PLeaBargain

1.1K posts

PLeaBargain banner
PLeaBargain

PLeaBargain

@kayange

Loading............

TANZANIA Katılım Mayıs 2009
324 Takip Edilen70 Takipçiler
PLeaBargain retweetledi
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Watu wanaojidai kushangazwa/kukasirishwa na LISSU kuzungumza Au kuweka maridhiano na Serikali Regardless to whether akiwa Gerezani Au Huru ni WANAFIKI na WABINAFSI MNO! Dunia KWA Sasa imebadilika saana ni KATILI MNo … International Laws zipo kwenye karatasi tu ila Hazifatwi… Kanuni ni ile ile ONLY THE STRONG WILL SURVIVE! Iran,MOJTABA khamenei -Marekani /Israel-Wameua BABAKE MZAZI,MKE wake na Familia yake…wamelipua Raia wakiwemo wanafunzi 168… wamelipua miundo mbinu nk… Ila BADO wanaenda PAKISTAN kuzungumza, Kuona jinsi gani watayamaliza maisha yaendelee… Alafu wewe unajidai Hutaki Lissu azungumze- Ningewaelewa Kama na nyie mliopo URAIANI,mngegoma kuzungumza na serikali Au kuifanyia kazi… Ila wewe ni mfanyabiashara- BADO unaendelea na shughuli zako na unalipa Kodi serikali bila shida… mlioajiriwa serikalini mnaenda kazini… kila kitu kipo Normal Alafu unaendelea kufurahia mwingine yupo Gerezani! Yaani mtu mmoja akupiganie wewe… Kama kweli mngekuwa na hio NIA… Watu wote mngegoma hamfanyi chochote hadi LISSU Aachiwe Huru… Walimu msiende shuleni, Madaktari msiende Hospitalini… mlioajiriwa msiende kazini… Wafanyabiashara Msiagize mizigo… mathalan, waagiza mafuta wagome kuagiza hadi lissu aachiwe huru nk. UCHUMI usimame… Wiki moja tu- LISSU angekuwa URAIANI… Ila nyie mnaendelea na your normal duties- mmeshaHALALISHA serikali mnayoiita ni HARAM… Alafu LISSU awapiganie😅 mnashangaza! Kama kweli unampenda LISSU hauwezi furahia akiendelea kukaaa KOROKORONI… sio Sawa kwanza Kwa waliomweka in the first place Ila DUNIA HAIJALI… Hakuna HAKI kwenye DUNIA KATILI… Kimsingi tayari- RAIA tumesha MSALITI TUNDU… maamuzi yoyote ambayo LISSU atayachukua… ni HALALI na HATUMDAI Kwa chochote Kile…
Indonesia
126
113
566
31.7K
PLeaBargain retweetledi
Nyani Ngabu
Nyani Ngabu@NNgabu_·
Anko Nshala tumeshakuambia mara kadhaa kuwa kutokana na hadhi yako kama mwanasheria na mwanasheria mkuu wa chama cha siasa kuwa upunguze kuchat ukiwa umelewa. Ndio maana juzi kati hapa ukashangaza umma kwa kutumia neno "ufiraji" japo haishangazi kwa vile chama unachoshauri kisheria kwa sasa ina uongozi unaotetea mambo ya 🌈🏳️‍🌈. Anyway twende kwenye hoja sasa... Hoja ulizozitoa zinaibua maswali mazito, lakini ukiziangalia kwa jicho la kisheria ndani ya mfumo wa sheria za Tanzania na misingi ya utawala wa sheria, hitimisho la kusema Tume ni “batili tangu mwanzo” halisimami kirahisi. Hapa chini ni rebuttal ya kisheria na kiuchambuzi: 1. Uhalali wa kuunda TumeKwa mujibu wa Sheria ya Tume za Uchunguzi (Commissions of Inquiry Act, Cap. 32), Rais ana mamlaka ya kikatiba kuunda Tume kuchunguza jambo lolote la maslahi ya umma. Hii ni sehemu ya madaraka ya kiutendaji chini ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977. 👉 Hivyo, hoja kwamba Tume ni batili kwa sababu imeundwa na Rais haiwezi kusimama kisheria—ndiyo mamlaka halali ya kisheria. 