Ariano

7.5K posts

Ariano

Ariano

@15Ariano

Team Simba S.C Forever United #MUFC True Sagittarian

Katılım Ağustos 2012
1.1K Takip Edilen423 Takipçiler
Salim Alkhasas
Salim Alkhasas@salim_alkhasas·
Nadhani kwenye hii katiba Mpya tunayopanga, ni Jambo la Heri tukiadopt serikali ya majimbo kama walivyowahi shauri Chadema.. take case study Zanzibar sasa hivi inavyokwenda speed..
Filipino
21
50
257
11K
hamza Lule
hamza Lule@hamzaalbhanj·
Marandu ana share zenye value ya Bln 70 Ndo anamiliki 1% ya share za Kijani 😅😅😅
Indonesia
10
15
346
28.8K
Prosper Masau
Prosper Masau@ProsperMasau·
Hatimae VETA wameondoa Uniform kwa wanafunzi wake.
Indonesia
21
23
444
21.6K
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Mgonjwa akipataga nafuu ghafla uwa sio ishara nzuri pia 😆
Indonesia
36
69
1K
48.3K
Adamoo
Adamoo@Addy_Adams·
Wizara ya Michezo Manaibu Waziri Wawili wa nini?? Au kila mtu ndio apate Ulaji??
Indonesia
12
5
70
12.7K
Ariano
Ariano@15Ariano·
@chandeabuu @EngMapundajr @KingPablotz Umbali halisia sijahakiki lakini iwapo barabara zote zinaflow fresh, Mbezi Buguruni watumia muda mfupi kuliko via Kinyerezi. Ile milima, kona, matuta ka 'buku' hivii n.k plus single lane, wakati huku Moro Rd ~ Mandela kote dual lanes unateleza tu chaap
Indonesia
0
0
0
4
Ariano retweetledi
The Chanzo
The Chanzo@TheChanzo·
Matukio Baada ya Uchaguzi 2025: Namna Majirani Nane Walivyouwawa Kinyerezi Dar es Salaam Mpaka sasa kunguru na nzi wamezuka eneo ambapo majirani nane wa mtaa wa Kanga-Kariakoo, Kinyerezi, jijini hapa, walipouwawa. Kabla ya mvua kunyesha Novemba 4, 2025, harufu ya kifo ilikua ndiyo alama ya eneo hilo. Mvua iliweza kusafisha baadhi ya mabaki ya viungo vya binadamu yaliyokuwa yamebaki, ikiwemo damu nzito. Tukio hili lilitokea usiku wa kuamkia Novemba 3, 2025, majira ya saa tisa. Majirani hao waliuwawa zamu kwa zamu kwa kupigwa risasi. Hii ni baada ya kuambiwa wajilaze nyuso zao zikiangalia ardhi, na kuamrishwa kusali sala ya mwisho. Majirani hao ambao nyumba zao zimefuatana katika mstari mmoja, walikuwa ni afisa polisi mstaafu, walimu wawili, dereva, wauza duka wawili, afisa wa benki na mfanyabiashara ndogondogo. “Hapa kulikua hakufai kabla ya hii mvua kunyesha, wao walikuja wakamwagia mchanga, lakini kulikua hakufai, mvua imesafisha safisha, kidogo,” moja ya majirani alitueleza hali baada ya mauaji hayo. Tukio hili lilianza baada ya  duka la jumla lililopo katika mtaa huo kusikika kuwa limevamiwa na vibaka. Polisi mstaafu aliwaongoza majirani wenzake kwenda kuimarisha ulinzi katika eneo hilo, ambapo pia aliamua kupiga simu na kuita polisi. Polisi wenye silaha walivyofika kwenye eneo hilo waliwaamrisha wote kulala chini. Licha ya kujitetea, hoja zao hazikuweza kufua dafu. Waligawanywa makundi mawili, wakitenganishwa na barabara ambayo imegawanya makazi yao, upande wa kulia na kushoto, wengine wakawekwa karibu na duka hilo la jumla, na wengine wakawekwa upande wa pili, pembeni ya nguzo ya umeme. Soma Zaidi>>>thechanzo.com/2025/11/09/mat…
The Chanzo tweet media
Indonesia
51
294
728
84.2K
mhd
mhd@mhdhamad·
Hivi ni nani alikuwa anamuandikia speech Benjamin Willium Mkapa?🤔
Indonesia
30
26
588
36.5K
Ariano
Ariano@15Ariano·
@Kephawao @ensungwe_ @MarekaMalili Probably huo ndio wakati alikua bado anapewa ushirikiano kwa kulipwa ndio hadi ikaja fika hiyo dola 20M so hakukua na haja ga kushikilia mali, nadhani yy alipoingia itakua alisitisha hayo malipo.
