Lyor
1.1K posts


@sapro_phyticus4 Lakini bichunal manual tumeangalia wote au nipekeangu?
Indonesia

@Innocen89950594 @Mwinshehe07 Watu hawategemei salary kazin kuna michongo ww fanya kazi hta km salary 200,000 p.m
Indonesia

@Mwinshehe07 Ukiwa Na Familia Halafu Umeajiriwa Na Mshahara Kwa Mwezi Ni Chini Ya 1M Ni Kamzozo Sana Labda Uwe Na Mishe Nyingine Inayokuingizia Kipata Vinginevyo Ukipokea Tu Mshahara Wako Wote Unaishia Kwenye Madeni Na Bado Hautoshi Kumaliza Madeni.
Filipino

@Sativa255 Kaka hujachelewa mm nilikuwa na 74kg niliamua kupuuza kutafuna kila kinakutafunwa mbali mlo ni asubuhi na mchana usiku either tunda au kavu na tizi kidogo mpk sas niko na 62-61kg kiufupi nime pungua mpk na jiona mwepesi na tumbo la kihasara limeisha lote so kaza
Indonesia

Nilichelewa sana kujua namna ya kula "healthy"
Nawatamania sana waliojua ishu za diet kitambo na wanaziishi kama sehemu ya maisha yao.
Huu mwaka nimewekeza kwenye AFYA yangu-moja ya kitu nilianza nacho ni DIET yangu izingatie Heathy na kupiga tizi back to back.
KILO 11 zimepotea mpaka sasa. Hii ni challenge ya mwaka mzima MUNGU akinipa kibari. 🙏
Indonesia

@Tonnio_David @Tanganyikan Dodoma ipi ? Dodoma sehemu za hapo hapo mjini Lodge ya 40k unapata zina Ac zina parking na Breakfast
Indonesia

Kwa majiji ya Tanzania nadhani Arusha inaongoza kwa unafuu wa bei za lodge. Chumba unacholipia 50K Arusha ukienda Dodoma unatajiwa 85-100K.
M A G I R I@Kiganyi_
Arusha ki lodge cha 40k kipo uchochoroni, katikati ya mabaa yenye mziki mkubwa, no parking. Yani chumba, jagi la kuchemsha maji, tea bags 2 na mbu wa kutosha smh
Indonesia

@nabricsllalana @Mkanaani_ Umeelezea vzr sna na symbol yake ni sungura na mayai yalopakwa rangi
Indonesia

@Mkanaani_ Ni kweli
Easter was once pagan festivals later on integrated in the church symbolizing commemoration of Jesus' resurrection....
Easter was once a pagan holiday ikihusishwa na muungu aitwaye (eostre) ikimaanisha fertility/nee beginning..
Ilisheherekewa majira ya masika ( spring)
Filipino

@PolycarpMDM Afu kuna mtu anakuambia baada ya F-15 kudunguliwa, eti marekani walitumia Helikopta kutafuta marubani wake😂
Kwenye anga lipi ukarushe Helikopta ilivo na makelelle kama guta
Indonesia

Kwa mujibu wa gazeti la The New York Times, ndege ya kivita ya Marekani aina ya A-10 Warthog ilianguka karibu na Mlango wa Bahari wa Hormuz wakati huohuo ambapo ndege ya F-15 ilidunguliwa juu ya kusini mwa Iran.
Rubani wa ndege hiyo ya A-10 aliokolewa haraka na vikosi vya Marekani na kwa sasa yuko salama.

Indonesia

@FrankIsmail12 @fadhilikangusi Kiuhalisia hiyo tamaa ya kufanya ya Kimungu wanayo wachache sana kuliko wengi na hilo Mungu alilijua hivyo basi mbingu(pepo) iliumbwa kwa ajili ya wachache ila jehanam ndo iliumbwa kwa ajili ya majority yani kuna kama class hapo ndo maana shetani karuhusiwa kutusakama.
Indonesia

@Your2qh @Fefe_doll Hyo 200 speed kafuta huyo suka na njia ipi mkuu?
Indonesia

@ShijaDenis @Ramatech255 kuna sehem walizingua aisee app luncher yake yaan kama zile sim za zaman za tecno ukwel
Filipino

@Narrowbeeflying Hapo akienda polisi aseme amepoteza leseni si anapewa ingine 😅😅😅
Filipino

@Mchinagraphics Kuna kipande cha singida babati kuna mashimo unaweza fuga samaki
Filipino

@BillyTronix1 Anatafuta legitimise, kuna jambo anataka kulifanya hapo sasa ili dunia isije badae kumgeuka au kukataa anaomba kwanza wadau wasapoti mchongo
Filipino

Trump alisema Vita wameshinda Iran uwezo wa kijeshi wote umemalizwa !
Nini tena kinamfanya aombe msaada wa NATO 😀😀😀😀
The Spectator Index@spectatorindex
BREAKING: Trump has warned that NATO faces a 'very bad future' if allies do not help the US in Iran, according to FT report.
Indonesia

@MjemaAdam @MrDepalitto9 Wabongo si tunajuana hawatak wengne tuwe km wao
Indonesia

@MrDepalitto9 Mimi nikiwa na 18 hela naweza kuingiza 6/8 M per month depend na location kwa biashara ya maji hila sio ya kuuza hayo kuuza maji kwa namna nyengine
Indonesia

@RKishaija81715 @JoelNtile @zittokabwe Hio ulkua imepangwa baada ya miaka kadhaa akitokea janja mmoja apewe nchi
Indonesia

@JoelNtile @zittokabwe Wasingeruhusu mwalimu awazunguke 1954/55 kwenda UN .
Indonesia





