2. Hoja ya “mtuhumiwa namba moja”Kisheria, tuhuma hazithibitishwi kwa kauli za kisiasa au mitazamo ya upande mmoja. Hakuna chombo cha kisheria (mahakama au tume huru iliyokwishatoa uamuzi) kilichomthibitisha Rais kutoa amri ya mauaji. 👉 Katika sheria, presumption of legality na presumption of innocence zinatumika hadi ithibitishwe vinginevyo. 3. Matumizi ya nguvu dhidi ya waandamanaji. Sheria za Tanzania (ikiwemo Police Force and Auxiliary Services Act) zinatoa mamlaka kwa vyombo vya dola kutumia nguvu kwa kiwango kinacholingana na tishio (reasonable force). 👉 Swali la kama nguvu ilikuwa “excessive” ndilo hasa litatolewa jibu na Tume—haliwezi kuwa sababu ya kubatilisha Tume yenyewe. 4. Amri ya zuio la kutembea (curfew). Mara nyingi hatua kama hizi hutafsiriwa chini ya mamlaka ya usalama wa taifa na dharura za kiusalama. 👉 Hata kama kungekuwa na dosari, hilo ni suala la kisheria linaloweza kuchunguzwa—si sababu ya kubatilisha Tume. 5. Kuzimwa kwa intaneti Hakuna sheria moja inayosema wazi “hairuhusiwi kabisa” kuzima intaneti katika mazingira ya kiusalama. Nchi nyingi hutumia mamlaka ya udhibiti wa mawasiliano (kama TCRA) chini ya sheria zilizopo. 👉 Uhalali wake unaweza kujadiliwa, lakini hauondoi uhalali wa Tume. 6. Mchakato wa uchaguzi Hoja kuhusu Tume ya Uchaguzi ni tofauti na Tume ya Uchunguzi. Hizi ni taasisi mbili tofauti kisheria. Katiba inaweka wazi kuwa Uchaguzi lazima ufanyike kila baada ya miaka mitano na hakuna mamlaka inaweza kusitisha au kusogeza mbele mchakato huo. 👉 Hata kama kuna malalamiko kuhusu uchaguzi, hayabatilishi moja kwa moja Tume ya uchunguzi. 7. Mgongano wa maslahi (conflict of interest) Kuwepo kwa aliyewahi kuwa Waziri ndani ya Tume si uthibitisho wa moja kwa moja wa mgongano wa kimaslahi kisheria. 👉 Lazima ithibitishwe kuwa ana direct personal interest au alihusika moja kwa moja katika tukio linalochunguzwa. Vinginevyo, ni hoja ya kisiasa zaidi kuliko ya kisheria. 8. Kanuni ya “Nemo judex in causa sua”Kanuni hii inatumika pale ambapo mhusika ndiye anayetoa uamuzi juu ya kesi inayomhusu binafsi. 👉 Tume si mahakama, na wajumbe wake hawahukumu kesi zao binafsi bali wanachunguza na kutoa mapendekezo. Hivyo matumizi ya kanuni hii hapa si sahihi hata kidogo. 9. Kauli za kisiasa za Rais Kauli za awali za kiongozi haziibatilishi Tume kisheria. Na Rais kusema yeye ni Amiri Jeshi Mkuu si tishio ni fact. Ila kumbuka kua mteja wako na mwenyekiti wa chama chako alitoa kauli hii hadharani huko anarekodiwa: "Wanasema hivi. Msimamo huu unaashiria uasi. Ni kweli! Ni kweli!!! Kwa sababu tunasema tutazuia uchaguzi. Tuta hamasisha? Uasi!"- Tundu Lissu Hongereni maana kweli mlihamasisha uasi kwa miezi kadhaa na matokeo yake tuliyaona. 👉 Tume inaendeshwa kwa mujibu wa hadidu zake (terms of reference) na ushahidi unaokusanywa, si kauli za kisiasa. 10. Uwazi wa Tume Tume nyingi duniani huchagua kiwango cha uwazi kulingana na unyeti wa ushahidi (hasa masuala ya usalama). 👉 Kutokuwepo kwa matangazo ya moja kwa moja si ushahidi wa ubatili, bali ni suala la utaratibu. 11. Mawasiliano ya Tume kwa ummaKutoa taarifa kwa umma ni sehemu ya kujenga uelewa, si lazima iwe “kampeni”. 👉 Hii haiwezi kutafsiriwa moja kwa moja kama nia mbaya kisheria.
