Rangitano

4.7K posts

Rangitano

Rangitano

@rangitano

Katılım Ekim 2020
168 Takip Edilen81 Takipçiler
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Leo 04/03/2026 nimepata bahati na heshima ya kipekee kufika mbele ya Tume ya Mh Jaji Chand ya Uchunguzi wa matukio ya 29 Oktoba 2025 na kutoa maoni, mapendekezo na Ushauri wangu. Tumekuwa na kikao kizuri chenye uwazi na uhuru wa kutoa maoni yangu. Namshukuru Mwenyekiti wa Tume Mh Jaji Chande, Katibu wa Tume Mh Onorius Njole na Wajumbe wote wa Tume kwa Ujumla wake kwakunipa heshima hii muhimu. Na Yericko Nyerere
Yericko Nyerere tweet mediaYericko Nyerere tweet media
Indonesia
72
6
40
15.2K
Young Africans SC
Young Africans SC@YoungAfricansSC·
“Kwanza tuna mshukuru Mungu kwa matokao ya hapo jana. Pili wachezaji na benchi la ufundi wanawashukuru sana mashabiki waliojitokeza kwa wingi kutuunga mkono. Tumeiona hamasa yao kubwa. Baasa ya jana mapambano yanaendelea. Leo tumefanya mazoezi hapa Zanzibar, kesho tutafanya mazoezi mengine Dar kabla ya safari ya kwenda Morocco.” Walter Harrison - Meneja Yanga SC
Indonesia
9
10
295
13.4K
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Kikosi cha wala michango na rambirambi ambao hawataki kusikia Lissu anatoka mahabusu…. Hadi ndugu wa Lissu Wakili Msomi Alute Mgwai ameamua kuwafungulia kesi ya wizi kabisa… Hawa vibaka ndio wanategemewa kuitoa ccm madarakani?…. Mamae zao….
Yericko Nyerere tweet media
Filipino
158
21
110
29.2K
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Acha kujitoa ufahamu, Chadema haiwezi kukwepa uchafu huu…. Michango ya Lissu iko wapi? Michango ya miaka 33 iko wapi? Rambirambi za Mzee Mtei ziko wapi? Acheni wizi
Vitus Nkuna@VitusNkuna

Yericko punguza sukari na povu, Michango iliratibiwa na kukusanywa kwa Familia ya Mhe Lissu. CHADEMA aijahusika ktk michango hiyo. Kama Mwanachama alie karibu na Familia ya Mhe Lissu na amehusika KUIBA, Chama kitamshughulikia kimaadili. UADILIFU wa CHADEMA upo ABOVE CRITICISM.

Indonesia
26
1
23
5.9K
Rangitano
Rangitano@rangitano·
@VitusNkuna Kuhamasisha na kutoa updates ni uratibu pia, hatukuona familia ikihamasisha na kutoa updates, viongozi wa chadema ndio walihusika kuhamasisha na kutoa updates. Huyo dogo alitoa hela cash, unajua aligawana na nani?
Filipino
0
0
0
1
Vitus Nkuna
Vitus Nkuna@VitusNkuna·
Yericko punguza sukari na povu, Michango iliratibiwa na kukusanywa kwa Familia ya Mhe Lissu. CHADEMA aijahusika ktk michango hiyo. Kama Mwanachama alie karibu na Familia ya Mhe Lissu na amehusika KUIBA, Chama kitamshughulikia kimaadili. UADILIFU wa CHADEMA upo ABOVE CRITICISM.
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT

Kikosi cha wala michango na rambirambi ambao hawataki kusikia Lissu anatoka mahabusu…. Hadi ndugu wa Lissu Wakili Msomi Alute Mgwai ameamua kuwafungulia kesi ya wizi kabisa… Hawa vibaka ndio wanategemewa kuitoa ccm madarakani?…. Mamae zao….

