst at MUHAS—led by CPA E. Busara & moderated by @MNgemera . Key takeaway: invest early at @UUttamis @BankOfTanzania, shares, real estate. Financial freedom = future health.
DAUDI M. MACHABA tweet mediaDAUDI M. MACHABA tweet mediaDAUDI M. MACHABA tweet mediaDAUDI M. MACHABA tweet media
English
0
0
0
13
DAUDI M. MACHABA
DAUDI M. MACHABA@daudiMachaba·
Tunakuombea Mafanikio kwenye safari hii tunaamini kuwa nchi yetu🇹🇿 kupitia wewe Tutaweza kuimarisha Afya za watanzania na Africa 🌍 yote. Vote for @moddyyakubu
DAUDI M. MACHABA tweet media
Indonesia
0
0
0
13
DAUDI M. MACHABA
DAUDI M. MACHABA@daudiMachaba·
Hawa ni Wana Mageuzi walioamua kufanya harakati za ukombozi wa Africa 🌍 na Leo tunazo hatua mbalimbali kukitawala Kwa Kila nchi. Watakumbukwa na Vizazi vyote.
DAUDI M. MACHABA tweet media
Indonesia
0
0
1
45
DAUDI M. MACHABA
DAUDI M. MACHABA@daudiMachaba·
This is True @realDonaldTrump, I stand with you, It's the time every country uses their resources to deliver services to its people. Make America Great again (MAGA)
DAUDI M. MACHABA tweet media
English
0
0
0
42
DAUDI M. MACHABA
DAUDI M. MACHABA@daudiMachaba·
Kupitia Picha hii Uwepo wa Mama, Mhe: Rais Dkt @SuluhuSamia anawakilisha Kundi kubwa la wakinamama wote wa Jumuiya za SADC & EAC ambao ni Wengi kuliko kundi lolote na Mchango wao wa maendeleo ni mkubwa Hongera Mhe Rais 🇹🇿 tunajivunia wewe. Uwe na Maisha Marefu.
DAUDI M. MACHABA tweet media
Filipino
0
0
2
40
DAUDI M. MACHABA
DAUDI M. MACHABA@daudiMachaba·
Educational investment really saves the lives of many people. This is the payment of Education.
DAUDI M. MACHABA tweet media
Dar es Salaam, Tanzania 🇹🇿 English
0
0
0
21
DAUDI M. MACHABA
DAUDI M. MACHABA@daudiMachaba·
Ni kweli kabisa wanadamu tutakufa, lakin kifo cha Dr. Ndungulile kimeniumiza sana. Pole kwetu watanzania kwa kupoteza mtu Muhim sana Africa na dunian. Dhahabu inayonga'a imeyeyuka. Rest in peace @DocFaustine
DAUDI M. MACHABA tweet media
Indonesia
0
0
0
44
DAUDI M. MACHABA
DAUDI M. MACHABA@daudiMachaba·
@MariaSTsehai Habari mwandishi @MariaSTsehai Hii taarifa inaonyesha haijabalance tafadhali naomb unipatie taarifa zake Jina lake na Kozi anayosoma. KIUT hatujapata taarifa yoyote juu ya mwanafunzi kupotea. au kuondoka chuoni, rais wa Serikali ya Wanafunzi KIUT.
हिन्दी
0
0
0
101
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
🚨THIS IS SERIOUS‼️ @kiuvarsity Dar es Salaam student is scared for his life and says they are terrorized not to speak about an abduction please follow up! The abduction of a young girl a week ago was witnessed by students but they are scared to speak up! Jamani mtu akichukuliwa na polisi na hapewi ruhusa kutoa taarifa wala maaskari hawajitambulishi basi huu ni UTEKAJI Vyuo kama Kampala International University mna JUKUMU kulinda wanafunzi! Hakuna mtu anaweza kuchukuliwa kiholela! Alafu binti anachukuliwa mnaangalia tu!? Watanzania tubadilike! Vijana wote mmesimama mnaamgalia tu kundi la polisi? Hapo ilitakiwa kiwake hadi waje na madifenda! #EnforcedDisappearances #Tanzania
Maria Sarungi Tsehai tweet media
English
45
102
387
50.4K
DAUDI M. MACHABA
DAUDI M. MACHABA@daudiMachaba·
*"Serikali za Mitaa, Sauti ya Wananchi, Jitokeze Kushiriki Uchaguzi"* *#Kesho ndio mwisho kajiandikishe*..✍🏿 *#Wasomi Ujanja ni kujiandikisha*🇹🇿
DAUDI M. MACHABA tweet media
Indonesia
0
0
1
28
DAUDI M. MACHABA
DAUDI M. MACHABA@daudiMachaba·
Ni kweli kabisa @zittokabwe hii ni Muhimu sana kuonyesha mataifa mengine nje ya Africa yananufaika vipi na Sisi hata kama tunapewa msaada lakin Kuna manufaa Mengi nchi hizo zinapata kupitia Sisi Africa.. na Hii inapaswa kuwa kwa Bara letu la Africa.@CrownMediaTZ @Salym