Rugemeleza Nshala@rugemeleza

Kwa vyovyote itakavyotolewa na kusema Tume ya Jaji Chande Othmani Juu ya Vurugu na Mauaji ya October 29, 2025 ni batili na haramu tokea ilipoundwa. Kwa sababu zifuatazo: 1. Imeundwa na Samia Suluhu Hassani ambaye ndiye mtuhumiwa namba Moja kwani ndiye alitoa amri ya kuwapiga risasi waandamanaji na watu ambao hawakuwa waandamanaji. 2. Samia alisema wakati wa Kampeni haramu za Udanganyifu Mkuu kuwa wanaosema hakutakuwa na uchaguzi wakumbuke kuwa yeye ndiye Amiri Jeshi Mkuu na kuwa hakutakuwa na nywinywi wala nywinywinywi. 3. Waandamanaji hawakuwa na silaha za moto ajabu yake walipigwa risasi kinyume kabisa na taratibu za kimataifa na nchi yetu za kukabiliana na waandamanaji ambazo ni matumizi ya mabomu ya machozi, maji ya kuwashawasha, hewa ya pilipili na ikilazimika risasi za plastiki. 4. Kuwekwa kwa zuio la kutoka nje na kutembea lililotangazwa na IGP Camillius Wambura ilikuwa kinyume Cha Sheria kwani hana mamlaka hayo. 5. Kuzimwa Kwa mtandao wa intaneti kwa siku sita ilikuwa kinyume Cha Sheria. Kwa kuzimwa kwake mauaji mengi yalitokea na yalisababisha watu kutokupata taarifa za kiwakati juu ya maovu makubwa yaliyofanywa na vyombo hivyo vya dola. 6. Kuzimwa kwa mtandao na zuio la kutoka nje sehemu nyingi za nchi yetu ilimaanisha hata wafanyakazi na mawakala wa Tume ya Udanganyifu Mkuu ya Jacobs Mwambegele haikuwa na uwezo wa kupata matokeo ya uchaguzi huo haramu. Ajabu yake Mdanganyifu huyo Mkuu asiyeheshimu kazi na maadili ya ujaji akatangaza matokeo kama kwamba uchaguzi ulifanyika na kura kuhesabiwa na matokeo kutangazwa katika Kila kituo na hatimaye kutumwa kwa Tume hiyo haramu! 7. Stargomena Tax ambaye alikuwa Waziri wa Ulinzi katika serikali ya Samia wakati wa udanganyifu huo ni mjumbe katika Tume hiyo ya Chande! Ni kanuni ya kisheria na haki kuwa huyu ana mgogoro wa kimaslahi na ni sehemu ya waliopaswa kuchunguza imekuwaje akageuka kuwa mchunguzi. 8. Jaji Othmani Chande na Jaji Ibrahimu Juma wanajua, kama wajuavyo wanasheria na wasomi wote, kuwa huwezi ukawa hakimu au muamuzi katika kesi yako mwenyewe(Nemo judex in causa sua) sasa imekuwaje wawe katika Tume ambayo ina kasoro hii kubwa? Je, si inafahamika kuwa pale Tume inapokuwa na kasoro hiyo yote iliyoyafanya hata kama ni mazuri, kisheria Huwa batili? 9. Wakati Tume inaanza kazi Samia ametoa matamshi ya kuingilia kati au kutoa majibu kwa Time ikiwa ni pamoja na kusema "nguvu iliyotumika ilikuwa sahihi" na kuwa "kwa nini wazazi hamkuwazuia watoto wenu kutoka nje?". Sasa hapo nini kinachunguzwa? 10. Tume ilizuia uwazi wa watu waliotoa maelezo yao kwa kuvikataza vyombo vya habari kuendelea kutoa maelezo ya waathirika wa mauaji hayo ya kinyama yaliyofanywa na vyombo vya dola. Kukosekana kwa uwazi ulikuwa mkakati wa kuleta giza na kuzuia ukweli wa mauaji hayo kufahamika na hivyo kile kitakachosemwa na Tume kuwa eti ndicho kilichosemwa na waathirika kichukuliwe kuwa ni cha ukweli. 11. Tume yenyewe imeanza kampeni ya kuuandaa umma kupokea ripoti yake na imekuwa na wasemaji wake. Hiyo inaashiria nia mbaya ya Tume hiyo. Ni kwa msingi na sababu hizo nasema kuwa Tume hiyo ni batili na chote kitakochotolewa nayo ni batili.