Indonesia
27
17
147
15.5K
Rangitano
Rangitano@rangitano·
@AdvMatata Ulitegemea sekretariet ijilalamikie? Uratibu ni nini, hatumuona Mzee Alute akihamasisha wala kutoa updates, hamasa na updates zimetolewa na viongozi wa chama na hamkuwakana tokea awali, sasa wameiba unasema chama hskihusiki?
Filipino
0
0
0
42
Adv. Dickson Matata
Adv. Dickson Matata@AdvMatata·
suala la michango ya Lisu lilikuwa la kifamilia ndio maana hata mlalamikaji ni familia, chama iwe KK/Sekretarieti hakikuratibu. Hivyo hakuna namna kanuni za uchangishaji zingetumika. Ifahamike pia kuna zuio la mahakama kuzuia matumizi ya mali za chama ikiwemo akaunti za benki.
Adv. Dickson Matata tweet media
Indonesia
16
52
267
11.1K
Rangitano
Rangitano@rangitano·
@IAMartin_ CHAGUZI ZOTE ZA KENYA HUWA NA VURUGU, MAUAJI, NA KKUTOKUBALI MSTOKEO KWA MADAI YA KUWEPO UDANGANYIFU. PAMOJA NA KUONEKANA NI CHAGUZI HURU, ILA BINADAMU HARIDHIKI, WEWE UNASEMA NI UCHAGUZI WA HAKI, LAKINI MARTHA KARUA ANASEMA ULIIBWA
Indonesia
3
0
2
2.1K
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Kufuatia pendekezo kutoka Kamati ya Usalama ya Uganda (Inter-Agency Security Committee – IASC) inayojumuisha Polisi, Usalama wa Taifa na Jeshi la Uganda — Tume ya Mawasiliano Uganda (Uganda Communications Commissions – UCC) inaelekeza, waendeshaji wa Mitandao wa Simu (licensed Mobile Network Operators – MNOs) na Watoa Huduma za Mitandao (Internet Service Providers – ISPs) kuzima huduma ya intaneti, kuzuia usajili wa laini za simu (simcard), kuzuia SMS, kuzima mitandao yote ya kijamii na kuzuia matumizi ya VPN kuanzia 13.01.2026 saa 12 jioni (saa za Afrika Mashariki) hadi hapo itakapotangazwa vinginevyo na (Uganda Communications Commissions – UCC). Amri ya Serikali ya Uganda inatolewa siku mbili kabla ya uchaguzi mkuu Uganda uliopangwa kufanyika 15.01.2026. Ni rasmi, katika nchi zote nane (8) za jumuiya ya Afrika Mashariki ni KENYA pekee yake inafanya uchaguzi huru, wazi na haki. Tanzania na Uganda ni watoto wa tumbo moja. Watawala wake wanaamini CCM (Tanzania) na NRM (Uganda) ndiyo wanatakiwa kutawala. MADIKTETA wanatangaza siku ya uchaguzi lakini hawataki kushindana kihalali katika uchaguzi.
Martin Maranja Masese tweet mediaMartin Maranja Masese tweet mediaMartin Maranja Masese tweet media
Indonesia
26
109
932
66.1K
Dr. Sisimizi
Dr. Sisimizi@Sisimizi3·
TEC sasa hivi imekua Zanzibar Modern Taarabu
Dr. Sisimizi tweet media
43
6
47
10.4K
Rangitano
Rangitano@rangitano·
@rugemeleza Hata miongoni mwa wacheza vigidoro wapo wakatoliki
Filipino
0
0
0
11
Rugemeleza Nshala
Rugemeleza Nshala@rugemeleza·
Chuki dhidi ya Ukatoliki sasa inaonteshwa wazi na watawala dhalimu na wezi wa madaraka. Watanzania waliikataa CCM na mgombea wake aliyejiteua kugombea uraisi kinyume cha katiba ya chama hicho. Kilichotokea mnamo na baada ya tarehe 29 kiko wazi uchaguzi haukufanyika, Watanzania waliandamana. Polisi Kwa amri ya mtawala dhalimu wakawapiga risasi na kuwaua Watanzania wenzetu. Amri haramu ya kutotoka nje ikatolewa na mtandao wa intaneti ukazimwa. Hivyo inamaanisha kuwa isingewezekana kwa namna yoyote kwa Tume ya Jacobs Mwambegele na Makamishina wake, wasio na chembe ya haya Wala soni, wangeweza kupata na kutangaza matokeo ya aina yoyote ile. Ajabu yake wakamtangaza mgombea huyo wa CCM eti kashinda kwa asilimia 97.8%! Waangalizi wa AU, SADC, na wengine wa kimataifa walisema wazi kabisa kuwa hapakuwepo na uchaguzi huru na haki. Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) nao wakapaza sauti juu ya ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu. Hilo kwa watawala haramu na dhalimu ikawa kosa Kuambiwa wameua maelfu ya Watanzania wakaamua kufadhili mgawanyiko wa udini nchini na kuanza kuliandama kanisa Katoliki kwa Kila aina ya vichambo, mipasho, mamluki na wacheza vigodoro. Hii ni hatari kwa mshikamano na utengamano wa kitaifa. Watu wote wenye dhamira hai ni wakati wa kupaza sauti na kukomesha ushetani huu.
Rugemeleza Nshala tweet media
Indonesia
28
75
299
15.3K
Young Africans SC
Young Africans SC@YoungAfricansSC·
SEVILLE, SPAIN Rais wa Klabu yetu, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Shirikisho la Vilabu Afrika (ACA) na Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya Vilabu ya FIFA, Mhandisi Hersi Said, amefanya kikao cha ngazi ya juu na Rais wa Klabu ya Sevilla FC ya Hispania, José María del Nido Carrasco. Katika mkutano huo, viongozi hao wamejadili kwa kina fursa za ushirikiano wa kimkakati zitakazolenga kuimarisha na kuendeleza soka la vijana wa Klabu yetu, hatua itakayochangia kukuza vipaji, kuboresha mifumo ya maendeleo na kuiweka Klabu yetu katika ramani ya kimataifa ya soka. #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko
Young Africans SC tweet mediaYoung Africans SC tweet mediaYoung Africans SC tweet mediaYoung Africans SC tweet media
Filipino
11
21
420
15.6K
DON MINJA
DON MINJA@donminja47·
@MigunaMiguna @KelvinShukia @mugheiry_rashid @rangitano @Stany_Midea27 @ErNyoni @bizy94 @_zack255 @nguchiro47 @Pcombo2407 @ilfintosanto06 @Eliudiwekesa @YerickoNyerereT @AdamEzekiel12 @NotoriousJayZ1 @SaidiJumaa10 @Mwalim_Junior @Kimbesa11 @kighera50 @Kazingumu @SEphuraim @NotoriousJayZ1 Hawa @ChademaTZ2 ni watu wa hovyo sana wanajidai wanapenda haki kwanini hakuna hata Burukenge moja iliyothubutu kuandika hashtag #️⃣ zao za kipuuzi Free Nyoko Nyoko #Maduro! Tena ndio wanashadadia kinyama
Indonesia
3
2
4
109
Kipanga
Kipanga@Kipanga1986·
Au basi acha kwanza twende kwenye 16 bora Tutarudi hapa tuje tuyaongelea kwa marefu na mapana Lakumuambia tu kwa sasa ajikite kwenye mpira
Kipanga tweet media
Indonesia
7
3
17
2.7K
Ngadu
Ngadu@1ngadu1·
Viongozi wa dini wanatakiwa kuwa mstari wa mbele kuhubiri amani na umoja katika jamii na siyo kuchochea vurugu na machafuko.
Ngadu tweet media
Filipino
7
17
15
396
Joffrey Baratheon, NDC
Joffrey Baratheon, NDC@Baratheonze·
Kuna Mwanaharakati alikutana na MUNGU akiwa gerezani akiwa anaomba…MUNGU akatabasamu sana afu akamwambia “my son it’s well…”. 😁
Filipino
20
8
49
7.7K
Chadema Tanzania
Chadema Tanzania@ChademaTZ2·
CHADEMA’S POSITION ON THE FRAUDULENT ELECTION OF 29 OCTOBER 2025 AND THE EVENTS THAT FOLLOWED.
Chadema Tanzania tweet mediaChadema Tanzania tweet mediaChadema Tanzania tweet mediaChadema Tanzania tweet media
English
26
141
466
25.5K