Filipino
0
0
0
12
Kasisi 🏵
Kasisi 🏵@Kephawao·
@ensungwe_ @MarekaMalili Wewe Una wazimu. Tangu mwaka 1990 kuna ndege moja? Why hawakukamata enzi Tanzania ina maBoeng miaka ya 1990's wasubiri his regime?
Indonesia
1
0
0
55
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Nimetoka Kuangalia video moja Chuma anasolve msala wa wezi wa mifugo, alivyoona kuna michezo akawambia OCD na DC walipe hiyo hela 😂 Chuma alikua haachii fursa ya kupita na kijiji, nimeona sakata la huyo Mama Mikocheni ingeenda na mtu hiyo.
Filipino
51
84
1.1K
42.1K
Ariano
Ariano@15Ariano·
@kamutonzi @salim_alkhasas @FreddyMfugale @MarekaMalili Zipo case mbili tofauti hapa, Bashiru Ally na Arafat. Baada ya michakato ya uchaguzi kuisha na iwapo akikosa having been CEO kwa hizi taasisi mbili kubwa kwa muda kadhaa, iwapo tenure zake za uongozi zilikua na tija Arafat stands a chance ya kuteuliwa tena sometimes later huko.
Indonesia
1
0
0
36
EastAfricaTV
EastAfricaTV@eastafricatv·
"Ninapendekeza kutoza shilingi 500 kwa kila tiketi inayotolewa na mtoa huduma za usafirishaji kwa njia ya treni na kutoza shilingi 1000 kwa kila tiketi inayotolewa na mtoa huduma za usafirishaji kwa njia ya anga," - Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba Tozo hizi zimependekezwa ikiwa ni uanzishaji wa vyanzo vya mapato kwa ajili ya kudhibiti maambukizi ya UKIMWI na kugharamia bima ya afya kwa wote na kupendekeza kufanya marekebisho ya sheria ya ushuru wa bidhaa, sura 147 ili kuongeza ushuru wa bidhaa kwenye vinywaji vya kilevi vinavyozalishwa na vinavyoingizwa kutoka nje ya nchi. #MawasilishoBajetiKuu2025 #EastAfricaTV
EastAfricaTV tweet media
Indonesia
153
36
707
92.3K
Majid Hamoud
Majid Hamoud@hamoud_majid·
@Adventure_36 Haipiti kitonga inafika Iringa inaelekea Dodoma singida shinyanga mwanza
Indonesia
3
0
3
2.2K
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Siku ile gari iliyobeba Boat wakifika Kitonga watu watalia sana, Kutakuwa na foleni sana mana hakuna gari itakayo ruhusiwa kushuka wala kupanda. Nais watatoa taarifa siku moja kabla ili watu wajiandae
Indonesia
46
34
959
56.4K
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Ule Mzigo leo wamelala Mnazi mmoja kesho asubuhi wanaendelea na safari,
Indonesia
44
31
644
49.8K
Ariano
Ariano@15Ariano·
@__tx2025 @gcngo88 Wakati mfuko wa EOTF (Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote) unatamba haukuwapo nchi hii Mzee? Habari za mwenza wa Rais kuwa na asasi ya kuhudumia jamii ilianzia kwake, aliyemfuata ya kwake aliita WAMA. Taasisi hizi zilikua zikihudumiwa kwa public funds. Zilikua na tija 🤷🏾‍♂️? Sifahamu
Indonesia
0
0
0
231
Kazinja Medard Rwelamila Gerald
Abduli wa Mama anatajwa sana kama enzi za JK na Ridhiwani !! Chuma atabakia kuwa the BEST President in my books !!
Filipino
78
74
1.1K
92.5K
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
Hii ni Moi International SC (KENYA) Inafahamika kama Kasarani Stadium, Hii Stadium ilijengwa mwaka 1987 imagine. Wamefanya Renovation, Wametoa viti vya Zamani, wameweka viti vipya vya kukunja. Viti vya Kukunja kuna Muheshimiwa aliongelea atafunga Mkapa STADIUM 🤣
Polycarp The Bibliophile tweet mediaPolycarp The Bibliophile tweet mediaPolycarp The Bibliophile tweet mediaPolycarp The Bibliophile tweet media
Indonesia
57
64
1K
150.2K