Indonesia
0
9
9
722
PLeaBargain retweetledi
Kigogo Media
Kigogo Media@kigogo2014·
CHADEMA NI KAMA FUTUHI..NA WAMEKOSA AIBU..📌 Kuwa chama cha siasa makini kunahitaji kuwa na tabia ya kufanya mambo serious na kuwa na mipango serious lakini CHADEMA kwa miaka zaidi ya 30 wamekuwa ni jokers/waigizaji. Bahati mbaya zaidi miaka inavyozidi kwenda na wanavyozidi kubadilisha aina ya uongozi wa kikundi chao ndivyo wanavyozidi kuwa kichekesho.! Hakuna chama cha siasa duniani kinaweza kushika dola na kufanya shughuli zake za kisiasa kwa kuwa ombaomba wa michango kila siku. Unapokuwa na chama cha hivi ni dalili ya hatari sana kuja kuaminiwa kuchaguliwa kuongoza kwa kuwa hii ni dalili ya kukosa maarifa ya kuweza kujiendesha na kukosa mipango ya kujiwezesha kuwa na uwezo wa kujiendesha. Haiwezekani chama cha siasa kila siku wao ni kuomba hela tu kwa watanzania huku wakijitapa kuwa wana wanachama zaidi ya milioni 10! Kama mna wanachama zaidi ya mikioni 10 na wanalipa ada za uanachama kwani hizo hela mnapeleka wapi? Hiki chama si kina wafadhi wengi tu nje ya nchi na ndani ya nchi kama ambavyo mmekuwa mnajitapa! Kwani wanapowapa hela huwa mnafanyia nini? Toka tumeijua CHADEMA kila siku wao ni kutumia fursa za matatizo yao ya kujitakia kuomba hela kwa ajili ya kuendesha kikundi chao! Yaani kuombaomba hela imekuwa ni sera ya chama chao na ni sehemu ya mipango ya kujikimu kimaisha kwa viongozi wao wanapofanya shughuli za kupigapiga kelele majukwaani. Hawa si walianzisha kampeni ya ToneTone na wakatoa mpaka matangazo yao ya harusi sijui yale chini ya usanii mahsusi kabisa wa mwanasanaa Lema kwani waliishia wapi na walikusanya shilingi ngapi? CHADEMA kimekuwa chama cha ma slogan na michango kila kukicha na sasa hivi wanalaumu kuwa hawapati ruzuku. Kwani ruzuku mnapataje na uchaguzi mligoma kushiriki? Yaani mnapewa ruzuku za nini na mnajua hamkuwa sehemu ya uchaguzi na mligoma na mambo yenu ya no reform no election? Au mnajisahaulisha? Hakuna chama kinaweza kufanya siasa na mambo ya maana kwa kutumia njia hii mnayoitumia na kuienda na mwisho wa siku mnaonekana ni jokers tu na wapiga kelele maana hamna mipango wala uwezo wa kujiendesha halafu mnadanganya watu eti mpewe dola!. How? Serikali hawapewi watu kufanya nayo majaribio ndiyo maana mlitakiwa kuongoza na kuonyesha uwezo kwenye chama chenu kwanza na siyo kudhani mnaweza kuongoza kwa majaribio!.. Nyie ni kikundi na jukwaa la wanaharakati waliokusanyika kufanya siasa za harakati na wala hamna uwezo wa kuongoza wala kushika dola. Ndiyo maana unamuona mtu kama Domo Kaya Heche anapayukapayuka na maneno ya sijui kupanda kwa mafuta mara sijui nini lakini hajui chochote kinachoendelea kuhusu mafuta duniani. Yaani wao sera yao ni kulaumu kila kitu na kufanya harakati kwenye kila kitu na kila saa na kila siku. Yaani hizo kwao ni siasa. Unapokuwa na watu wa hivi kama viongozi wa vyama vya siasa wanatoa wapi uwezo wa kutafuta mbinu za kutafuta vyanzo vya hela kufanya siasa zaidi ya kuombaomba hela! Hivi ni wapi duniani au hata eneo hili la Afrika Mashariki tumeona chama cha siasa kinaombaomba michango ili kujiendesha na baadaye kushika dola? CHADEMA wafike mahali wawaonee huruma nyumbu wao maana wanawatesa