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe@zittokabwe

Salim, nadhani ni muhimu katika chambuzi kama hizi kutotazama tu China kama mtoaji ( donor ) kwa Tanzania ( receiver ). Naelewa hii ni njia nyepesi kueleweka na mfumo wetu wa kiuchambuzi ni kuonyesha kuwa nchi zetu zinapokea tu. Ni muhimu sana kuonyesha China imepata nini kutoka Tanzania. Mfano; 1. Tanzania imeipa heshima China kwa kuwa mstari wa mbele kabisa kuhakikisha China inapata kiti chake katika Umoja wa Mataifa. Waziri Mkuu Mstaafu Dkt. Salim Ahmed Salim ndiye aliongoza jitihada hizi akiwa Balozi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa. China walimpa Nishani ya Juu kabisa kutambua mchango wake huo. 2. Tanzania inanunua bidhaa kutoka China. Ni soko la bidhaa na huduma za China. Mwaka 2023 Tanzania ilitumia Usd 8B ( shs trilioni 20) kununua bidhaa kutoka China. Hii maana yake ni kuwa Watanzania wanawaweka makazini wachina. Ukitazama ni kiasi gani China inanunua kutoka Tanzania utaona ni USD 450M tu, karibu 5% tu ya kile tunachoagiza kutoka China. Ni muhimu sana uchambuzi uweke hizi 'facts' wazi ili kuonyesha kuwa sio China inayotupa tu sisi zawadi. Tunapeana. Wanatujengea TAZARA lakini licha ya faida watakayopata lakini pia tunanunua bidhaa za viwanda vyao na kuwapa ajira watu wao. Na kadhalika. Nakupongeza unaifanya @CrownMediaTZ kuwa chombo cha masuala mazito. Hiki ni kitu tumekuwa tunakikosa katika radio zetu na hata vituo vya televisheni. Hongera sana

Indonesia
0
0
1
57
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
Nimewasili jijini Beijing nchini China kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika. Aprili 26 mwaka huu, Tanzania na China zilitimiza miaka 60 ya mahusiano ya kidiplomasia. Imekuwa miaka 60 ya mahusiano ya kimkakati yenye tija kwa pande zote mbili na urafiki katika nyakati zote. Kama ilivyokuwa ndoto ya waasisi wetu, jukumu letu ni kuhakikisha tunaendeleza mahusiano haya yaweze kuleta tija zaidi hasa katika maendeleo ya sekta muhimu za uchumi wetu.
Samia Suluhu tweet media
Indonesia
696
314
2.9K
242.6K
DAUDI M. MACHABA retweetledi
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
Kheri ya kutimiza Miaka 60 kwa Jeshi letu Watanzania, Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ). Katika siku ya leo tunayo kila sababu ya kujivunia kama Watanzania kwa kuendelea kuwa na Jeshi imara, la ulinzi, lenye weledi, utayari na nidhamu ya hali ya juu na linaloheshimika ndani na nje ya mipaka ya nchi yetu. Katika siku hii pia tunawakumbuka na kuwaenzi Marais na Maamiri Jeshi Wakuu waliopita, Wakuu wa Majeshi, Makamanda na Wapiganaji wote waliotangulia mbele za haki tunapoadhimisha miaka sitini ya chombo hiki walichokipenda na kukithamini sana. Nikinukuu maneno ya Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere akihutubia Jeshi letu Septemba 1 mwaka 1964; “Moyo kwanza kabla ya silaha.” Kwa moyo wao waliotangulia na moyo wenu Makamanda na Wapiganaji mliopo, taifa letu limeendelea kuwa imara, mipaka yetu imeendelea kuwa salama na wananchi wetu wanaishi kwa amani katika nchi yao iliyo huru. Utii wenu, nidhamu yenu na utayari wenu kwa nchi yetu ndio msingi wa Watanzania kuendelea kuwaamini na kuwa na matarajio makubwa nanyi. Ilindeni imani hiyo kwa nguvu kubwa, tena kwa nguvu kubwa sana. Endeleeni kufanya kazi zenu mkijua kwamba Amiri Jeshi Mkuu nipo nanyi kwa hali zote. Ahsanteni kwa utumishi wenu. Mungu Ibariki Afrika. Mungu libariki Jeshi letu. Mungu Ibariki Tanzania.
Samia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet media
Indonesia
255
302
1.7K
99.9K
African Hub
African Hub@AfricanHub_·
Who is your favorite President among these 20
African Hub tweet media
English
5.3K
517
6.2K
842.8K