sana. CHADEMA hawa ndiyo wanaosema watanzania ni maskini sana na hawana hela na wanailaumu CCM kwa hilo halafu hao hao wanawaomba maskini hao hao hela ambazo wanasema hawana wawachangie! Hivi hii ni akili? Hawa akiwemo domo kaya Heche walilipiwa na watanzania faini ili watoke jela walipoyakanyaga wakati wa Kambale ! Yaani chama kilikosa 150m TZS kuwalipia faini. Yaaani wote walikiwa wabunge lakini waliishia kulialia kwa watanzania ili kupewa michango ! Chama cha siasa cha hivi huwa kina mchango mdogo sana kwenye taifa!.. na hatuwezi kuwa na chama kinajiita chama kikuu cha upinzani wakati hakuna mbunge hata mmoja wala diwani haya mmoja wala mwenyekiti wa kitongoji kikawa kinatumia chaka la michango na kuombaomba kama njia ya kufanya siasa!. Watanzania wana mambo mengi wanapambana nayo kwenye maisha yao siyo kuhangaina na ombaomba na kisiasa #KigogoMediaUpdates
Kigogo Media tweet mediaKigogo Media tweet media
Indonesia
1
8
18
3.9K
PLeaBargain retweetledi
Kigogo Media
Kigogo Media@kigogo2014·
UFIPA MMEANZA TENA UTAPELI NA MICHANGO? Hamuwezi kuwa chama serious kwa huu upuuzi mnafanya miaka yote kuomba michango na mkichangiwa hamtaki kusema hela mmetumiaje!.. Tone Tone si mliizindua kwa mbwembwe sana nyie mkafanyq mpaka matangazo kama sendoff mliishia wapi? Hamna ruzuku kwa kuwa hamkushiriki uchaguzi sasa mnamlaumu nani? CHAMA cha hivi kina mchango mdogo sana kwa taifa na hamuwezi kila siku mnawa mnaendesha siasa kwa mtindo huu. Hakuna mahali mtafika na miaka 30 ya uhai wa chama chenu bado mnaomba omba michango kufanya siasa? Nyie si mnasemaga mna wanachama zaidi ya 10m nchi nzima kwani si wanalipa ada za uanachama zinafanya kazi gani hela mnakusanya kwenye hizi ada za uanachama ? Nyie si mna mambo yenu ya kusajili wanachama kidigitali si mlikusanya hela zimeishia wapi? Mnatia kichefuchefu sana mnapogeuza watu kama kitega uchumi chenu na hizi siasa zenu za ujasiriamali...🚮🚮🚮 #KigogoMediaUpdates
Indonesia
0
2
8
5.6K
Swalehe Liyoba
Swalehe Liyoba@SLiyoba77033·
@godbless_lema Afrika tumelogwa au nilaana huyu nchiyake ameshindwa kusuluhisha anaenda kusuluhisha wasudan tunalaana
Filipino
1
0
0
433
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Jakaya Kikwete anasaka amani Sudan? Wakati huo huo, katika nchi aliyowahi kuiongoza, Tanzania, kuna kelele za matukio ya utekaji na vilio vya Oktoba 29. Vilevile, kiongozi wa upinzani Tundu Lissu anaendelea kusota gerezani kwa zaidi ya mwaka sasa. Maajabu makubwa haya. Kama hausomi maandiko vizuri, unaweza kudhani,siku ile ya saba, Mungu alipokuwa mapumzikoni, labda Shetani alipata nafasi ya kuwaumba viongozi wa Afrika.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
91
127
698
22K
JANJA STIMA ⚡
JANJA STIMA ⚡@JosmanStima·
Mm nadhani MH.MBOWE angelivalia njuga hili suala la TUNDULISSU muafaka ungepatikana ila sio mbaya Dunia Duara #KARMA_IS_REAL
JANJA STIMA ⚡ tweet mediaJANJA STIMA ⚡ tweet media
Indonesia
24
15
99
4.7K
PLeaBargain
PLeaBargain@kayange·
@HecheJohn @HecheJohn unaunga mkono bei ya nauli kupanda? Kama Latra wanasemq bei bado ina range kwenye vikokoto vyao why upinge ? madereva na makonda ndiyo wanaleta hii chokochoko ...Haya bei ya mafuta ikishuka watashusha nauli? Badilikeni siyo kila shambulio kwa serikali kwenu iwe hoja
Filipino
3
0
0
290
PLeaBargain
PLeaBargain@kayange·
@Liberatus80 @CNNAfrica @LarryMadowo @BBCWorld Libe banaa hizo story za Madoo mlimtumia nyinyi tena za upande mmoja ...Tume inachunguza kuanzi Nani aliwaingiza barabarani Nani aliwatuma kuchoma moto nchi na kwa nini walipigwa risasi Nani alipiga risasi maana Kuna taarifa kuwa Kuna watu ambao siyo police waliua pia
Filipino
0
0
0
27
Liberatus Mwang'ombe
Liberatus Mwang'ombe@Liberatus80·
What exactly are they still investigating? Within just three to four weeks, outlets like @CNNAfrica (@LarryMadowo) and @BBCWorld had already carried out in-depth investigations, delivering detailed reports backed by forensic evidence and satellite imagery. Those images revealed mass graves and even indicated the types of weapons used against unarmed protesters. There were also chilling accounts of police officers in uniform opening fire on defenseless civilians; children and pregnant women among them. Further, samia suluhu hassan has publicly claimed that those who were killed were planning to overthrow her, and that she used proportional force to disperse them. I would be very surprised if Chande’s commission has not interrogated samia suluhu hassan. So what new truth are they searching for now, after more than four months, that hasn’t already been exposed? I’m genuinely curious to see what their findings could possibly add. @commonwealthsec @HouseForeignGOP @SFRCdems @SenateForeign @EUCouncilTVNews @StateDeputySpox @StateDept @usembassytz @UN @UNHumanRights #TanzaniaMassacre #SamiaMustGo #FreeTunduLissu
The Citizen Tanzania@TheCitizenTz

Commission probing Tanzania election violence gets fresh extension to April 24 thecitizen.co.tz/tanzania/news/…

English
4
36
75
6.4K
PLeaBargain
PLeaBargain@kayange·
@LembrusMchome Sijaelewa wadau wa Chadema humu kuporomosha matusi na kumsema Mbowe na mtoa hoja !! So mnataka kila mtu aimbe nyimbo zenu ndiyo anakuwa na akili? Sijaona popote kosa la @LembrusMchome kaandika vizuri Sana tena kasisitiza na kutakuwa na way forward
Indonesia
0
0
0
63
Lembrus Mchome
Lembrus Mchome@LembrusMchome·
Ni dhahiri kwamba report ya tume ya Jaji Chande itakua ya kitaalamu sana na iliyojaa weledi mkubwa katika kung'amua kilichotokea 29 oct. Itakuja na ushahidi usio nashaka, lakin pia itakuja na suluhisho zuri ni vip tutaenda mbele kama taifa na kurejea pamoja. Hongera tume
Lembrus Mchome tweet media
Indonesia
51
10
24
3K
PLeaBargain
PLeaBargain@kayange·
@godbless_lema Kwenye kura ondoa kaka...Bod boda siyo wapiga kura kabisa labda kuwasindikiza kwenye mikutano ya kisiasa ila nako wanapewa mafuta
Filipino
0
0
0
38
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Usafiri wa boda boda(Pikipiki) haukupaswa kuwa usafiri wa umma. Boda boda imegeuka njia ya kupeleka vijana na watu wengi kwenye vifo, ulemavu na umasikini. Ukosefu wa sera za uchumi, usalama barabarani, na ujinga wa kisiasa ni msingi mkuu wa janga hili. Kutega kura kwa gharama ya damu ni dhambi na ujinga wa kiwango cha juu. Kukaa kimya ni kushiriki kwenye mauaji na mateso haya. Vijana hawa siku moja, watashituka kuwa hawakuongozwa vyema na hali itakuwa mbaya sana kwenu.
Indonesia
45
113
750
39.6K
PLeaBargain
PLeaBargain@kayange·
@Twaha_Mwaipaya Guys Hao vijana wamelipwa hapo...hizi kazi hata hapa Dar kwenye madimbwi vijana hupiga hela kuvusha watu ...Ndugu yangu @Twaha_Mwaipaya unataka kuifanya siasa hii kitu
Indonesia
1
0
0
751
Twaha Mwaipaya
Twaha Mwaipaya@Twaha_Mwaipaya·
Huyo aliyebebwa anaitwa Wilfred Elisha Mgonela ni diwani haramu wa ccm kata ya Pwaga iliyopo Jimbo la Kibakwe Wilayani Mpwapwa. Huyu Wilfred Elisha Mgonela ni shemeji wa Mbunge wa Kibakwe George Boniface Simbachawene yaani dada wa Simbachawene kaolewa na huyu Wilfred. Amekuwa akifanya vitendo vingi vya unyanyasaji Kwa Kinga ya Simbachawene. Ni mtu katili sana.
Filipino
45
85
279
30.7K
PLeaBargain
PLeaBargain@kayange·
@godbless_lema Bro @godbless_lema bei yetu ya mafuta ukiangalia na nchi kadhaa na hiyo uliyotaja tunafanana! Kama Zambia asingepunguza Leo wao wangekuwa juu Sana zaidi yetu. Serikali iangalie kwa mwezi ujao kama mambo bado ndiyo itaweka nguvu ili bei ibaki hii
Indonesia
0
0
0
93
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Mke wangu hata kama mimba Ina miezi tisa usizae sasa hivi, maana mimi bado sijapata pesa ya kutunza mtoto. Huko ndiko tunakoekea. Trust me , nyie, hayo magari yanatumia maji ? Punguzeni kodi na tozo za mafuta. Igeni Zambia.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
41
110
826
25K
PLeaBargain
PLeaBargain@kayange·
@AbroadTanzania Naona mmeanza kushtuka kuwa Mmestukiwa kuwa nyie ndiyo chanzo cha machafuko ya tar 29
Filipino
1
0
2
1.6K
Tanzania Abroad TV
Tanzania Abroad TV@AbroadTanzania·
Nakushauri Rais Samia hii Report msijaribu kuwadanganya Watanzania Mpaka sasa Nina Ma balozi watatu siwezi kuwataja hadharani wanasema report imepikwa tu hakuna ukweli wowote Mnapanga Kuwafungia CHADEMA Kuwakamata Viongozi wake Akiwemo heche Mnapanga kusingizia watu kwamba walihamasisha wananchi kuvamia vituo kuiba silaha na kuua watanzania wakati Polis walihusika 100% Tuwe na Utu hata wale waliouwawa 29/10/2025 si wanyama ni binadamu.
Indonesia
11
61
431
26.5K
PLeaBargain
PLeaBargain@kayange·
@godbless_lema Mkuu @godbless_lema hizi kauli ndiyo zimefanya mpaka wenzenu wengine wawafungulie kesi ! Badala ya kujiuliza kwa nini wanachama na viongozi wanatoka nyinyi mnaona Sawa
Indonesia
0
0
0
52
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Mungu anaipenda sana CHADEMA. Huyu chalii kachomoka? Honestly, si loss. Alikuwa full liability, yeye kuwa CHADEMA ilikuwa risk zaidi, kama meli za mafuta kupita Strait of Hormuz. Mara tatu nilishataka kumfukuza nikiwa Mkti wa Kanda ya Kaskazini, lakini waliomhitaji wakam-hold. Sasa hivi? POA. He is nothing, buddy.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
77
159
1.5K
89.7K
PLeaBargain
PLeaBargain@kayange·
@barakawamb Wamesahau Magufuli yeye alimfukuza CAG na akaiponda ripoti yake
Indonesia
0
0
0
6
BarakaWambura
BarakaWambura@barakawamb·
Nimesikia makelele ya upotoshaji kwamba kwanini Rais Samia hajachukua hatua dhidi ya watu waliotajwa kwenye ripoti ya CAG. Hii hapa elimu ndogo: CAG hutoa ripoti kwa Rais kwa mujibu wa katiba, wajibu wa Rais ni kuipokea na kuisambaza rasmi ili iendelee na hatua zinazofuata, na hafanyi maamuzi ya moja kwa moja kisheria na kiutawala juu ya watu waliotajwa. Rais baada ya kupokea ripoti inapelekwa bungeni, ambapo kamati za bunge kama PAC na LAAC huichambua ripoti, na wahusika waliotajwa huitwa ili kujieleza, na mapendekezo hutolewa, na si kawaida Rais kuchukua hatua hapo hapo. Baada ya hapo Rais na mamlaka zingine kama TAKUKURU huanzisha uchunguzi ikiwa hao watu watabainika katika tuhuma hizo, hatua kama kusimamishwa kazi zinachukuliwa kiutawala lakini huwa sio hukumu ya mwisho. Acheni kupotosha umma,eti angekuwa Magufuli angechukua hatua maramoja, ni wapi katika utawala wake aliwahi kupokea na kufanya maamuzi hapo hapo.
BarakaWambura tweet media
Indonesia
25
16
36
12.7K
PLeaBargain
PLeaBargain@kayange·
@de_medy @godbless_lema Kinachofanyika ni uboreshwaji wa mazingira ..beach itabaki kuwa Bure itabiki kuwa ya Umma ..ukiona vyakula pale ghali unaruhusiwa kutoka navyo mtaani na kula pale! hatuwezi kuwa na beach watu wanajisaidia hovyo sehemu zingine giza na uhuni kufanyika
Indonesia
1
0
0
38
mdau
mdau@de_medy·
@godbless_lema Ushapewa hela wewe !! Coco beach ni ya wanachi free zone wote wasio na uwezo huenda pale bure kuenjoy na familia zao leo hii mnawakimbiza. Magufuri alilaani na kukataza kujenga eneo hilo leo hii team Msoga nyinyi wakina Lema ni wachumia tumbo kama Zitto tu
Indonesia
5
0
0
1.8K
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Jambo la msingi ni kwamba COCO Beach ibaki kuwa ufukwe wa umma, unaopatikana kwa kila mwananchi. Hata hivyo, ni lazima tuingize ubora, hadhi (class), na viwango vya juu katika uendeshaji wake. Ubora na standards haviwezi kuwekwa pembeni kwa sababu ya wingi wa watu, badala yake, viwe juu ya populism. Watu wanapaswa kujengwa ktk hadhi na standard. Ni mkakati mzuri wa kuinua FIKRA na UBUNIFU. Kwa hiyo, COCO Beach inapaswa kuwa ufukwe wa umma wenye hadhi, nidhamu, na viwango vya kimataifa mahali ambapo kila mtu anapata huduma bora, si tu kwa wingi wa watu, bali kwa ubora wa hali ya juu.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
46
68
845
54.6K